Mpigamimba
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 198
- 235
Tunaomba kujua migahawa au bar ndio Kuna haya mambo??Ama Ni Ile ya barabarani??
Na supu yake balaa.Biashara ya mishkaki mitaa ya Mama Ngina Drive, Likoni Ferry, nasikia mateja washafanya mbwa kua dili
afu wanawauzia watu eti ni mishkaki. Kudadeki!
Msiseme sikuwahabarisha.
Preta kama uko hai basi tusalimie dear, muda umepita loohDah mkuu, ulivyosema mambo ya Mombasa nilivyokuja mbio kidogo nitenguke, kumbe mambo ya Mombasa yapo mengi.
Nipo salama kabisa……..nilifariki kidogo lakini nashukuru nimefufuka tena ……🤣🤣Preta kama uko hai basi tusalimie dear, muda umepita looh
Mungu mwema, maana nyie ndo tuliwakuta jf miaka hiyo ya kale kabisa. Mshukuru Mungu ungali unadunda. Mie nipo nashukuru, maadamu naweza lipia pango la nyumba, mengine urembo.Nipo salama kabisa……..nilifariki kidogo lakini nashukuru nimefufuka tena ……🤣🤣
Heri ya Mwaka Mpya 2023……..
AiseeBiashara ya mishkaki mitaa ya Mama Ngina Drive, Likoni Ferry, nasikia mateja washafanya mbwa kua dili
afu wanawauzia watu eti ni mishkaki. Kudadeki!
Msiseme sikuwahabarisha.
Balaa hawan hurumaBiashara ya mishkaki mitaa ya Mama Ngina Drive, Likoni Ferry, nasikia mateja washafanya mbwa kua dili
afu wanawauzia watu eti ni mishkaki. Kudadeki!
Msiseme sikuwahabarisha.
66Balaa hawan huruma
Balaa hawan huruma
57Preta kama uko hai basi tusalimie dear, muda umepita looh
Jamaa kazingua aisee duh!Dah mkuu, ulivyosema mambo ya Mombasa nilivyokuja mbio kidogo nitenguke, kumbe mambo ya Mombasa yapo mengi.