Zumbe Kimweru
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 340
- 27
kiweledi, Magufuli hapaswi hata kutamka jina Muhongo sidhani kama Ndugu yetu Mpendwa Mungu amlaze Pema Deo Filikunjombe leo angenyamaza kuona huyu ndg yuko kwny baraza hili la awamu ya 5.Asingenyamazaa kiukweliii.