Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
- Thread starter
- #81
Mkuu;Ni vigumu sana kufurukuta
Jamaa ana vimeo.vingi sana tutammaliza within seconds!
Ana mkopo wa Bilioni moja kajichota Nssf,hajatoa maelezo zaidi ya kusema Musiba chizi
Ana NGO anajifanya ni kwa ajili ya masndeleo ya bumbuli,kumbe ni kichaka cha kutakatisha mabilioni ya pesa ambayo hayawafikii walengwa
Tatizo la siasa za Tanzania huwezi kuchukua ni kweli kwa yote yanayosemwa.
Sikatai kuwa inawezekana unayosema ni kweli lakini kumbuka pia historia ina bainisha kuwa mengi yanayosemwa kuhusu wanasiasa wa Tanzania huwa sio kweli.
Nakumbuka kuna kipindi tulikuwa tunaambiwa kila jengo lefu nchini lilikuwa la Ridhiwani Kikwete. Kwa sasa husikii tena bali hoja zimehamishiwa kwa Makonda.
It's worth taking with a pinch of salt!