Kwa wadada wanaosaka ndoa

Kwa wadada wanaosaka ndoa

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,305
Zingatia ushauri huu.
Badala ya kuhangaika na nyonga zako,mapoda na wanja wa mwendokasi,wewe jikite kwenye jiko. Hakuna mwanaume anayeweza kuchomoa kwenye misosi ya maana. Ukilijulia tumbo lake tu biashara imeisha.

Kama hujui mapishi itakuwa ngumu kidogo,japokuwa inawezekana,maufundi ya chumbani ni sifa za ziada,sifa ya msingi ni house keeping na lishe hayo mengine utajifunzia huko huko.

Asante.
 
Wanaume tunatofutiana mahitaji jamani
Kuna watu wana wake zao hawajui hata kupika chai. Ila huwa sjui kwa nini bado wanaishi na hao wanawake.
Japo kwangu mimi kama hujui kupika siwez kukuoa, siwez kuwa hata bf wako wa muda tu. i know baadhi ya wanawake ambao hawajui kupika na hawaja wahi achwa.
 
ndoa za mkataba ni nzuri baada ya miezi 3, unaoa mwingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom