kwa wale ambao tuliokua tukitumia (viroba) piteni hapa tushauriane kwa kuelekea

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

mshapigwa tatu bila mpaka sasa!

Viroba vimekua adimu kwel, fuata mapendekezo ya wakuu wengine humu wametoa njia mbadala
mkuu sio kila mtu beer zinapanda
balimi za buku jero bana zipo....au kuna bia naona zinaitwa eagle buk na miambili tuu...sema stimu hadi unze na gongo
kweli kabisa beer zenyewe zilikua hazipandi bila kushtua na viroba
 
ha
Kwa hiyo mnataka tuseme wanywa bia mmeamua kutufanyia hiana si ndio??? .

Kama kulemewa vijana wamelemewa na madawa na sio viroba mkuuu

Tunatangaza bifu la wanywa bia na wanywa viroba nikachukue zana kwanza
Nyinyi mmemwaga viroba sisi tutamwaga damu
hahahaaaa
 
mkuu sio kila mtu beer zinapanda

kweli kabisa beer zenyewe zilikua hazipandi bila kushtua na viroba
Kingine, viroba ilikua ni mobile bar, yaani unajihudumia mwenyewe,
Wakati mwingine ukikaweka mfuko wa nyuma mademu mate yanawatoka wakijua waleti imetuna
 
Wewe unanipigia hesabu ya balimi ya buku jero? Kwani mpaka niifikie ile stimu ya viroba nimekunywa kreti ngapi???
Na wakati buku tatu nilipata vifurushi vyangu daily na fegi za jero

Heshima kiroba itabaki palepale.



Katika harakati zote za awamu hii hakuna hata sehemu niliyokuwa nimefuswa aseee
Sasa naabza kuuona uchungu wa maamuzi ya awamu hii.

Kama mimi niliyeliona taarifa ya kupigwa viroba marufuku nilishtuka! Je vipi wale wengine aseeee.....

Mwaka huuu ama msimy huu kweli shidaa.

Kama sasa hivi nilishakata roki mapeeeeeeema kwa jero
kweli kabisa mkuu stimu ya beer 30 ulikua unaipata kwa viroba vitatu
 
Umeona eee,
Habari za kuamka kichwa kinagonga kama umefungiwa kengere ya kanisa la ufufuo na uzima wengine hatupendi
yani mi bia sio ishu kwanza unajaza tumbo na mimaji trip za toilet haziishi ukiamka asubuhi mi hangover na ili ulewe mpk utumie 30000
 
Back
Top Bottom