Kwa wale mabinti pitieni hapa

Kwa wale mabinti pitieni hapa

KWA MABINTI
Mabinti wengi wanapokuwa kwenye uhusiano na mwanaume wanayempenda, na mwanaume huyo kumuhakikishia Kumuoa. Inapotokea mwanaume huyo kutaka Ngono (sex), uwezakano wa mabinti kukataa ni asilimia 0.0001 (0.0001 %) sawa na hakuna KABISA.

Kama akitokea amekataa basi huyo mwanaume hampendi, haamini kama kweli anamanisha kuwa naye, huyo mwanaume si king'ang'anizi kutaka wa sex au huwa hawana mazoea ya kukaa sehemu za faragha.

Nimekaa na mabinti na nimeona wana UDHAIFU mkubwa sana Katika kuwakatalia wanaume wanaowapenda kufanya Ngono.
Hivyo naomba nitumie nafasi hii kuwakumbusha mambo yafuatayo kuhusu mwanaume ..

Kama unampa ili umridhishe, basi kaa ukifahamu mwanaume si mtu wa kuridhika, mpe Leo, mpe kesho na bado atataka tena.

Kama unampa ili Asichepuke, basi unajidanganya..! Tamaa ya ngono na mwanaume ni kama mapacha wa tumbo moja. Kama Biblia ingeruhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja, basi ungejikuta wewe ni wa pili (bi mdogo), au ungetafutiwa mke mwenzako kama wewe ndio ulitangulia.

Ni Yesu tu aingilie kati na aushike moyo wake.
Kama unampa ili kudumisha Upendo.. Pole..! Mara Baada ya kuona uchi wako, upendo kwa wanaume wengi hupungua, maana unakuwa hauna JIPYA kwake. Angalia utaishia kuweka msiba usiokuwa na waombolezaji.

Kama unampa ili Akuoe, FIKIRI UPYA..! Chanzo cha ndoa si wewe Kuvua Sketi yako, ndoa ni Agano takatifu ambalo mwanzilishi wake ni Mungu mwenyewe. JITAMBUE, USIJIRAHISISHE...! Kama unampa ili ASIKUACHE, Labda nikuambie ni nani unayepaswa kumuogopa..!

Haina haja ya kuogopa kuachwa na mwanaume (asiye na Hofu ya Mungu) maana hana sehemu ya kukupeleka, bali muogope Mungu ambaye aliyeshika maisha yako na mwenye uwezo wa kukuhukumu Katika Jehanum ya MILELE, kwa dhambi hiyo ya Uzinzi unayoifanya.

Mabinti wengi Leo wameumizwa Katika Mapenzi, wanafanya ngono kuwaridhisha wanaume huku wakimkasirisha Mungu na wengine hata kuacha IMANI (Wokovu) kabisa.

Ujumbe huu ukasaidie kukutoa kwenye maangamizo ambayo Ibilisi ameendaa kwa ajili yako. "Ndoa bila kuvua Sketi INAWEZEKANA, UKIAMUA "

Mwanamke JITAMBUE, JITHAMINI na UJIAMINI.
YESU MBELE MWANAUME NYUMA

Warumi 8 : 31
Wapi biblia imesema mwisho kuoa mwanamke mmoja?, kwenye bible kuna watu walikua na wake 600 na nyumba ndogo zaidi ya 250,usichanganye sheria za kwenye biblia na sheria za makanisa
 
Teh teh the Evelny mawazo yko bhanaaaa,,,,,,,
......alafu unapga hesabu ndiyo ndoa kikristo .......umekwisha my dear......bora ukute kubwa utalizoeaaa.. Ndiyo ukutane na hilo linalosimama kwa maringo km karoti iliyonyauka juani......au kasoseji umekwishaaaaa,,,,,?!!!!!

Cc moniccca
 
Wenyewe wanaume Wa mjini wanakwambia hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia..

