BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Bwana weeh, ushabiki maandazi si nikanunua fem fresh (that feminine wash gel). Baada ya wiki najisikia kama nimekatwa na viwembe. Kidogo nimshike uchawi Paw. Nikajipeleka hospital kwa mambo mengine lakini nikamuambia dr naomba unipime stds. Akaniuliza why, kumuelezea akaniambia wala sikupimi, acha hiyo sabuni. Uzuri consultation ya Roulette na Riwa nyuma ya pazia ikanisaidia pia. Sikuamini, nimekomaje?
nawashukuru wadau wote kwa michango yenu. je hilo zoezi linatakiwa kufanyika kila baada ya muda gani? let say asubuhi, mchana au jioni? pia ni kwa kipindi gani labda wiki kadhaa, mwezi ama miezi kadhaa? pia nimesikia kuna dawa (sina uhakika ni dawa,sabuni au lotion) toka ORIFLAME inasaidia kutight je ni kweli inasaidia? kuna mtu alishawahi kuitumia?
Inaelekea unapenda njia za shortcut. hakuna dawa. Solution ni kegel. Uzuri wake unaweza ukafanya muda wote, sehemu yoyote. Anza mara 3 kwa siku kwa dakika 5, halafu ongeza muda ukijisikia zaidi. Maumbile hutofautiana, ukitaka kujua kama imekuwa tight zaidi itabidi uitest halafu uamue kuongeza ama kupunguza mazoezi.
jamani zasa kitu kikiwa mnato sana sii mtaibana dushelele? mie napenda iwe lebwe lebwe mimaji hiooo kila ukidumbukiza kitu
nawashukuru wadau wote kwa michango yenu. je hilo zoezi linatakiwa kufanyika kila baada ya muda gani? let say asubuhi, mchana au jioni? pia ni kwa kipindi gani labda wiki kadhaa, mwezi ama miezi kadhaa? pia nimesikia kuna dawa (sina uhakika ni dawa,sabuni au lotion) toka ORIFLAME inasaidia kutight je ni kweli inasaidia? kuna mtu alishawahi kuitumia?
salamu zetu....
huwa nasikia kuwa ukinawia limao ukeni, uke unakuwa tight je ni kweli?? kama sio kweli ni nini kinaweza kuufanya uke kuwa tight??? mie tayari nina watoto nahisi maumbile yangu sio tight sana. msaada tafadhali.
gfsonwin, snowhite, Ciello na wadada au wamama wa MMU. natanguliza shukrani.
kuna mdada tulisoma nae alikua ameolewa ila chuo alikua na kidumu,akikaribia kwenda kwa mumewe anakamulia limao kwenye maji zen ananawa,akienda kwa mumewe hagundui kama alichakachuliwa.
kumbe ndio wanalofanyaga huko mavyuoni wakienda kusomaa!...dawa yao moja tuu mke akililia kwenda kusoma na ndoa imekwisha. au tunapeana separation.
habari ndo hiyo! pete zawekwa kabatini zinavaliwa siku ya kuondoka,ila sio wote usiogope.
mhm...mie huyu, sijui long distance relationship au mke wangu kufanya kazi mji tofauti na mie au kwenda kusoma haitakubalika period. kama kupitiwa mbavuni nipitiwe hapa hapa nitajua tuu. tena fasta.
siku ukikamatika utaona kawaida tu,hadi nauli utamlipia mwenyewe!