Kwa umakini huu CHADEMA itafika mbali sana

Kwa umakini huu CHADEMA itafika mbali sana

Ukizisoma kwa makini post za hawa Buku7 utagundua kuwa ni watu ambao upeo wao uko chini sana na sio wa kuweza kupewa nafasi ya ajira popote zaidi ya pale Lumumba ambapo ajira inaangaliwa surname yako ni nani. Sasa wao wanafikiri kila mwenye kutetea mabadiliko ni mchovu,hawajui kuwa hao wanaowabeza wengine ni senior officers katika serikali hii hii na ndio ambao kila upuuzi wanaopanga wanaufikisha kwa wapinzani kiasi kwamba hakuna siri inayofichika siku hizi.
Mkuu chakaza ...umeongea ukweli...nafkiri hawa vijana wa CCM wengi wamegeuza siasa ndo ajira yao kuu...sasa wanaona vijana wengine nao ni hivyo hivy....bila kujua sisi wengine tunapenda mabadiliko ili kodi zetu tunazokatwa zifanye kazi iliyokusudiwa....
 
Mimi nasubiri zile picha za satellite. Magamba hawajui jinsi CDM ilivyojipanga wanabwabwaja tu.
 
I wonder how much CHADEMA has paid you to come up with this analysis.
ndio uzuri wa magamba bado mpo ktk analogi! Kumbe ni zama za digitali! Weka king'amu utaona bila chenga mwananu!
 
I wonder when r u gon start using ur mind to think...amka Dada..nyakati za ukombozi ndo hizi...nitajie jambo moja tu ambalo u r proud of ur government..tell me..what???
Nirudie tena kuwaambia CCM.Huu ni wakati ambao historia ipo kazini.Ni wakati wa mabadiliko toka kwa Mungu.Maumbile yanabadilika.Mafuriko yamekuja.Je,CCM mnaweza kuyazuia mafuriko haya kwa mikono?
Hata mkifanikwa kumwua mchungaji,atainuka mchungaji katili zaidi.Kama kuna masalia ya wenye busara CCM basi wawaambie wenzao waachane na Chadema waanze kujiandaa kuwa wapinzani maana mabadiliko yanakuja kwa kasi hata kama CCM hawayataki.
 
HAKAZA, mbona unawasingizia wenzio bwana!
Si kwamba wana upeo mdogo aiseee...
Ni kwamba hawana kabisa...
Sample toka kwa mzee wa PIGA TU ambaye anasemekana ni MWANASHERIA!

MZEE WA PIGA TU SHERIA ALI-PRACTISE WAPI! ALITUMIA CHETI TU APATE AJIRA MAGAMBANI.
 
asante mpuuzi mwenzangu kwa kuchangia topic ya kipuuzi ungekuwa unatumia akili wala usinge changia kwa maana ni ya kupuuzi.


Utajua mimi si mpuuzi mwenzako soon. Inaonekana wewe ni mwimbaji wa taarabu halafu unapakatwa.
 
nheee dr. Mo
nimepata habari kwamba vijana wengi wahitimu wa vyuo vikuu waliojiunga ccm akiwemo shonza na mwampamba, waliahidiwa kufutiwa deni la bodi ya mikopo ya elimu ya juu na ikishindikana kufutika watalipiwa!
Kwa hiyo wengi hawaajiriwi na hawaajiriki...
Ukitaka kujua kwa nini, angalia reply na post zao...
Gentlemen degrees...!

pengine ukawa tofauti lakin ukweli ni kuwa walihongwa! Mwampamba aliahidiwa gar, mil kadhaa na ajira. Shonza kalambishwa pesa. Leo ukitembea mboz ukamtaja mwampamba utaamin nisemayo, kwa kifupi huwa namshaur hum jf achunge kaul zake pia atubu dhamb ya wiz na aitumie pesa aliyohongwa kuanzisha kamrad kwan mwisho wa siasa zake ni mapema sana.
 
Unazuia upepo kwa koti ulovaa, labda kama ni upepo mzaha, utakwenda na koti lako kabla halijapasuka
 
Mkuu Ahsante kwa analysis nzuri sana! Naunga mkono analysis yako!
 
Huo si umakini,ni kufanya maamuzi nje ya pazia,,maamuzi ya cdm yanafanywa na akina mzee mtei..kazi ya baraza kuu ni kutekeleza
 
Wakati mwingine huwa najiuliza hivi kumbe demokrasia ya chadema ni matusi na kuandika sanaa.
Kwanini msichukue hatua kuwakazania vijana wakalima,wakafanya biashara, wakajitolea, wakajitegemea n.k nadhani baada ya wao kunufaika na elimu hiyo kura zao hazitahamishika.
 
PISTO LERO,

Ili kuwaepushia watu vifungo (ban) humu ndani ambavyo vinaweza kutokea kwa kuhamasishwa kuvunja sheria ya "Name Calling" au kwa sababu za Kitaaluma kujilinda na mashambulizi dhidi ya Plagiarism ni vema ungemtambua (acknowledge) Mwandishi wa makala uliyoihamisha kutoka Jukwaa la Great Thinkers na kuileta Jukwaa la Siasa.


Makala halisi na Mwandishi wake inapatikana hapa: Kwanini Freeman Mbowe ghafla amekuwa mlengwa No. 1 wa Dola/CCM?


Ha ha umemfuma eeh anadesa hii habari uliitoa hapa muda
 
Ndugu CHAKAZA, mbona unawasingizia wenzio bwana!
Si kwamba wana upeo mdogo aiseee...
Ni kwamba hawana kabisa...
Sample toka kwa mzee wa PIGA TU ambaye anasemekana ni MWANASHERIA!

Pumbafu sana
 
Huitaji kuwa na elimu ata ya nursery kang'amua hili radhia.
 
Back
Top Bottom