julysa
Member
- Oct 3, 2014
- 50
- 26
Natumai mu wazima wote.
Kwenu dada zangu na wadogo zangu;Jamani wadada tunapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi, tabia ya kutegea mimba wanaume itatusababishia kuongeza watoto wasiojua baba zao,utoaji wa mimba na kutupa watoto nchini.
Sikatai kuna bahati mbaya ila wengine wanatega makusudi.
Sio kila mwanaume uliepo nae ana mpango wa kukuoa wengine ni wasafisha rungu tuu yaani "wanapita tuu.
Hakikisha unaujua mwili wako"siku zako za hatari" na tumia kinga kila wakati.
Kwenu dada zangu na wadogo zangu;Jamani wadada tunapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi, tabia ya kutegea mimba wanaume itatusababishia kuongeza watoto wasiojua baba zao,utoaji wa mimba na kutupa watoto nchini.
Sikatai kuna bahati mbaya ila wengine wanatega makusudi.
Sio kila mwanaume uliepo nae ana mpango wa kukuoa wengine ni wasafisha rungu tuu yaani "wanapita tuu.
Hakikisha unaujua mwili wako"siku zako za hatari" na tumia kinga kila wakati.