Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
- Thread starter
- #41
Hoja yako nadhani haina ubishi hasa kutokana na hulka ya Rais Magufuli lakini pia ujumbe uliokuwa kwenye waraka.Ameshakatwa mkia tayari
Hoja yako nadhani haina ubishi hasa kutokana na hulka ya Rais Magufuli lakini pia ujumbe uliokuwa kwenye waraka.Ameshakatwa mkia tayari
Mkuu;nchi hii hata Joti anaweza kuwa powerful ilimradi tu mapolisi wakiwa upande wake!
Kwisha habari yakeKwa sasa ni wakati wa kumpima ‘’Samaki’’ January Makamba kama ana nguvu nje ya maji yanayoitwa CCM.
Mkuu;hawa ni wale wabebwa kwa mbeleko, nje ya kubebwa hamna kitu utaona atakavyopotea labda apate wataombeba.
Mkuu;Hana nguvu yoyote walibebwa na wazazi wao,hata ww mzazi wako angekua yupo kwenye system kitambo ungeshakua umepata nafasi ya kiuongozi serikalini.
watoto wa masikini wenye elimu na uwezo mkubwa zaidi yao wapo wengi zaidi ya hao unaowaona ila wanakosa connection tu.
Mkuu;Nguvu ya mamba kumayi
Mkuu;Kwa uwezo wa kisiasa ktk kufikiri na kuchanganua mambo na sarakasi za ccm makamba siwezi kumlinganusha na Bashe, bashe yupo vizuri zaidi ktk pilika za siasa ya kiccm.
Mkuu;
Katika hoja yangu nimejaribu kuchambua sehemu kuu mbili. Moja ndio umeiandika lakini pia sehemu ya pili ni wale wanaosema ana nguvu na weledi wa kisiasa.
Muda hutoa jibu sahihi. Tusubiri kwa sasa huo muda kutupa jibu sahihi.
Mkuu;Makamba mweupe tu hata kufanya mtiani wa form six alifanya manoeuver tu,
Kazi yenyewe foreign affair alipata kwa upendeleo hakufanya usaili wala nini.
Hata kusomeshwa kwake masters US was not by merit ilikuwa upendeleo dhahiri.
Mkuu KirangaSioni scenario ya January Makamba kuondolewa uanachama CCM. Na sioni kwamba Magufuli anataka kufanya hivyo.
Baada ya kusema hivyo, sioni hata kama Magufuli mwenyewe anajua kesho anataka kufanya nini, kwa hiyo anaweza kuamka na mzuka wowote.
Ni kweli wamezaliwa kwenye "political silver spion"Makongoro na Madaraka hawakuwa born with "a political silver spoon"?
Mkuu;Kukaa ndani ya system ilikuwa ni malipo ya JK kwa baba yake, kwa mchango wake ndani ya mtandao. Na yeye alijiandaa kwa makubwa. Yes ana akili zake. Sio sawa na Nape ambaye sijui wanampendea nini maana kichwani ni kama sifuri kabisa
Mkuu;Sina cha kukosoa katika uwezo wa January katika siasa. Binafsi nampa A plus. Jambo la Msingi hapa la kujiuliza ni je,hakuyaona mazingira ya kisiasa yalivyomzunguka na kuwa makini zaidi katika ngwe hii? Aliweza kutabiri matokeo ya hizo harakati zake backstage na kuhakikisha kwamba matokeo yake yatakua positive kwenye ndoto zake za siasa? Katika hii game mpaka sasa amegain au amelose? Atagain au atalose?
Mkuu;Umeniwahi aisee.. kwa mara ya kwanza anaenda kuwa mbunge wa kawaida bila ujiko wa madaraka. Atakuwa mwanasiasa wa aina gani?
Mkuu;Kwisha habari yake
Nimeeleza ninachoona kinawezekana, na kuweka mipaka ya uwezo wangu kutabiri kwa uhakika, kwamba, pamoja na maoni yangu haya, usiende ku bet kwa maoni haya, halafu Makamba akafukuzwa uanachama, halafu ukamlaumu Kiranga.Mkuu Kiranga
Nadhani andiko lako kama limejipinga lenyewe!
Umeandika huoni kama Makamba Jr anaweza kuondolewa uanachama wa CCM halafu hapo hapo ukasema inawezekana kwa sababu Rais Magufuli haeleweki!
Mimi ninakubaliana na wewe kwenye hoja ya Rais Magufuli kutoeleweka.
Rais Magufuli ana tatizo kwenye kufuata taratibu, kanuni na sheria zilizowekwa.
Siwezi kushangaa nikisikia Makamba Jr amefukuzwa ndani ya CCM kama zile sauti zilizofukuliwa zilikuwa kweli niza Makamba Jr.
Inawezekana zile sauti zimetolewa ili kuufahamisha umma kuwa kuna mengi zaidi watoa sauti wanayajua.
CCM ni sawa na chemchem isiyokauka maji na iliyo kwenye mbuga ya wanyama. Kila mnyama ataitegemea sana chemchem hiyo kipindi cha kiangazi na kipindi cha masika baadhi ya wanyama wataidharau , wengine watafika hatua ya kutemea mate na kujisaidia pembeni
Mkuu;Mkuu umetoa overview nzuri sana. Waandishi wetu wa habari kina Pascal mayala wangekuwa na kazi ya kudadavua kama wenzao wa ulaya kwa kuangalia the Makamba family in totality, I'm sure wangekuja na story tamu sana. I believe is not about January but the Makamba syndrome including Snr, jnr, sister and even mother. There is a story to tell, very touching one.