isaacaugust
Member
- Jul 9, 2016
- 99
- 30
jamaa apo angalau umenena ki2Uko sahihi, viwango vya ufaulu kwa Sayansi na Sanaa vingepaswa kuwa tofauti, LAKINI kwa viwango vya sasa vya ufaulu wako SAHIHI. Kwa maoni yangu, cut off points kwa Sayansi zingekua 5, na Arts zingekua 6. Utaratibu huu ulishawahi kutumika miaka ya nyuma (less than 10 years ago) sioni sababu kwanini usitumike sasa