Kwa staili hii CHADEMA kimeisha

Kwa staili hii CHADEMA kimeisha

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Kama ni mfatiliaji wa siasa za bongo utajua bila shaka yoyote CHADEMA inaanguka kwa kasi ya ajab.

Baada ya kumwita Zitto ni msaliti na kususa hata mambo ya kifamilia ya Zitto CHADEMA wamekosa mvuto na wanaanguka kwa kasi ya ajabu.

Ni juzi Mdee alimtuhumu mbunge mwenzie Leticia kama ni msaliti.Wapo waliwahi kumwita Shibuda ni msaliti.

Bila shaka baadhi ya wabunge 2015 wataiacha CHADEMA.

Kuthibitisha haya dr. Slaa amekimbilia UKAWA na kujifanya haini mtifuano mzito pale Ufipa.

Taarifa za ndani ni kuwa wapo wanasuburi muda appropriate ufike mambo yawe hadharani.
 
1.Ukabila.

2.Udini.

3.Ukanda.

Na ubaguz wa waz waz ndan ya chama hiko umekiua moja kwa moja.

Pamoja na kwamba ccm imeshindwa moja kwa moja lakin chadema kimekosa qualifications za kuwa mbadala wake.

Kama Mnabisha tuombe uhai 2015.
 
Kwi kwi kwi kwi kwi lol!!!! Hahahahahahahaha we heard this song before, but there are no fans out there to fall in love with your song. Please try a new song 🙂🙂
 
1.Ukabila.

2.Udini.

3.Ukanda.

Na ubaguz wa waz waz ndan ya chama hiko umekiua moja kwa moja.

Pamoja na kwamba ccm imeshindwa moja kwa moja lakin chadema kimekosa qualifications za kuwa mbadala wake.

Kama Mnabisha tuombe uhai 2015.

nakupa tano mkuu
 
Kwi kwi kwi kwi kwi lol!!!! Hahahahahahahaha we heard this song before, but there are no fans out there to fall in love with your song. Please try a new song 🙂🙂
zito msaliti.leticia nyerere msaliti.shibuda msaliti.arfi msaliti.nasssar msalit. iki chama kwishnei
 
Chadema imekalia kuti kavu.Operation zote wanazozipanga zinafeli, sasa hivi wamejificha nyuma ya mgongo wa UKAWA..CHADEMA IMEPOTEZA MVUTO KWA WATANZANIA
 
...Bado wanajaribu kulivua gamba, sasa wamegundua uhai wao unategemea gamba wamebaki wanang'aa macho kila mtu analiogopa kulivua gamba kwi kwi kwi kwi lol!!!! Hayo ndiyo MACCM Mkuu hayaishi kufanya usanii na kauli zao chungu nzima za usanii zisizo na mashiko...Big Results Now!!!! lol!!!!! Hakuna hata kiduchu cha Big Results bali tunachokiona ni kuzidi kushamiri kwa ufisadi kila kukicha. Yale mabilioni ya Uswiss "uchunguzi unaendelea" tangu June 2012!!!!! Miaka miwili sasa!!!!! Bora wabadili tu kauli yao na kuwa Big Corruption Now

Kama Ccm!!!
 
kama ni mfatiliaji wa siasa za bongo utajua bila shaka yoyote chadema inadrop kwa kas ya ajab. baada ya kumwita zito ni msaliti na kususa ht mambo ya kifamiliaya zito chadema wamekosa mvuto na wanadrop kwa kasi ya ajab. ni juz mdee alimtuhum mbunge mwenzie leticia km ni msaliti.wapo waliwah kumwita shibuda ni msaliti. .bila shk baadhi ya wabunge 2015 wataiacha chadema. kutrhibitisha haya dr slaa amekimbilia ukawa na kujifanya haini mtifuano mzito pale ufipa. taarifa za ndani ni kuwa wapo wanasuburi mda appropriate ufike mambo yawe hadharani.

Chadema imebaki mifupa nyama walishakula akina Slaa na Lema
 
kuna wabunge washachoka kuburuzwa chadema. subiri muone
 


😛eace:😛eace:😛eace:

Alutta continua!!! continua!!!
 
Kama ni mfatiliaji wa siasa za bongo utajua bila shaka yoyote CHADEMA inaanguka kwa kasi ya ajab.

Baada ya kumwita Zitto ni msaliti na kususa hata mambo ya kifamilia ya Zitto CHADEMA wamekosa mvuto na wanaanguka kwa kasi ya ajabu.

Ni juzi Mdee alimtuhumu mbunge mwenzie Leticia kama ni msaliti.Wapo waliwahi kumwita Shibuda ni msaliti.

Bila shaka baadhi ya wabunge 2015 wataiacha CHADEMA.

Kuthibitisha haya dr. Slaa amekimbilia UKAWA na kujifanya haini mtifuano mzito pale Ufipa.

Taarifa za ndani ni kuwa wapo wanasuburi muda appropriate ufike mambo yawe hadharani.

Wewe utakufa na utaicha CHADEMA ikiwa bado ni moto wa kuotea masafa marefu kwa Ma gamba na wasaliti wote.
 
Nyani siku zote haoni.... Na wale waliomshinikiza Kikwete mara mbili ili afukuze mizigo ya Mawaziri, ilikuwaje vile!? You can do better than this!!! Please use your brain Mkuu.

Tayari miswada hiyo imeibua sintofahamu nyingi huku wabunge wengi wakiipinga, hasa muswada wa VAT ambao Serikali imeweka kodi hiyo katika biashara ya uuzaji wa majeneza, utalii, usindikaji wa maziwa pamoja na makandarasi wazawa.


"Baada ya kutoka St Gasper mchana atakutana na Baraza la Mawaziri katika jengo la Mkapa House," zilieleza taarifa hizo.

Ujio wa Rais unatafsiriwa kuwa ni njia ya kutoa maelekezo na kukubaliana kuhusu Bajeti ya Serikali ambayo wabunge wengi wameonekana kuilalamikia kwa kiasi kikubwa.

Mbali na wabunge wa upande wa upinzani, lakini baadhi ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika michango yao walionyesha nia ya kuikwamisha bajeti kama baadhi ya maeneo hayatafanyiwa marekebisho.


Rais Kikwete kuiweka sawa bajeti - Kitaifa - mwananchi.co.tz

kuna wabunge washachoka kuburuzwa chadema. subiri muone
 
Back
Top Bottom