Kwa wakaka tu

Kwa wakaka tu

hilo halhwezekani utaleta balaa kwa mpenzi wako buree.
 
Uko wapi,maana ya nchi,mji na mtaa husika?
 
Habari zenu?

Kama uko single na hutajali naomba kampani yako, ni kamapani ya mambo yooote isipokuwa sex tu. Mambo kama kuhang out pamoja, kwenda church kama ww ni muendaji na kubadilisha uzoefu kwa namna mbalimbali.

Najihisi kuboreka so nimeona nitafute mtu wa kubadilishana nae uzoefu kuhusu lifeee huenda nkapata jipya la kujifunza. Umri awe kuanzia 29 years+. Niko serious wapendwa.

Kuhusu gharama kila mtu atawajibika kwa gharama zake. Nahitaji wawili so kama utapenda niinbox kwenye mbynature@rocketmail.com. Hii ni kwa walio serious tu na si utani.

Mbarikiwe...

Mie kampani na hang-outs zangu zina kaelement cha bia-bia hivi na kitimoto choma...kama hutakwazika na hayo sema nirushe miguu inbox!
 
Kuna rafiki yangu mmoja ni sharobaro nnahisi mtawezana
 
Mie kampani na hang-outs zangu zina kaelement cha bia-bia hivi na kitimoto choma...kama hutakwazika na hayo sema nirushe miguu inbox!

Kitimoto na bia mhhh , hivi vitu huwa najitahidi saaaana kuviepuka katika ujana wangu, japo sometimes shetwani anajaribu kunisogelea na kunishawishi nivitumie ila nimemwambia big NO! kampan yako ni muhimu sana kwangu ila kwa kweli siwez kujiexpose kwenye mazingira ya kitimoto na poumbe
 
hii nafasi inanifaa ila mwenzenu niko huku kwenye nanii huku. maskini!
 
Binti yangu Mrembo by nature umeweka nyavu hapa. Baada ya kuhang out mtahang in bila shaka. Hata hivyo nakupongeza kuwa huu nao ni ubunifu hasa usawa huu ambapo mibuzi haichuniki. Go ahead and grab one ila pimeni kabla ya kwenda deeper.

du ila kweli kabisa mwanaume hadi ajifikirie ndo akupe hela??me sijui nifanyeje manake hela unaziona kabisa wallet imetuna na we ni mpenzi ambae mpo sirias kwenye relation but mchungu na hela acha kabisa.me naomba mtu anipe mimbinu ya kuchuna jaman
 
Mimi nakutoa out wiki hii ila lazima tupige kilevi wote
 
Akiingia kwenye kumi na nane zako mchune halafu umroastishe maana hujamuita zaidi ya tamaa zake. Pia uwe makini maana wengine wanazo pamoja na miwaya na wanataka wafe na mtu. Take care and be smart.
 
Back
Top Bottom