Kwa uhuni huu wanaofanya Bayport nadhani wanajiharibia

Kwa uhuni huu wanaofanya Bayport nadhani wanajiharibia

1xbet Sports - EA

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2017
Posts
789
Reaction score
729
Hiki kikundi nimekifuatilia utendaji kazi wake wa kutoa huduma kwa watumishi wa umma na wasio wa umma, kwa sababu mfanyakazi mpya anapoajiriwa anakosa sifa za kupata huduma ya mkopo kutoka bank, nimegundua kuwa Bayport wanatumia fursa hiyo kupokea maombi ya mikopo kwa kujisifu kwamba wanatoa mikopo yenye riba nafuu, wanakukalisha na kukupigia hesabu ambazo zinaonesha makato yao ni ya kawaida, mziki unakuja pale watakapokuweka kwenye mzani wao, kwanza watakupigia simu kukueleza kwamba kiasi cha mkopo ulichoomba kimeshuka hivyo badala ya kupata mfani million 2, watakupa million 1.8, baada ya hapo ukija kupiga hesabu vizuri, makato yale waliokuandikia wakati wanakipokea kwa tabasamu hayaendani.
Tatizo la pili wana shida kwenye kutoa huduma kwa wale wanaowakata, mfano pale mteja anapoomba balance.
Unaweza ukaomba balance ukakaa miezi Sita hujajibiwa, sasa swali langu Wanakuwa na lengo gani.

Kwa uhuni huu wanaofanya Bayport nadhani wanajiharibia wenyewe, na nashauri ni bora ufe na shida zako kuliko kwenda kuomba mkopo Bayport.
 
Hiki kikundi nimekifuatilia utendaji kazi wake wa kutoa huduma kwa watumishi wa umma na wasio wa umma, kwa sababu mfanyakazi mpya anapoajiriwa anakosa sifa za kupata huduma ya mkopo kutoka bank, nimegundua kuwa Bayport wanatumia fursa hiyo kupokea maombi ya mikopo kwa kujisifu kwamba wanatoa mikopo yenye riba nafuu, wanakukalisha na kukupigia hesabu ambazo zinaonesha makato yao ni ya kawaida, mziki unakuja pale watakapokuweka kwenye mzani wao, kwanza watakupigia simu kukueleza kwamba kiasi cha mkopo ulichoomba kimeshuka hivyo badala ya kupata mfani million 2, watakupa million 1.8, baada ya hapo ukija kupiga hesabu vizuri, makato yale waliokuandikia wakati wanakipokea kwa tabasamu hayaendani.
Tatizo la pili wana shida kwenye kutoa huduma kwa wale wanaowakata, mfano pale mteja anapoomba balance.
Unaweza ukaomba balance ukakaa miezi Sita hujajibiwa, sasa swali langu Wanakuwa na lengo gani.

Kwa uhuni huu wanaofanya Bayport nadhani wanajiharibia wenyewe, na nashauri ni bora ufe na shida zako kuliko kwenda kuomba mkopo Bayport.
Umefanikiwa kupata balance?
 
Pole sana mwalimu
Hiki kikundi nimekifuatilia utendaji kazi wake wa kutoa huduma kwa watumishi wa umma na wasio wa umma, kwa sababu mfanyakazi mpya anapoajiriwa anakosa sifa za kupata huduma ya mkopo kutoka bank, nimegundua kuwa Bayport wanatumia fursa hiyo kupokea maombi ya mikopo kwa kujisifu kwamba wanatoa mikopo yenye riba nafuu, wanakukalisha na kukupigia hesabu ambazo zinaonesha makato yao ni ya kawaida, mziki unakuja pale watakapokuweka kwenye mzani wao, kwanza watakupigia simu kukueleza kwamba kiasi cha mkopo ulichoomba kimeshuka hivyo badala ya kupata mfani million 2, watakupa million 1.8, baada ya hapo ukija kupiga hesabu vizuri, makato yale waliokuandikia wakati wanakipokea kwa tabasamu hayaendani.
Tatizo la pili wana shida kwenye kutoa huduma kwa wale wanaowakata, mfano pale mteja anapoomba balance.
Unaweza ukaomba balance ukakaa miezi Sita hujajibiwa, sasa swali langu Wanakuwa na lengo gani.

Kwa uhuni huu wanaofanya Bayport nadhani wanajiharibia wenyewe, na nashauri ni bora ufe na shida zako kuliko kwenda kuomba mkopo Bayport.
 
Sehemu salama ya kukopa ni benki tu. Ukishajipeleka kwenye hizo taasisi za kifedha, basi hakuna namna itabidi ukubaliane tu na maumivu makali ya makato ya kubambikiwa kwa tamaa ya kutaka kupata mkopo wa haraka haraka.
 
Sehemu salama ya kukopa ni benki tu. Ukishajipeleka kwenye hizo taasisi za kifedha, basi hakuna namna itabidi ukubaliane tu na maumivu makali ya makato ya kubambikiwa kwa tamaa ya kutaka kupata mkopo wa haraka haraka.
Nimejifunza, na nitawaelimisha wengine.
 
