Kwa Thomas - Kimara bucha


Uko deep!
 
....Hivi na ule mjengo uliopo pale kimara sijui ndio wanaita korogwe uande wa kushoto kuelkea Moro unaodaiwa kuwa ndio ilikuwa garage yenyewe bado analimiliki au FBI walipiga stop kutumika tena?

Ule upo ila Tanroads wameupita X uanatakiwa kubomolewa. Siku hizi pamepooza sana. Ndani miscraper kibao!
 

Thomas hana mtoto mmoja. Waliokuwa wakilelewa pamoja na wa mke wake mdogo ninaowajua mimi walikuwa kumi. Kati ya watoto wake wapo walioendelea na wana nafasi zao nzuri. Hakumdekeza mtoto.
 

john akuchagua alimdoka na ma barmed wake wote akafa nao maskin
 
Thomas hana mtoto mmoja. Waliokuwa wakilelewa pamoja na wa mke wake mdogo ninaowajua mimi walikuwa kumi. Kati ya watoto wake wapo walioendelea na wana nafasi zao nzuri. Hakumdekeza mtoto.
Ana watoto wengi sana.......wakija wote wanaweza kujaa kwenye ile gerage au pale kwenye yard ya trailers alipowakodishi wachina.

Thom mhuni yule....anatafuna hadi mke wa mwanae.....pambafu sana!!
 

na Mwanjelwa je...nasikia lilikuwa jina la mtu
 
na Mwanjelwa je...nasikia lilikuwa jina la mtu

Mwanjelwa ni jina la mtu so far wanyakyusa na mwa mwa hawajambo...kuna mwakibete, mwakangale,mwakasege,mwaifupe,mwansasu,mwasomola,mwaikokesya,mwamaso,mwakitwange,mwakaleli,mwatisi,mwandege n,n
 
Kibosho= KIBO SHOW And Kiborlone= KIBO ALONE
 
huyu mzee thomas alikuwa mfanyabiashara mkubwa, alikuwa na hardware gerezani, pamoja na workshop ya kukunja bati za kutengeneza body za malory, hivyo alikuwa akifanya biashara pia ya vyuma. sasa katika hiyo karakana yake iliyoko gerezani, ndipo magaidi waliolipua ubalozi wa marekani walipopeleka kutengeneza vifaa vyao ambapo kulikuwa na mitungi ya ges ile mirefu ilichomelewa hapo.

mafundi waliofanya hiyo kazi hawakujua ni kwa ajili ya nini, wao walijua.ni kazi tu kama wanavyofanya nyingine. baada ya tukio la kulipuliwa ubaloz wa marekani kutokea, cia & fbi walipoanza kutrace vifaa vilitengenezewa wapi, ndipo ikajulikana vilipotengenezewa hapo kwa mzee thomas, hivyo akawa included, ji moja ya kesi ambazo zimechangia kuzorota kwa biashara zake amekuja kuonekana hanabhatia baada ya muda sana
 

yupo mama mmoja anaitwa Renata Lyakurwa alikuwa mwalimu kisutu akifundisha English. huyu alinfundisha huyu mzee english mpaka akajua, alipojua akaanza route za kwenda nje kama uk, baadaye alimshawishi huyu mwalimu wa kisutu aache kazi, kweli akaacha ampa kazi ya kusimamia na kuuza duka lake liloloko gerezani likiuza angles,flat bars, round pipes, plates na takataka zote, alimshawishi kwa kumlipa mshahara mkubwa kuliko aliokuwa analipwa na serikali.

Huyu mama kama kawaida ya wachaga baadaye akaanzisha kaduka kadogo kakuuza chuma rejects na used hapo hapo gerezani. baadaye kikachanganya,akaacha kazi kwa thomas, akakomaa na duka lake hadi hivi sasa kamzidi hata huyo thomas mwenyewe, ana bonge ya store gerezani akiuza all metal product nondo, bati, flat bars ,angles etc za nje ndani na nje, pia ana maduka mengine ya jumla na rejareja Buguruni; godown ilala, buguruni na tabata matumbi. hardware zake zinaitwa MWALIMU HARDWARE. pia anauza bidhaa nyingine kama nguo toka china & other products
 

haahaaa bez kauza nahisi ameuzia wanaouza skrepaaa haahaaa. Usicheke. Yuko. Na. Raum. Txxz acy
 
Mamaya,


Huyo cha mtoto.

Kuna jamaa anaitwa Saidi ama side kwakiingereza alikuwa akija wazungu wa misaada anaongea. Nao yeye alafu. Anamweleza Tom kwa kiswahili.

Dah. Jamaa. Asiwambiee. Anataka kuanzisha yake garage wakampa miezi. Mitatu atupe kila kitu anachoitaji na kitu gan wamsaidie. Aisee jamaa yuko pale opp. Na lions hotel sinza anatengeneza bodi kama hana akili nzuri.

Hope bado yuko maana alikuwa moto. Walikuwa wana-share na tall yule nduguye tom ambae alikuwa anasimamia garage yake akaondoka na salama.. Yake...
 
ana watoto wengi sana.......wakija wote wanaweza kujaa kwenye ile gerage au pale kwenye yard ya trailers alipowakodishi wachina.

Thom mhuni yule....anatafuna hadi mke wa mwanae.....pambafu sana!!

katafuna dadake nnmkewamwanae??akaza naemtoto bwabwa anaitwa denis mpangomzima ukibip anakuja fasta .. Sosad nayuledadake akaparalaizi upandemmoja mpakakesho ukimwona. Tom ayukosawa nwdays
 

Acha uongo
 

Uko sahihi sana kaka, mi nmezaliwa bucha na nmekulia bucha huyo jamaa anatoa historia za vijiweni
 
katafuna dadake nnmkewamwanae??akaza naemtoto bwabwa anaitwa denis mpangomzima ukibip anakuja fasta .. Sosad nayuledadake akaparalaizi upandemmoja mpakakesho ukimwona. Tom ayukosawa nwdays

Dennis anaishi huku kwetu sa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…