Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,018
Sa si ndo uungane naye ili usheherekee vizuri huo muungano???...Peleka hamu zako gulioni kuleee. Tupishe wenzio tunasherehekea muungano.
Sa si ndo uungane naye ili usheherekee vizuri huo muungano???...Peleka hamu zako gulioni kuleee. Tupishe wenzio tunasherehekea muungano.
Yuko njiani anakuja. Uangalie daladala za mbagala. Mbona tutaunganisha mengi?
tarudi saa ngapi? Mbona baba nanii yeye huwa anawahi kurudi?ukisafiri kiofisi utasikia unasafiri na nani, unapigiwa simu unaulizwa sasa hivi uko wapi