Kwa utapeli huu tuwe makini katika kutuma pesa

Kwa utapeli huu tuwe makini katika kutuma pesa

Tupeane elimu wakuu.

Endapo angeituma hiyo hela jinsi alivyotakiwa kuirejesha, angeingizwaje mjini zaidi?
ngoja nikwambie wanachofanya:

anatumaa hela kweli inaingia kwa akaunti yako vizuri tu!
kama ulikuwa na laki mbili, akatuma laki mbili inakuwa laki 4

sasa atakupgia simu umrudishie! ukimrudishia utamrudishia kwa namba atakayokupa maana hiyo aliyoutuma kimakosa inakuja bila namba kwa kuwa ni wakala!
sasa ukirudisha kwa namba ingine! yeye tena anapga kwa mtandao mfano voda warudishe tena ile laki mbili kwa kuwa voda wataamini umetumiwa kimakosa
HAPO NDIPO UTAKAPOANZA KUIMBA, dunia ina mambo lukumba lukumbaa
 
ngoja nikwambie wanachofanya:

anatumaa hela kweli inaingia kwa akaunti yako vizuri tu!
kama ulikuwa na laki mbili, akatuma laki mbili inakuwa laki 4

sasa atakupgia simu umrudishie! ukimrudishia utamrudishia kwa namba atakayokupa maana hiyo aliyoutuma kimakosa inakuja bila namba kwa kuwa ni wakala!
sasa ukirudisha kwa namba ingine! yeye tena anapga kwa mtandao mfano voda warudishe tena ile laki mbili kwa kuwa voda wataamini umetumiwa kimakosa
HAPO NDIPO UTAKAPOANZA KUIMBA, dunia ina mambo lukumba lukumbaa
Shukrani sana mkuu kwa ufafanuzi
 
Habari,wanajamii jana kuna suala ambalo limenigusa sana na si mara moja kutokea bali ni mara ya pili juzi kuna ndugu yangu alitumiwa pesa kwenye mtandao fulani wa simu alipoipokea ile pesa haukupita muda alitumiwa meseji nyingine iliyomtaka arudishe pesa kwa wakala maana ilitumwa kimakosa,yeye hakuirudisha ile hela ila ilipofika jioni alianza kupigia simu watu wake wote ambao alikuwa na ahadi nao ya kulipana hela ndipo kuna mmoja akamwambia nilikutumia kiasi fulani asubuhi.

Hapo ndipo jamaa aliposhtuka kama ule ulikuwa ni utapeli Jana mimi nilitumiwa pesa kwenye mtando uleule kama anaotumia ndugu yangu ambapo baada ya kutumiwa pesa nikapokea meseji nyingine inayonitaka nirudishe pesa kwa wakala haraka maana namba ilikosewa kwasababu nilifahamu huu ni utapeli nilipiga namba ya huduma kwa wateja na keeleza yaliyonisibu kwakifupi waliniambia pole sana na siku nyingine niwemakini.

Swali nililojiuliza je,kama ningetapeliwa kweli fedha zangu zingerudi na kama wangenitapeli hawa watu ni untouchable na si rahisi kuwapata? Namba zinazoonekana kwenye hiyo picha ni namba za hao matapeli na hiyo meseji walionitumia msaada kwa wataalamu wa mambo View attachment 750502
Ikitokea hali kama hiyo , wewe usiitume hiyo hela, wakala husika anatakiwa apige simu huduma kwa wateja aombe kurudishiwa muamala alioukosea. Kama ni mtandao wa airtel option namba 6 unarejesha muamala.
 
Wapo matapeli wa kutumia mitandao au wana uwezo mkubwa wa kuingilia Mawasiliano hata Mimi iliwahi kuniyokea wana Uwezo wa Kublock Mawasiliano ya Simu yako isisome kwako wakaitimia wao hata kuhamisha fedha zilizo kwenye Simu yako Nichukuwe fursa hii watu kubadrisha Namba zao za siri za Simu zao hasa waliotumia Miaka yao ya kuzaliwa kama vitambulisho vyao vya mpiga kura ni hatari sana matapeli wa mitandao wana uwezo wa kuingilia usajili wako na kuona upelelezi ambatanishi ulivyotumia Wakati wa kusajiliwa Line yako ya Simu na ikawa lahisi kuingilia account yako kama Namba ya Siri ni mwaka Wako wakuzaliwa chukuwa tahadhari kubwa kulinda account zenu za Simu dhidi ya matapeli
 
Back
Top Bottom