Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

kawaulize dada au shangazi zako kama kabla ya kuolewa walikuwa na mmoja and the only mmoja.wakaka mnajiona wajanja mnazungukwa ile ni aje, cha muhimu mdada usikubali kumegwa na wawili kipindi kimoja.ukiwa na JAMES usimegwe na kimaro ila muweke standby

We mkareeeeee!!!!!!
 

That was my point Hashy,kuwa ana mchumba,ila hana uhusiano wa kimapenzi na hao wengine......
Nilimuelewa sahihi!!! Marytina,usiangalie sana hela,riziki hupanga Mungu na maisha yako na watoto,huyo mmarangu anaweza kukuoa na akafa asiweze hata kulipia watoto ada,jijenge binafsi,mtegemee Mungu,jikabidhi unakopendwa na kupenda,utakuwa na amani.Ndo ushauri wangu!!!
 
elewa wewe chimunguru, ninamahusiano katika levo tofauti na hao wakaka hata masai mwenyewe bado sijampa ishu.NACHEZA KIJANJA WANAUME HAMNA MAANA

Sijui unatumia Arithmetic or Pythagoras Theorem
 
that was my point hashy,kuwa ana mchumba,ila hana uhusiano wa kimapenzi na hao wengine......
Nilimuelewa sahihi!!! Marytina,usiangalie sana hela,riziki hupanga mungu na maisha yako na watoto,huyo mmarangu anaweza kukuoa na akafa asiweze hata kulipia watoto ada,jijenge binafsi,mtegemee mungu,jikabidhi unakopendwa na kupenda,utakuwa na amani.ndo ushauri wangu!!!

hivi mnawezaje kuhandle MINJEMBA mitano kwenye life moja?
 
badilisha kichwa cha sredi ili upate ushauri wa profesor klorokwini adhawaizi prepare to fail in your mission.
 
elewa wewe chimunguru, ninamahusiano katika levo tofauti na hao wakaka hata masai mwenyewe bado sijampa ishu.NACHEZA KIJANJA WANAUME HAMNA MAANA

Jikalie tu kama mimi,kama unaelekea kwenye ndoa na binadamu unayemuona hana maana,unapoteza muda wako.....
Ndo mnafika huko wiki mbili tatu mnaleta majibu kama haya mnavunja ndoa,in short bado maturity yako ni ndogo,unatafuta majibu mepesi kwenye maswali magumu,ukipewa huelewi......am done!!!!
 
jikalie tu kama mimi,kama unaelekea kwenye ndoa na binadamu unayemuona hana maana,unapoteza muda wako.....
Ndo mnafika huko wiki mbili tatu mnaleta majibu kama haya mnavunja ndoa,in short bado maturity yako ni ndogo,unatafuta majibu mepesi kwenye maswali magumu,ukipewa huelewi......am done!!!!

thats my girl!
 
badilisha kichwa cha sredi ili upate ushauri wa profesor klorokwini adhawaizi prepare to fail in your mission.

Ha ha ha ha sijui kama kaiona hii

WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.
 
anawataka wamsomeshee mtoto wake yunivasiti bila msaada wa loni bodi
Kama hawana maana sidhani kama wataliweza hilo!Na hao watoto hawawezi kumpa vilevile kwahiyo atulie tu mpaka atakapopata mwenye maana!
 
Back
Top Bottom