Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,847
- 225,658
Mimi siwezi nikakaa kuanza kuchangia mada,yaani ile kufwatana fwatana hata siwez.kama mm tu rafiki ninao wachache na tena wakianza kuniseng'enya na kunipiga majungu ndo najitenga nao kabisa.
NB.Nainteract na watu tunaoendena interest mf siasa,muziki au misimamo ya dini.
God doesn't require us to succeed,he only requires that you try
Utanikuta nipo na Mambo yangu,ratiba yangu ya kula ipo kivyanguvyangu tu na najiona nipo sawa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app