Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Wala nisingepepesa macho. Ningechagua kuwa Mtume Muhamad. Tabia zangu na zake zinaendana sana. Napenda sana maisha ambayo aliishi kutokana na tabia zangu.
Maisha ya Yesu Masihi yalikuwa magumu sana na ya kubore. Hayakuwa na chereko chereko, hakuwa aki enjoy life.
Mimi ningeamua kuishi kama Muhamad nikiwaza mke wake wa kwanza na wale wengine na maisha yake. Alikuwa ana enjoy sana life. Na maokoto ya kutosha. Na alikuwa mtu anbaye ukiingia kwenye 18 zake anakuchakaza vibaya. Alifanikiwa sana hata kiuchumi kwa kuhakikisha watu maboya wanaachia walichokuwa nacho.
Nimeongea kwa ujumla ukitaka aya nitazileta tu. Ndo maana naona Ukristo ni Mgumu kuliko Uislamu ambao upo simple sana tena mimi ngechagua kuishi kabisa kama Muhamad kwa kuendana na tabia zangu.
NAWASILISHA.
Maisha ya Yesu Masihi yalikuwa magumu sana na ya kubore. Hayakuwa na chereko chereko, hakuwa aki enjoy life.
Mimi ningeamua kuishi kama Muhamad nikiwaza mke wake wa kwanza na wale wengine na maisha yake. Alikuwa ana enjoy sana life. Na maokoto ya kutosha. Na alikuwa mtu anbaye ukiingia kwenye 18 zake anakuchakaza vibaya. Alifanikiwa sana hata kiuchumi kwa kuhakikisha watu maboya wanaachia walichokuwa nacho.
Nimeongea kwa ujumla ukitaka aya nitazileta tu. Ndo maana naona Ukristo ni Mgumu kuliko Uislamu ambao upo simple sana tena mimi ngechagua kuishi kabisa kama Muhamad kwa kuendana na tabia zangu.
NAWASILISHA.