Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 655
- 604
Hivi hata TAMISEMIi zpo under utumish?Serikalini ajira zote zinapitia utumishi na naamini pale kuna angalau percent ya uwazi.
Kama utumishi ndio wamekwambia hivyo basi sawa.
Kama kuna uhakika wa hiyo kazi: Absolutely YESHabari yenu wana jf. Ikiwa imetokea nafasi au fursa ya kupata kazi serikalini lakini ukaambiwa utoe pesa huyo na ukahakikishiwa utapata kaz, vipi kwa upande wako ungetoa?
Okok mkuuHivi hata TAMISEMIi zpo under utumish?
OkokIt depend
Kama nitasaini mkataba wa mwaka 1+ alafu nikilipwa mshahara wa milioni 1+ naweza kutoa hiyo milioni mbili ha
Nitakosa imani sababu naogopa kutapeliwaKama inabd utoe before?
700kAlaf mshahara unakuwa unalipwa sh ngap?
Advance
Kuna utapeli ndugu. Nami niliwahi kutapeliwa 400,000 miaka kadhaa iliyopita kwa ahadi za Kama hizi. Kuwa makini Sana, unaweza toa hiyo hela na kazi usipate. Kiukweli ajira za Sasa ni changamoto, unapoenda kuomba kazi Kuna watu Wana watoto/ndugu/majirani/rafiki wanahitaji ajira hizohizo.700k
Sawa mkuu,ilikuaje hiyoKuna utapeli ndugu. Nami niliwahi kutapeliwa 400,000 miaka kadhaa iliyopita kwa ahadi za Kama hizi. Kuwa makini Sana, unaweza toa hiyo hela na kazi usipate. Kiukweli ajira za Sasa ni changamoto, unapoenda kuomba kazi Kuna watu Wana watoto/ndugu/majirani/rafiki wanahitaji ajira hizohizo.
Sawa mkuu,ilikuaje hiyoKuna utapeli ndugu. Nami niliwahi kutapeliwa 400,000 miaka kadhaa iliyopita kwa ahadi za Kama hizi. Kuwa makini Sana, unaweza toa hiyo hela na kazi usipate. Kiukweli ajira za Sasa ni changamoto, unapoenda kuomba kazi Kuna watu Wana watoto/ndugu/majirani/rafiki wanahitaji ajira hizohizo.