Kama yule jamaa Salary Slip na akina Mmawia.
Better ,hizo hela anatoa mfukoni kwake?anachokifanya aliahidi 2015 na bado hajatekeleza,
Tutakuna kwenye box
Kiufupi Tu jamaa anagonga kazi,mbali na mapungufu yake lakni angalau nchi inaonekana ina kiongozi, somtyme hata mikwara yake inatia moyo, Mimi ni mhanga wa maamuzi yake lakni from my heart , i appreciate him....
siku akiondka madaraka itachukua miez mitano tu kumkumbuka huyu Mwamba, unless atuachie Majaliwa au Lukuvi, kdogo wanaweza
awamu zilizopita zilikuwa zinamwaga vyakula vya mama ntilie... vinawapiga mabomu wamachinga na kupora mali zao bila huruma..
tukiacha mambo ya hela za mfukoni. magufuli anawapenda raia wake kwa vitendo
Ilo liko wazi, akuna haja ya wapinzani kujisumbua kwenye kampeni...bora wakalime nyanya zinaweza kuangukia kwenye msimu wa ela
Nimetembea kila sehemu ya Tanzania huyu Rais anachapa kazi kila sehemu nchi inajengwa kilichonifurahiaha zaidi pamoja na ujenzi wa miundombinu na miradi mikubwa ya kimkakati lakini ameleta ahueni kwa mamantilie, machinga na wakulima wanaheshimika wanachapa kazi anayempinga Rais Jpm ni wakala wa shetani
Nimetembea kila sehemu ya Tanzania huyu Rais anachapa kazi kila sehemu nchi inajengwa kilichonifurahiaha zaidi pamoja na ujenzi wa miundombinu na miradi mikubwa ya kimkakati lakini ameleta ahueni kwa mamantilie, machinga na wakulima wanaheshimika wanachapa kazi anayempinga Rais Jpm ni wakala wa shetani
Nimetembea kila sehemu ya Tanzania huyu Rais anachapa kazi kila sehemu nchi inajengwa kilichonifurahiaha zaidi pamoja na ujenzi wa miundombinu na miradi mikubwa ya kimkakati lakini ameleta ahueni kwa mamantilie, machinga na wakulima wanaheshimika wanachapa kazi anayempinga Rais Jpm ni wakala wa shetani
Medula zimecorrupt hapo Lumumba kwa ujira wa buku 7Nimetembea kila sehemu ya Tanzania huyu Rais anachapa kazi kila sehemu nchi inajengwa kilichonifurahiaha zaidi pamoja na ujenzi wa miundombinu na miradi mikubwa ya kimkakati lakini ameleta ahueni kwa mamantilie, machinga na wakulima wanaheshimika wanachapa kazi anayempinga Rais Jpm ni wakala wa shetani
Nimetembea kila sehemu ya Tanzania huyu Rais anachapa kazi kila sehemu nchi inajengwa kilichonifurahiaha zaidi pamoja na ujenzi wa miundombinu na miradi mikubwa ya kimkakati lakini ameleta ahueni kwa mamantilie, machinga na wakulima wanaheshimika wanachapa kazi anayempinga Rais Jpm ni wakala wa shetani
Mjinga nambari moja mwenye mtindio wa ubongo nipo hapa nakuzoom tuNimetembea kila sehemu ya Tanzania huyu Rais anachapa kazi kila sehemu nchi inajengwa kilichonifurahiaha zaidi pamoja na ujenzi wa miundombinu na miradi mikubwa ya kimkakati lakini ameleta ahueni kwa mamantilie, machinga na wakulima wanaheshimika wanachapa kazi anayempinga Rais Jpm ni wakala wa shetani
Igeuze hiyo 1 kwamba itakua niccm nawanachama wakeNimetembea kila sehemu ya Tanzania huyu Rais anachapa kazi kila sehemu nchi inajengwa kilichonifurahiaha zaidi pamoja na ujenzi wa miundombinu na miradi mikubwa ya kimkakati lakini ameleta ahueni kwa mamantilie, machinga na wakulima wanaheshimika wanachapa kazi anayempinga Rais Jpm ni wakala wa shetani
Upuuzi mtupu.Nakuona kwenye ubora wakoView attachment 1219022
tukiacha mambo ya hela za mfukoni. magufuli anawapenda raia wake kwa vitendo