Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

Kwa wadada tu (wakaka hamhusiki hapa)

michelle sasa sijui yeye ni DALADALA kwamba unapanda ukifika kituoni anapanda mwingine wewe unashuka

Daladala dogo na hukai muda mrefu The Finest,yeye atakuwa SUMRY wanapanda wengi anashuka mmoja mmoja,mara mombo,mara hedaru,moshi mjini,arusha mijini na mwingine Simanjiro.........
 
natafuta mchumba. mm mwanaume. kabila na elimu yoyote. ajue 2 kusoma na kuandika au zaidi. sms zote zitajibiwa.0712507215 uchumba utadumu kwa miez 2.5.
 
daladala dogo na hukai muda mrefu the finest,yeye atakuwa sumry wanapanda wengi anashuka mmoja mmoja,mara mombo,mara hedaru,moshi mjini,arusha mijini na mwingine simanjiro.........

cant believe this is coming from you........good sense of humour though.....tehteeeeehee
 
Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.
KUNA WACHAGGA mabosi-kaka kibao wanantaka ila wanategemea kuniendesha kwa mwendo wa pesa.
NIKUBALI KUOLEWA UMASAINI niwaache WAMARANGU? kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.
AAAAAAAAAAAfuuuuuuuuuuu unaweza ukakuta uliowapanga wote wamo humu JF na wanachangia utafikiri hawapangwi........... Dah
 
Daladala dogo na hukai muda mrefu The Finest,yeye atakuwa SUMRY wanapanda wengi anashuka mmoja mmoja,mara mombo,mara hedaru,moshi mjini,arusha mijini na mwingine Simanjiro.........
Hapana Michelle............. Huyu atakuwa treni toka Dar hadi kule Kapilimposhi Zambia wanashuka na kupanda wengi wengi............. Mara Ngerengere, Mlimba, makambako, Mbeya, .....etc..........etc
 
:amen: How i wish Hashy??? am waiting for you to make up your mind!

i made it up all along.....cant stay far from that yummy smile of yours.....i can be a spair now cause i see your left tyre gonna burst soon! teheteee
 
Mama yangu mchagga, baba mngoni, nimekulia Arusha.nina mahusiano na wakaka kadhaa wa makabila kadhaa katika levo tofauti za mapenzi ili mmoja wao aje kuwa MUME .Kuna kaka wa KIMASAI kakulia hapa Arusha ana lafudhi ya kichalii (chagga+meru+masai mixture) ni Administrator wa TOUR COMPANY flani mwanzoni nilikuwa namhadaa na kumcheka anavyontongoza ila nkaona awe kwenye list.Kila siku inayopita nazidi kumpenda huyu chalii baada ya kumjua kuwa ananijali anajua nini mwanamke anataka kufanyiwa na kusikia, ni mlutheran hanywi pombe.
KUNA WACHAGGA mabosi-kaka kibao wanantaka ila wanategemea kuniendesha kwa mwendo wa pesa.
NIKUBALI KUOLEWA UMASAINI niwaache WAMARANGU? kumbukeni pesa ni muhim kwenye maisha.

Mimi ni mkaka ila naomba niingilie kuku-save dada yetu.
Kwanza unatakiwa ujue na utambue NI KITU GANI KINAKUSUKUMA UINGIE KTK NDOA, pesa???? Upendo??? Kabila???? Sura ya mtu???
Pili unatakiwa uachane na fikra tegemezi kwa kutegemea pesa ya kukutunza itoke kwa mwanaume, wewe huwezi kujenga uwezo wa kujipatia pesa yako mwenyewe, au umeshakata tamaa???
Tatu fahamu kwamba ukimfuata mwanaume kwa pesa, atakudhibiti kwa pesa, atakuburuza kwa pesa, atakunyanyasa kwa pesa, na mwishowe atakumaliza kwa pesa.

Hitimisho ni kwamba, wanawake wengi wanashindwa kufanya maamuzi kwa faida ya maisha ya baadae badala yake hufanya maamuzi kwa faida ya leo na kesho. Hakuna mtu aliyezaliwa na pesa, na kwa hiyo pesa inaisha. Ila kuna watu wamezaliwa na upendo, na upendo KAMWE HAUISHI.
Fanya maamuzi sahihi
CPU, The GreatMan
 
cant believe this is coming from you........good sense of humour though.....tehteeeeehee
senk yu mai drim gelo
:amen: How i wish Hashy??? am waiting for you to make up your mind!
I hope it did not change your mind about mi..............lol:smile-big:

michelle and hashy what cooking in here can i join the conversation ooppss sorry 😛lane:😛lane:
 
We mchungaji is OFF LIMIT!Ushauri anatoa kupitia mimi!

Halafu Lizzy Posted via Mobile uko gesti gani sasa hivi, btw yale maji ya baraka aliyoyaacha mchungaji yapo tumwagie huyu mdada
 
Back
Top Bottom