Kwa vijana wote miaka 20 had 35 kutokana familia za chini lazma utambue hili

Mao ze dong

JF-Expert Member
Aug 28, 2012
941
1,006
Maisha ya sasa hivi haijalishi unajua nini ila unamjua nani. Kama huna pesa au wewe sio mtu maarufu, au kiongozi fulani, amin amin nakuambia hakuna mtu atakujali kwenye haya maisha.

Kwa wale wa familia za chini tujitaidi sana kufaamiana na watu na kujenga uaminifu na kujua namna ya Ku win mioyo ya watu popote pale tulipo, watu hao ndio huwa njia ya mafanikio yetu.

Pata tu picha unaenda hospitali toka sa moja had sa saba unasuburi huduma, anafika kijana mdogo kapaki range rover nje anapokelewa na nesi na kupelekwa moja kwa moja kwa daktari, nenda benki kuna laini ya watu wa kawaida, laini ya bulky cash (wanaotoa pesa ndefu au kuweka) na executive service (dirisha hili hutumika na viongoz na watu wengine maarufu.

Tunapomaliza vyuo vijana wengi tuna matarajio makubwa ila tunapofika mitaani tunashindwa kuendana na uhalisia wa maisha. Kwakujiona wasomi na kilichoko kichwani tu kitatutoa. Ni moja ya kosa kubwa sana.

Baada ya kukosa kazi miaka 3, john alipata kazi ya kusimamia bustani za AICC kipato kikiwa kidogo ilihali ana degree yake ya procurement, aliweza kuelewana na ma boss wengi waliokua wakiingia katika jengo hilo kazini na kutokana na ucheshi alijenga connection nao na Ku win trust yao kwa kuwasaidia kuosha magar yao, kuwasaidia mabegi wanaposhuka kwenye gari n.k

Mwaka mmoja badae walitangaza nafas za procurement and logistics , john ali apply na kwenye interview waliokua kwenye panel walishangaa kumuona john (mkata maua) kuwa pale, ila baada ya kuona vyeti vyake walimuajiri moja kwa moja bila kujali nikina nani wengine waliomba kazi.

Kiufupi john alipata kazi kutokana na connection alioijenga pamoja na trust.

Kuna idea yakujiajiri katika secta binasfi, hapa utaitaji mtaji, wazo la biashara, utafiti wa biashara husika, ila pia biashara hiyo kuweza kufanikiwa unaitaji kuongea na waliofanikiwa katika biashara hiyo, wao hujua masoko, strategies na mambo mengine. Pia huo mtaji utaitaji kufanya kwanza kazi ndo uupate.

Kwa wanaotoka first class families wanaona izi kama stori tu, wale wa second class families bado pia wazazi wameweka miradi ya kutosha ,ila ndugu zangu wa lower class families utaitaji kuwa mbunifu sana.



Regards
S.Andrew
IMG_20181211_090917_326.jpeg
 
Maisha ya sasa hivi haijalishi unajua nini ila unamjua nani. Kama huna pesa au wewe sio mtu maarufu, au kiongozi fulani, amin amin nakuambia hakuna mtu atakujali kwenye haya maisha.

Kwa wale wa familia za chini tujitaidi sana kufaamiana na watu na kujenga uaminifu na kujua namna ya Ku win mioyo ya watu popote pale tulipo, watu hao ndio huwa njia ya mafanikio yetu.

Pata tu picha unaenda hospitali toka sa moja had sa saba unasuburi huduma, anafika kijana mdogo kapaki range rover nje anapokelewa na nesi na kupelekwa moja kwa moja kwa daktari, nenda benki kuna laini ya watu wa kawaida, laini ya bulky cash (wanaotoa pesa ndefu au kuweka) na executive service (dirisha hili hutumika na viongoz na watu wengine maarufu.

Tunapomaliza vyuo vijana wengi tuna matarajio makubwa ila tunapofika mitaani tunashindwa kuendana na uhalisia wa maisha. Kwakujiona wasomi na kilichoko kichwani tu kitatutoa. Ni moja ya kosa kubwa sana.

Baada ya kukosa kazi miaka 3, john alipata kazi ya kusimamia bustani za AICC kipato kikiwa kidogo ilihali ana degree yake ya procurement, aliweza kuelewana na ma boss wengi waliokua wakiingia katika jengo hilo kazini na kutokana na ucheshi alijenga connection nao na Ku win trust yao kwa kuwasaidia kuosha magar yao, kuwasaidia mabegi wanaposhuka kwenye gari n.k

Mwaka mmoja badae walitangaza nafas za procurement and logistics , john ali apply na kwenye interview waliokua kwenye panel walishangaa kumuona john (mkata maua) kuwa pale, ila baada ya kuona vyeti vyake walimuajiri moja kwa moja bila kujali nikina nani wengine waliomba kazi.

Kiufupi john alipata kazi kutokana na connection alioijenga pamoja na trust.