CRDB na NMB asilimia kubwa ndio sehemu salama zaidi ya kukopa achana na hizo taasisi zingine za kifedha utaishi maisha magumu
Kweli mkuu, hizi taasisi zipelekwe kwa CAG na zifutwe kabisa. Wanafanya kazi kihuni huni sana. Tatizo kwa mwazoni tunakuwa hatuelewi ndio wao wanapotumia kutokuelewa kwetu na wanaamua kutupiga
 
Hiki kikundi nimekifuatilia utendaji kazi wake wa kutoa huduma kwa watumishi wa umma na wasio wa umma, kwa sababu mfanyakazi mpya anapoajiriwa anakosa sifa za kupata huduma ya mkopo kutoka bank, nimegundua kuwa Bayport wanatumia fursa hiyo kupokea maombi ya mikopo kwa kujisifu kwamba wanatoa mikopo yenye riba nafuu, wanakukalisha na kukupigia hesabu ambazo zinaonesha makato yao ni ya kawaida, mziki unakuja pale watakapokuweka kwenye mzani wao, kwanza watakupigia simu kukueleza kwamba kiasi cha mkopo ulichoomba kimeshuka hivyo badala ya kupata mfani million 2, watakupa million 1.8, baada ya hapo ukija kupiga hesabu vizuri, makato yale waliokuandikia wakati wanakipokea kwa tabasamu hayaendani.
Tatizo la pili wana shida kwenye kutoa huduma kwa wale wanaowakata, mfano pale mteja anapoomba balance.
Unaweza ukaomba balance ukakaa miezi Sita hujajibiwa, sasa swali langu Wanakuwa na lengo gani.

Kwa uhuni huu wanaofanya Bayport nadhani wanajiharibia wenyewe, na nashauri ni bora ufe na shida zako kuliko kwenda kuomba mkopo Bayport.
Ndugu yngu mambo ya mikopo tu kwanza ni shida sana ukishaingia kwenye circle hiyo haijalishi umekopa wapi kutoka nje ya huo mfumo itakuwa ngumu sana kwako. Ndg pambana uyamalize na ukifanikiwa achana kabisa na hizo mambo ndg ni mtego wenye janga kubwa ndani yake asee
 
Ndugu yngu mambo ya mikopo tu kwanza ni shida sana ukishaingia kwenye circle hiyo haijalishi umekopa wapi kutoka nje ya huo mfumo itakuwa ngumu sana kwako. Ndg pambana uyamalize na ukifanikiwa achana kabisa na hizo mambo ndg ni mtego wenye janga kubwa ndani yake asee
Mkuu ni bora kwenye mabenk, ila hawa Bayport na vichaa wenzao wanazigua sana. Yani Uzi huu uwafikie waajiriwa wote wa umma na binafsi kwamba bora safe na shida zao kuliko kuingia kwenye hao wahuni.
 
Jamani ilo ni janga ukitaka kulipa deni watakuzungusha kupata barua kujua balance ya deni ili ulipe adi nikawasemea kwa afisa utumishi sirudi tena kwao.
 
Jamani ilo ni janga ukitaka kulipa deni watakuzungusha kupata barua kujua balance ya deni ili ulipe adi nikawasemea kwa afisa utumishi sirudi tena kwao.
Hawa dawa yao kila mtumishi awakwepe kama kabisa. Hawafai kabisaaa.
 
Sehemu salama ya kukopa ni benki tu. Ukishajipeleka kwenye hizo taasisi za kifedha, basi hakuna namna itabidi ukubaliane tu na maumivu makali ya makato ya kubambikiwa kwa tamaa ya kutaka kupata mkopo wa haraka haraka.
Kumbe Bayport cyo benki
 
Kumbe Bayport cyo benki
Kwa sasa wamekuja na mkakati mpya kwa wale wateja wao wa zamani. Kuna jamaa wameniambia wanashawishiwa kwa kila hali wakope tena! Bila shaka hii taasisi na watu wake hawana hata chembe ya aibu! Umemuibia mtumishi hapo awali, halafu leo unataka umuibie tena mchana kweupe! Nb: wana mbinu nyingi.

Ni kosa kuwapa document ya aina yoyote ile! maana utakuta Wamekuingizia hela halafu makato ya kufa mtu na maumivu yataaza upya! Sasa ukijumlisha na huu usawa wa mzee magu, basi unaweza ukajikuta umehama nchi!

Kukopa ni benki tu! crdb, nmb, nbc, viccoba nk. Ukishaona umeenda kwenye taasisi za fedha, sijui bei nani! basi ujue umeshapoteza mwelekeo wa maisha. Wana riba inayofikia mpaka 300% ya pesa uliyokopeshwa.
 
Hawa jamaa walitaka kunifanya uhuni, nilichokifanya niliwachezesha shere hawa ngedere wao hadi wakachanganyikiwa. Baadae nikapeleka Claims zangu B.O.T walivyopigiwa simu jasho liliwatoka. Hawa jamaa sasa hv wako regulated na B.O.T, kwahiyo ukipeleka malalamiko huko wanaogopa Sana!
 
Kwa sasa wamekuja na mkakati mpya kwa wale wateja wao wa zamani. Kuna jamaa wameniambia wanashawishiwa kwa kila hali wakope tena! Bila shaka hii taasisi na watu wake hawana hata chembe ya aibu! Umemuibia mtumishi hapo awali, halafu leo unataka umuibie tena mchana kweupe! Nb: wana mbinu nyingi.

Ni kosa kuwapa document ya aina yoyote ile! maana utakuta Wamekuingizia hela halafu makato ya kufa mtu na maumivu yataaza upya! Sasa ukijumlisha na huu usawa wa mzee magu, basi unaweza ukajikuta umehama nchi!

Kukopa ni benki tu! crdb, nmb, nbc, viccoba nk. Ukishaona umeenda kwenye taasisi za fedha, sijui bei nani! basi ujue umeshapoteza mwelekeo wa maisha. Wana riba inayofikia mpaka 300% ya pesa uliyokopeshwa.
Aise saivi wanashinda maeneo ya kupokelea walimu wapya. Uking'aa tu wanakuvaaa
 
Back
Top Bottom