Hakuna mwanaume namchukia kama ananifata direct kwa gia ya ndoa..
Tena kama sisi wavaa shungi ndo tunaonekanaga ndoa tumeipa kipaumbele so itawarahisishia kutuvua chupi.
My darling,,Umefeli!!!
Mimi pia! Nawapaga live kua hiyo gia imefeli kwangu!
 
Nyege hazina mwenyewe, mbona hapa ni kama vile wasema mwenye nazo ni mwanaume? Na ndio anapaswa kupewa kwani mwanamke yeye hasikii kiu?
Halafu naomba kujua hivi ukibana ukakaa bila mechi za majaribio afu huko ndoani unakuta mtu ana booonge la dude la kijeshi unafanya nini? Au ukute ana ka toothpick unafanya nini? Au kitu kinasimama kwa mariiingo.....
Naomba kujua
Point!

Yaani kama ni kibamia aumuhogo nijue tu mapema, au kama haisimami au ni wa mechi ya dakika mbili nifahamu tu kua huyo ndo ntakua nae maishani...
Nikimpenda kwa mengine mengi hilo la 6*6 tutatafuta tu ubunifu...
 
Point!

Yaani kama ni kibamia aumuhogo nijue tu mapema, au kama haisimami au ni wa mechi ya dakika mbili nifahamu tu kua huyo ndo ntakua nae maishani...
Nikimpenda kwa mengine mengi hilo la 6*6 tutatafuta tu ubunifu...
Kuna dada mmoja aliolewa na muimba kwaya, nao hivo hivo no majaribio kufika ndani sasa kitu yani kinasimama sijui kikipata mshtuko, make anaweza kuwa anaosha vyombo ndo kinasimama anaitwa fasta wanafanya kidogo kinalala.... Kwa hiyo maisha ndo hivo ya dushe ni ya kuvizia kama anavizia daladala....

Mdada mwingine yeye hapendi kufanya, eti anahisi kinyaa, kwa hiyo mara nyingine inabidi mme akakae bafuni na dear soap....

Haya ni maisha magumu asee, mi napenda dushe kuliko msosi maisha ya bila dushe siyawezi, yani daily namuombea mme wangu afya njema afike hata 70 akiwa na uwezo wa kunishtua na viwili
[HASHTAG]#dusheniuhai[/HASHTAG]
 
Kuna dada mmoja aliolewa na muimba kwaya, nao hivo hivo no majaribio kufika ndani sasa kitu yani kinasimama sijui kikipata mshtuko, make anaweza kuwa anaosha vyombo ndo kinasimama anaitwa fasta wanafanya kidogo kinalala.... Kwa hiyo maisha ndo hivo ya dushe ni ya kuvizia kama anavizia daladala....

Mdada mwingine yeye hapendi kufanya, eti anahisi kinyaa, kwa hiyo mara nyingine inabidi mme akakae bafuni na dear soap....

Haya ni maisha magumu asee, mi napenda dushe kuliko msosi maisha ya bila dushe siyawezi, yani daily namuombea mme wangu afya njema afike hata 70 akiwa na uwezo wa kunishtua na viwili
[HASHTAG]#dusheniuhai[/HASHTAG]
huyo wa kuvizia dushe isimame!!!!
 
Point!

Yaani kama ni kibamia aumuhogo nijue tu mapema, au kama haisimami au ni wa mechi ya dakika mbili nifahamu tu kua huyo ndo ntakua nae maishani...
Nikimpenda kwa mengine mengi hilo la 6*6 tutatafuta tu ubunifu...
Aisee!
Natangaza nia kwako!
 
KWA MABINTI
Mabinti wengi wanapokuwa kwenye uhusiano na mwanaume wanayempenda, na mwanaume huyo kumuhakikishia Kumuoa. Inapotokea mwanaume huyo kutaka Ngono (sex), uwezakano wa mabinti kukataa ni asilimia 0.0001 (0.0001 %) sawa na hakuna KABISA.

Kama akitokea amekataa basi huyo mwanaume hampendi, haamini kama kweli anamanisha kuwa naye, huyo mwanaume si king'ang'anizi kutaka wa sex au huwa hawana mazoea ya kukaa sehemu za faragha.

