Kwa wakaka tu

Kwa wakaka tu

utakua shuga mami la kibantu lenye uchu na zinaaaaa.nakutemaaaa puuuuuuuu puuuuuuu.
 
Najua email zimejaa sana kwa sasa.Nina ka swali,kama hakuna sex kwanini unatafuta asiekua na mke?Si kampani tu?
 
Habari zenu?

Kama uko single na hutajali naomba kampani yako, ni kamapani ya mambo yooote isipokuwa sex tu. Mambo kama kuhang out pamoja, kwenda church kama ww ni muendaji na kubadilisha uzoefu kwa namna mbalimbali.

Najihisi kuboreka so nimeona nitafute mtu wa kubadilishana nae uzoefu kuhusu lifeee huenda nkapata jipya la kujifunza. Umri awe kuanzia 29 years+. Niko serious wapendwa.

Kuhusu gharama kila mtu atawajibika kwa gharama zake. Nahitaji wawili so kama utapenda niinbox kwenye mbynature@rocketmail.com. Hii ni kwa walio serious tu na si utani.

Mbarikiwe...

hapo tu!
 
ndio, akitaka tutaenda nae japo si lazima kila siku nitoke nae, ushaambiwa hii ni kampani tu na si vinginevyo
we hu2takii mema iyo mos.,pil iv jamaa zuzu kias kwamba 2kitoka wote achekelee,humtendei haki.,bora uwe single na ww
 
Habari zenu?

Kama uko single na hutajali naomba kampani yako, ni kamapani ya mambo yooote isipokuwa sex tu. Mambo kama kuhang out pamoja, kwenda church kama ww ni muendaji na kubadilisha uzoefu kwa namna mbalimbali.

Najihisi kuboreka so nimeona nitafute mtu wa kubadilishana nae uzoefu kuhusu lifeee huenda nkapata jipya la kujifunza. Umri awe kuanzia 29 years+. Niko serious wapendwa.

Kuhusu gharama kila mtu atawajibika kwa gharama zake. Nahitaji wawili so kama utapenda niinbox kwenye mbynature@rocketmail.com. Hii ni kwa walio serious tu na si utani.

Mbarikiwe...


Fanya hivi
join a gym club...
au nenda language course
mfano french school utakutana na watu
na hautakuwa bored
na mwisho nunua tv lol
 
Am sure wa siku mtaishia kua... Vijana wavivu wa kupiga sound chance hy.
 
Shosti wasikukatishe tamaa, subira yavuta heri, utapata tu.
 
Hebu nitwangie PM tufanze mambo hapa, nipo maeneo ya Ngarenaro!.
 
Utampata tu..vumilia tofauti ya mitazamo unayokutana nayo
 
Mrembo by nature mwanangu kama nimekuelewa vibaya nisamehe ingawa ndivyo ilivyo. Mabusi na mang'ombe unayosema ni jalo lakini hayachuniki au tuseme hayana ngozi. Nasikia nayo yanataka kuchuna mabata na makuku. Anyways, yote maisha binti yangu. Kazana hadi upate hiyo kampani hata kama ni kampuni au kapuni.
 
hiyo sifa ya umri nime qualify, sifa nyingine ni ipi? nataka kujua kama ni eligible candidate to apply......
 
Habari zenu?

Kama uko single na hutajali naomba kampani yako, ni kamapani ya mambo yooote isipokuwa sex tu. Mambo kama kuhang out pamoja, kwenda church kama ww ni muendaji na kubadilisha uzoefu kwa namna mbalimbali.

Najihisi kuboreka so nimeona nitafute mtu wa kubadilishana nae uzoefu kuhusu lifeee huenda nkapata jipya la kujifunza. Umri awe kuanzia 29 years+. Niko serious wapendwa.

Kuhusu gharama kila mtu atawajibika kwa gharama zake. Nahitaji wawili so kama utapenda niinbox kwenye mbynature@rocketmail.com. Hii ni kwa walio serious tu na si utani.

Mbarikiwe...

hiyo sifa ya umri nime qualify, sifa nyingine ni ipi? nataka kujua kama ni eligible candidate to apply......
 
Mh, napita tu mrembo by nature. hii kitu inaitwaga polyandry, yaani mke mmoja kuwa na wanaume wawili au zaidi. kisheria ni kosa ujuwe. tafakari...
 
Back
Top Bottom