Kuna idea yakujiajiri katika secta binasfi, hapa utaitaji mtaji, wazo la biashara, utafiti wa biashara husika, ila pia biashara hiyo kuweza kufanikiwa unaitaji kuongea na waliofanikiwa katika biashara hiyo, wao hujua masoko, strategies na mambo mengine. Pia huo mtaji utaitaji kufanya kwanza kazi ndo uupate.

Kwa wanaotoka first class families wanaona izi kama stori tu, wale wa second class families bado pia wazazi wameweka miradi ya kutosha ,ila ndugu zangu wa lower class families utaitaji kuwa mbunifu sana.



Regards
S.AndrewView attachment 963996
Ni kweli lakini la kushangaza hapa Tz, watu wanao toka kwenye "peasant families" au lower class ndowanao ongoza katika tabia mbovu, hawana uaminifu, majigambo wezi wachawi chuki visasi nk ukimsaidia na akafanikiwa anataka kukumaliza wewe atakufanyia vitimbi vya kila aina....uogopa umasikini kama ukoma, ukiwa na mali jitahadharishe nawatu walio shindwa maisha.
 
Ni kweli lakini la kushangaza hapa Tz, watu wanao toka kwenye "peasant families" au lower class ndowanao ongoza katika tabia mbovu, hawana uaminifu, majigambo wezi wachawi chuki visasi nk ukimsaidia na akafanikiwa anataka kukumaliza wewe atakufanyia vitimbi vya kila aina....uogopa umasikini kama ukoma, ukiwa na mali jitahadharishe nawatu walio shindwa maisha.
Tena unakuta kijana wa kipato cha chini kabisa ila anaishi kama first class. Simu ya milioni, Gucci, iPad, clubbing kila weekend na kipato laki 5 au chini ya apo . maskini wengi huwa na roho mbaya na kuchukia waliofanikiwa. Unakuta mtu ana mfollow mtu flani maarufu kwenye mitandao ila chochote anachopost yeye atabaki kumtukana na kumkosoa
 
I got you . we have so many gifted poor people but unfortunately they are not lucky.
But no matter what sometimes we have to create our own lucky .0

Kufanikiwa au kuyokufanikiwa maishani depends 90% on which family were u born in...mie usiniletee mambo ya kwamba mie nina kipaji...kipaji bila bahati hakina faida
 
Kufanikiwa au kuyokufanikiwa maishani depends 90% on which family were u born in...mie usiniletee mambo ya kwamba mie nina kipaji...kipaji bila bahati hakina faida
Hiyo bahati haikufati kwa kukaa ndani au na makundi flani ya vijana wasio na muelekeo.

Diamond alikua na kakijana hakana chochote ila ana kipaji ila udhubutu wa kutoka na kuomba nafasi ya kurekodi kwa Bob junior kulimfanya kufika alipofika Leo.

Uthubutu ni jambo kubwa sana kuliko kukaa bila kuthubutu.

Bora kujaribu ushindwe kuliko kuamini tu katika bahati . Mwisho wa siku Mungu hukupa unacho stahili
 
Tena unakuta kijana wa kipato cha chini kabisa ila anaishi kama first class. Simu ya milioni, Gucci, iPad, clubbing kila weekend na kipato laki 5 au chini ya apo . maskini wengi huwa na roho mbaya na kuchukia waliofanikiwa. Unakuta mtu ana mfollow mtu flani maarufu kwenye mitandao ila chochote anachopost yeye atabaki kumtukana na kumkosoa
Hata ma shuleni na vyuoni watoto wamasikini ni shida balaa hawataki kusoma ndowanao anzisha migomo, ndowanao jua siasa, ndomabishow nk....mimi staki urafiki namtu alieshindwa maisha hata akiwa na dini kiasi gani.
 
Hata ma shuleni na vyuoni watoto wamasikini ni shida balaa hawataki kusoma ndowanao anzisha migomo, ndowanao jua siasa, ndomabishow nk....mimi staki urafiki namtu alieshindwa maisha hata akiwa na dini kiasi gani.
Kwa hiyo wewe maisha unayamudu vizuri na hujawahi kukwama mahali au unaongea tu kwa dharau. Kama mtu Ni tajiri sasa anahangaika ili nini, siku zote Simba mwenye njaa anahangaika sana, Kama wako watatu hawajala wanaweza wakakomaa kumkamata mnyama mmoja kwa siku hata tatu ili tu wampate sababu wananjaa, au ulishaona chui mwenye njaa anavyokimbia kutafuta swala au mbuzi pori, ila akiwaga ameshiba hata mkimkimbiza mnamkamata.
 
Hiyo paragraph ya pili vijana muisome siyo kama gazeti bali muielewe na iwakae akilini mwenu.

Haya maisha baada ya akili zako kingine ni unafahamiana na watu gani?wa aina gani?
 
Back
Top Bottom