Kwa Vyuoni, Wanawake ni Zaidi.

Kwa Vyuoni, Wanawake ni Zaidi.

Kwa uzoefu wangu nakubaliana na mleta uzi maana nakumbuka tukiwa form six kuna vijana kibao walikuwa bado bikra including me
 
Kyela mvulana hawezi fikisha miaka 17 hajapiga bado demu!
Risachi hiyo labda sampling yake mlichukulia Pemba ambapo watoto wa kiume wanalindwa!
Dar gani hadi uingie chuo na miaka 22 hujapiga papuchi?
 
Back
Top Bottom