Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
- Thread starter
- #101
Mkuu;Huyo Makamba wala sio smart kihiiivyo mnampamba tu, kilichombeba ni historia ya familia na platform alioipata, hata ungekua wewe ungepata hiyo platform ungeshangaza dunia
Kwa sasa tutajua kama kweli historia ya familia na platform alizopata ndizo zilimbeba mpaka kufika hapa alipofika.
Tunakoelekea ambako sio mbali tutapata hard fact.