Kwa wadada na wamama tu


.hahahahahaha pole my dear, usirudie tena hayo madude, kegel inatosha.......
 
Last edited by a moderator:

....achana na maoriflame hayo.....

Mambo yote kegel......

Ukishazoea unafanya wakati wowote popote, hata ukiwa ofisini........
 
Ngoja nisepe zangu, manake hii ni kwa akina Mama tu. :car:
Ila chonde Msije mkaweka tu pilipili huko na sisi tukadhurika ndimi na nanihii zetu.
 

asantee kwa ushauri ndugu yangu.
 
nawashukuru wote kwa michango yenu na ushauri. Nitajitahidi kuifanyia kazi. usiku mwema
 
jamani zasa kitu kikiwa mnato sana sii mtaibana dushelele? mie napenda iwe lebwe lebwe mimaji hiooo kila ukidumbukiza kitu
 
Oriflame wana feminine tissues. Ndo hayo hayo ya fem fresh, zinanukia vizuri lakini kama una sensitive skin utajiponza. Fanya kegel tu. Mie nafanya kegel kila wakati wa haja ndogo, na nikiwa bored. Actually when im bored na natamani kugombana na mtu anaeongea crappy stuff, nafanya kegel..
 

Usijaribu la sivyo utasogeza period yako mbele na ukija kuipata tena mpk aftr 3-5days,it will depend on how much u use..hlf itatoka nyingi sana kwa siku nyingi wewe tumia dawa moja inaitwa SHABU{ipo km chumvi ya mawe}unaloeka hlf unanawia ingawa huwa nasikia ukiitumia kwa muda mrefu bila kuduuu waweza kurudisha bikra.
 
Last edited by a moderator:
kuna mdada tulisoma nae alikua ameolewa ila chuo alikua na kidumu,akikaribia kwenda kwa mumewe anakamulia limao kwenye maji zen ananawa,akienda kwa mumewe hagundui kama alichakachuliwa.
 
kuna mdada tulisoma nae alikua ameolewa ila chuo alikua na kidumu,akikaribia kwenda kwa mumewe anakamulia limao kwenye maji zen ananawa,akienda kwa mumewe hagundui kama alichakachuliwa.

kumbe ndio wanalofanyaga huko mavyuoni wakienda kusomaa!...dawa yao moja tuu mke akililia kwenda kusoma na ndoa imekwisha. au tunapeana separation.
 
kumbe ndio wanalofanyaga huko mavyuoni wakienda kusomaa!...dawa yao moja tuu mke akililia kwenda kusoma na ndoa imekwisha. au tunapeana separation.

habari ndo hiyo! pete zawekwa kabatini zinavaliwa siku ya kuondoka,ila sio wote usiogope.
 
habari ndo hiyo! pete zawekwa kabatini zinavaliwa siku ya kuondoka,ila sio wote usiogope.

mhm...mie huyu, sijui long distance relationship au mke wangu kufanya kazi mji tofauti na mie au kwenda kusoma haitakubalika period. kama kupitiwa mbavuni nipitiwe hapa hapa nitajua tuu. tena fasta.
 
mhm...mie huyu, sijui long distance relationship au mke wangu kufanya kazi mji tofauti na mie au kwenda kusoma haitakubalika period. kama kupitiwa mbavuni nipitiwe hapa hapa nitajua tuu. tena fasta.

siku ukikamatika utaona kawaida tu,hadi nauli utamlipia mwenyewe!
 
siku ukikamatika utaona kawaida tu,hadi nauli utamlipia mwenyewe!

hahaha mie tena kukamtika mbona itakuwa ngumu sana....i have vowed not kukamatika and all prey to any woman
 
Kegel exercise ni very important lakini pia soma kitabu cha The act of sex cha Dr Tim LaHaye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…