Kwa utetezi huu wa shamba la Mbowe, Je!! Vyanzo vyetu vya maji vitakuwa Salama chini ya CHADEMA?

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Najaribu kuwaza...
Kila nikifungua TV nakutana na habari za mazingira watu wanakamata Chainsaws, mbao zinakamatwa kwa kuvunwa misituni, watu wananyang'anywa pump za umwagiliaji zinazoharibu vyanzo vya maji.

Regulations zimewekwa hadi mtu akitaka kuchimba Kisima tu nini afanye asije kuchimba kwenye upstream na kusababisha watu wa chini kukosa maji.

Watu wasomi wanapoanzisha miradi ya Muda mrefu Kando ya Chanzo ya maji huakikisha hawaingii migogoro na serikali na kupata hasara ya kujitakia wanaongeza hilo katika planning zao kabla ya kuanza miradi.


Sasa leo nashangaa sana kuona utetezi Mkali juu ya kinachoendelea kwenye shamba ambalo limeleta utata siku za karibuni.
Nilitegemea baada ya watu wa mazingira baada ya kumpiga faini angekuwa amekwisha hamisha miradi yake kwa manufaa ya vizazi vijavyo na kuanzisha kampeni Jimboni kwake kwa wote kucomply na sheria za mazingira.

Chadema kukaa kimya katika hili je!!!! Rasilimali zetu na vyanzo vya maji safi kwa vizazi vijavyo vitakuwa Salama chini ya CHADEMA siku ndoto zao zikitimia???

Naweza...
 
Najaribu kuwaza...
Kila nikifungua TV nakutana na habari za mazingira watu wanakamata Chainsaws, mbao zinakamatwa kwa kuvunwa
Chadema kukaa kimya katika hili je!!!! Rasilimali zetu na vyanzo vya maji safi kwa vizazi vijavyo vitakuwa Salama chini ya CHADEMA siku ndoto zao zikitimia???

Naweza...
non sense, mbn baadhi ya wana ccm wameshtakiwa kwa rushwa na uhujumu uchumi lakin lkn leo hii serikali ya ccm inapambana na wala rushwa na uhujumu uchumi?
 
Ule ni mfereji unaotumika katika umwagiliaji mashamba yote ya kahawa hutegemea weru weru na chanzo chake ni milimani mbali sana mbowe hajalima kwenye chanzo cha huo wanao uita mto!!!
Serekali nayo imesema haitasikiliza mtu yoyote lazima izalishe umeme huko kwenye pori lililotengwa kama uridhi wa dunia huko bonde la mto rufiji!!!
Tanzania Yakataa Agizo La UNESCO La Kuitaka Kusitisha Ujenzi Wa Mradi Wa Stiegler's Gorge Katika Pori La Akiba La Selous
 
Usijali kwa kuambiwa hivyo mkuu...hoja hujibiwa kwa hoja, ukiona umerushiwa dongo bila jibu, jua hoja yko ni nzito kujibiwa kirahs rahs.

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Huyo hanisumbui ndio maana nimemwambia Sawa kulingana na kina cha alichokiandika mkuu
 
Usijali kwa kuambiwa hivyo mkuu...hoja hujibiwa kwa hoja, ukiona umerushiwa dongo bila jibu, jua hoja yko ni nzito kujibiwa kirahs rahs.

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Bwana yenu amefunguliwa madai kamsaidieni kulipa.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Ule ni mfereji unaotumika katika umwagiliaji mashamba yote ya kahawa hutegemea weru weru na chanzo chake ni milimani mbali sana mbowe hajalima kwenye chanzo cha huo wanao uita mto!!!
Serekali nayo imesema haitasikiliza mtu yoyote lazima izalishe umeme huko kwenye pori lililotengwa kama uridhi wa dunia huko bonde la mto rufiji!!!
Tanzania Yakataa Agizo La UNESCO La Kuitaka Kusitisha Ujenzi Wa Mradi Wa Stiegler's Gorge Katika Pori La Akiba La Selous
Some heritages are putting poorer countries at a disadvantage.
Hilo sio mimi ni wakosoaji wa baadhi ya hizo kitu.
 
ungekuwa unafikiri kidogo ungekuwa umeanza kuikosoa serikali juu ya uanzishwaji wa mradi wa umeme bonde la rufiji ambao unesco wamezuia!

Halafu unaweka tozo ya zile hotel za pembezoni mwa bahari na mto ruaha!Hivi faini na kuziacha ndio kutunza mazingira?
Kwanini mbowe hakutozwa faini akaachwa aendelee na shughuli zake kama hao wengine?

Ha'afu mkuu hivi unaifahamu aina ile ya kilimo?
 
Bwana yenu amefunguliwa madai kamsaidieni kulipa.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
kumbe imefunguliwa na bwanako? Na Hiyo kesi umepata hukumu yke au unafi...mchana kweupe?

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
VP zile oteli ziliopo kando ya bahari yetu?
Halafu hawa Lumumba ni tatizo. Shamba la Mbowe haliko kwenye chanzo cha mto. Shamba la Mbowe limepitiwa na mfereji unaotumiwa na Shamba la Lambo ambalo Familia ya Mbowe wamepakana nalo. Ni bora kama hawana historia sahihi ya wanalo andika wawe wanakaa kimya. Mfereji haujawahi kuitwa chanzo cha mto maana huo mfereji umetoka mtoni.
Ccm saa nyingine inajenga chuki binafsi. Arusha kuna hoteli imefunga chemchem na inajulikana hadi NEMC lakini wameiacha inafanya kazi.
USA Arusha kuna green houses ziko mtoni NEMC wanazijua wamkula jiwe. Mfereji inaitwa vyanzo vya maji kwa vile ni shamba la mtu wa upinzani.
Hata kama ilikuwa ni kubomoa walishindwa nini kuagiza wavune mazao yaliyo kuwepo shambani? Waziri Mkuu anahutubia Taifa hali ya chakula sio nzuri Ccm mnakatia vyakula chini hii dhambi haita waacha.

Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
 
Kule serou vipi boss

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom