kwa wale ambao tuliokua tukitumia (viroba) piteni hapa tushauriane kwa kuelekea

Bapa wangeiongeza alcohol kidogo ili kutusaidia maana ilikuwa ukipiga bapa ndogo mbili kichwani hazipandi ili viroba viwili tu full jasho sasa katika kufidia hilo watuwekee 45Alc kwenye konyagi za ujazo wote
 
yani mi bia sio ishu kwanza unajaza tumbo na mimaji trip za toilet haziishi ukiamka asubuhi mi hangover na ili ulewe mpk utumie 30000
Ujinga mtupu asee, inafika wakati mkojo unakua kama juice embe za azam
Nikinywa bia naboreka sana kiti hakikaliki unakojoa utahisi umkuwa mkamua soda
 
Mambo yote hapa
 

Attachments

  • IMG-20170303-WA0060.jpg
    IMG-20170303-WA0060.jpg
    37.2 KB · Views: 27
Nimehamia kwa konyagi.ml 5.Kwa siku inanitosha sio kama nalewa lahasha maana nilikua napiga kwa day viroba mia 4.Nyagi 6000 -7000.nimejiongeze over time job nipate cha zaidi . iLa bila pombe siwezi lala jamani .Msaada .Lingine siwezi toka arusha au kutoka mkoa wowote lazima nilewe ktk basi nakua na value konyangi
 
Bapa wangeiongeza alcohol kidogo ili kutusaidia maana ilikuwa ukipiga bapa ndogo mbili kichwani hazipandi ili viroba viwili tu full jasho sasa katika kufidia hilo watuwekee 45Alc kwenye konyagi za ujazo wote
Sio ALc.Me Uwitaga CC 45.Konyagi ndio muda wao wa kupiga pesa kiwanda kijipange sasa wafikishe huduma zaidi
 
Back
Top Bottom