Nimekaa na mabinti na nimeona wana UDHAIFU mkubwa sana Katika kuwakatalia wanaume wanaowapenda kufanya Ngono.
Hivyo naomba nitumie nafasi hii kuwakumbusha mambo yafuatayo kuhusu mwanaume ..

Kama unampa ili umridhishe, basi kaa ukifahamu mwanaume si mtu wa kuridhika, mpe Leo, mpe kesho na bado atataka tena.

Kama unampa ili Asichepuke, basi unajidanganya..! Tamaa ya ngono na mwanaume ni kama mapacha wa tumbo moja. Kama Biblia ingeruhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja, basi ungejikuta wewe ni wa pili (bi mdogo), au ungetafutiwa mke mwenzako kama wewe ndio ulitangulia.

Ni Yesu tu aingilie kati na aushike moyo wake.
Kama unampa ili kudumisha Upendo.. Pole..! Mara Baada ya kuona uchi wako, upendo kwa wanaume wengi hupungua, maana unakuwa hauna JIPYA kwake. Angalia utaishia kuweka msiba usiokuwa na waombolezaji.

Kama unampa ili Akuoe, FIKIRI UPYA..! Chanzo cha ndoa si wewe Kuvua Sketi yako, ndoa ni Agano takatifu ambalo mwanzilishi wake ni Mungu mwenyewe. JITAMBUE, USIJIRAHISISHE...! Kama unampa ili ASIKUACHE, Labda nikuambie ni nani unayepaswa kumuogopa..!

Haina haja ya kuogopa kuachwa na mwanaume (asiye na Hofu ya Mungu) maana hana sehemu ya kukupeleka, bali muogope Mungu ambaye aliyeshika maisha yako na mwenye uwezo wa kukuhukumu Katika Jehanum ya MILELE, kwa dhambi hiyo ya Uzinzi unayoifanya.

Mabinti wengi Leo wameumizwa Katika Mapenzi, wanafanya ngono kuwaridhisha wanaume huku wakimkasirisha Mungu na wengine hata kuacha IMANI (Wokovu) kabisa.

Ujumbe huu ukasaidie kukutoa kwenye maangamizo ambayo Ibilisi ameendaa kwa ajili yako. "Ndoa bila kuvua Sketi INAWEZEKANA, UKIAMUA "

Mwanamke JITAMBUE, JITHAMINI na UJIAMINI.
YESU MBELE MWANAUME NYUMA

Warumi 8 : 31
kwani umenunua
 
Wenyewe wanaume Wa mjini wanakwambia hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia..

Hakuna mwanaume namchukia kama ananifata direct kwa gia ya ndoa..
Tena kama sisi wavaa shungi ndo tunaonekanaga ndoa tumeipa kipaumbele so itawarahisishia kutuvua chupi.
My darling,,Umefeli!!!


Haaaahaaaaa Byongo sio wote bana wengine hawajaumbwa Na maneno mengi mdomoni wakikukuta wanaeleza haja yao kwako kama kweli amekuelewa Na sio kuanza kuzunguka tuu Ni Bora ukasubiri muda ujieleza Na kama kweli MTU WA ndoa bac hata kawua kufata utaratibu pale tuu mtapoendana kitabia


Note:
Wengine hukomaa pia hadi ndani ya ndoa akikuvua tuu huchomoka so take care nao
 
mahondaw wangu... Mada zingine ni za kukatishana tamaa.,.. Cha muhimu ni to follow your heart and carry your brain with you...


Love you sana mahondaw wangu...

haaaahaaaaa smart911mbona ukajitetea Sana uchumba muda wote kama mnasomea PhD ya udaktari banaa


[HASHTAG]#jokes[/HASHTAG]
 
KWA MABINTI
Mabinti wengi wanapokuwa kwenye uhusiano na mwanaume wanayempenda, na mwanaume huyo kumuhakikishia Kumuoa. Inapotokea mwanaume huyo kutaka Ngono (sex), uwezakano wa mabinti kukataa ni asilimia 0.0001 (0.0001 %) sawa na hakuna KABISA.

