KING 360
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,002
- 5,176
Natumai mko wazima na wale wenye changamoto nawapeni pole niende moja kwa moja kwenye mada.
Mimi kwanza sijijui kama ni introvert au anti social au nina vyote kwa pamoja nakumbuka maisha yangu ya chuo yalikuwa mtihani mkubwa sana vitu kama discussion presentation sikuwa napatana navyo kabisa sikuwai kushiriki discussion kazi yangu ilikuwa ni ku type assignment kitu kilichopelekea niwe na marafiki wachache
Baada ya kumaliza na kuwa na familia nilifanikiwa kupata mwanamke aliye tofauti na mimi yeye yuko social so vitu vinavyohusu changanyikeni kama misiba harusi nk mimi naonekana tu alafu natoweka hizo mambo anamaliza yeye hii ndio pona yangu.
Hii hali ilinifanya nisipange nyumba, yaani kitu cha kwanza kufanya kwenye maisha yangu ya baada ya masomo ni kujenga ili tu nikiwa natoka kazini najifungia nyumbani namshukuru sana baba yangu alinisapoti pakubwa sana nilikuwa nawaza sana mimi ni mtu wa aina gani ila nimezoea na wachache wanaonielewa ndio ninaoenda nao.
Tupe experience yako.
Mimi kwanza sijijui kama ni introvert au anti social au nina vyote kwa pamoja nakumbuka maisha yangu ya chuo yalikuwa mtihani mkubwa sana vitu kama discussion presentation sikuwa napatana navyo kabisa sikuwai kushiriki discussion kazi yangu ilikuwa ni ku type assignment kitu kilichopelekea niwe na marafiki wachache
Baada ya kumaliza na kuwa na familia nilifanikiwa kupata mwanamke aliye tofauti na mimi yeye yuko social so vitu vinavyohusu changanyikeni kama misiba harusi nk mimi naonekana tu alafu natoweka hizo mambo anamaliza yeye hii ndio pona yangu.
Hii hali ilinifanya nisipange nyumba, yaani kitu cha kwanza kufanya kwenye maisha yangu ya baada ya masomo ni kujenga ili tu nikiwa natoka kazini najifungia nyumbani namshukuru sana baba yangu alinisapoti pakubwa sana nilikuwa nawaza sana mimi ni mtu wa aina gani ila nimezoea na wachache wanaonielewa ndio ninaoenda nao.
Tupe experience yako.