Kama akitokea amekataa basi huyo mwanaume hampendi, haamini kama kweli anamanisha kuwa naye, huyo mwanaume si king'ang'anizi kutaka wa sex au huwa hawana mazoea ya kukaa sehemu za faragha.

Nimekaa na mabinti na nimeona wana UDHAIFU mkubwa sana Katika kuwakatalia wanaume wanaowapenda kufanya Ngono.
Hivyo naomba nitumie nafasi hii kuwakumbusha mambo yafuatayo kuhusu mwanaume ..

Kama unampa ili umridhishe, basi kaa ukifahamu mwanaume si mtu wa kuridhika, mpe Leo, mpe kesho na bado atataka tena.

Kama unampa ili Asichepuke, basi unajidanganya..! Tamaa ya ngono na mwanaume ni kama mapacha wa tumbo moja. Kama Biblia ingeruhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja, basi ungejikuta wewe ni wa pili (bi mdogo), au ungetafutiwa mke mwenzako kama wewe ndio ulitangulia.

Ni Yesu tu aingilie kati na aushike moyo wake.
Kama unampa ili kudumisha Upendo.. Pole..! Mara Baada ya kuona uchi wako, upendo kwa wanaume wengi hupungua, maana unakuwa hauna JIPYA kwake. Angalia utaishia kuweka msiba usiokuwa na waombolezaji.

Kama unampa ili Akuoe, FIKIRI UPYA..! Chanzo cha ndoa si wewe Kuvua Sketi yako, ndoa ni Agano takatifu ambalo mwanzilishi wake ni Mungu mwenyewe. JITAMBUE, USIJIRAHISISHE...! Kama unampa ili ASIKUACHE, Labda nikuambie ni nani unayepaswa kumuogopa..!

Haina haja ya kuogopa kuachwa na mwanaume (asiye na Hofu ya Mungu) maana hana sehemu ya kukupeleka, bali muogope Mungu ambaye aliyeshika maisha yako na mwenye uwezo wa kukuhukumu Katika Jehanum ya MILELE, kwa dhambi hiyo ya Uzinzi unayoifanya.

Mabinti wengi Leo wameumizwa Katika Mapenzi, wanafanya ngono kuwaridhisha wanaume huku wakimkasirisha Mungu na wengine hata kuacha IMANI (Wokovu) kabisa.

Ujumbe huu ukasaidie kukutoa kwenye maangamizo ambayo Ibilisi ameendaa kwa ajili yako. "Ndoa bila kuvua Sketi INAWEZEKANA, UKIAMUA "

Mwanamke JITAMBUE, JITHAMINI na UJIAMINI.
YESU MBELE MWANAUME NYUMA

Warumi 8 : 31
Mtoa mada umetoa mada nzuri sana pia umeeleza vzr. Isipokua umeahindwa kukwepa mtego ambao waandishi wengi wamekua wakinasa. Hivi jamani ni kweli kuwa wanaume tu ndio wenye tamaa (hamu ) ya ngono? Si kweli. Hata wanawake wana hamu ya ngono. Wala usijidanganye kuwa kila mwanamke anapomvulia mwanamme chupi huivua akitarajia ndoa, wengine huivua kwa nia ya kujirisha wao binafsi kingono. Amini usiamini ila nilichokieleza ni ukweli usiopingika. Ila tu linapokuja kutokea la kutokea wanawake hukimbilia kusaka huruma ya wadau kwa kusingiziwa aliahidiwa ndoa hata kama hakukua na ahadi hiyo. Hata changamoto ya kudhibiti mimba zisizotarajiwa na maambukizi ya VVU wanawake ni kikwazo. Wanawale huwa hawazungumzii matumiI ya kinga na hata wakizungumzia huwa hawamaanishi ndio maana mkifika kwa ground tayari kwa game mwanaume asipokua na kinga kwa wadadaa huwa sio big issue.
 
Back
Top Bottom