Nimekuwa najiuliza hilo swali kwa sababu zifuatazo;
vizazi vilivyo kuwepo kabla ya Yesu na hata Yesu akiwepo, walikuwa wanaoa wake wengi na Yesu hakuwahi kukemea au kusema kuna ubaya wowote.
Sheria ya kuwa taka Wakristo waoe mke mmoja ilitungwa na Papa Paul baada ya Yesu kuwa alisha nyakuliwa
Sasa najiuliza;
1. Kama kuoa wake wengi haimpendezi Mungu, kwa nini Yesu hakulikemea
2. Dunia tangu zamani wanawake ni wengi kuliko wanaume; Papa Paul alipopitisha hii sheria alikusudia hao wanawake wengine waolewe na nani?
3. Dunia inapita kipindi kigumu ambapo single mothers imekuwa kama fasheni, watoto wa mitaani wamejaa mijini, na hata magonjwa ya ngono yameongezeka nk ambapo ukifikiria vizuri unaweza kuona kuwa uwepo wa wanawake wengi wasio kuwa na wanaume inaweza kuchangia.
Mfano: Ukienda mji kama Mombasa ambapo Wakristo sio wengi, watoto wamitaani na single mother ni wa kutafuta ILA ukienda miji kama Kisumu, Nairobi nk ambapo wakristo ndio wengi, watoto wa mitaani na single mother ni kwa mamia
4. Nafikiri tunahitaji Papa mwingine aangalie vizuri hii sheria kwani inawezekana Papa Paul hakuwa amefikiria vizuri kwa kuangalia miaka mingi ijayo.
vizazi vilivyo kuwepo kabla ya Yesu na hata Yesu akiwepo, walikuwa wanaoa wake wengi na Yesu hakuwahi kukemea au kusema kuna ubaya wowote.
Sheria ya kuwa taka Wakristo waoe mke mmoja ilitungwa na Papa Paul baada ya Yesu kuwa alisha nyakuliwa
Sasa najiuliza;
1. Kama kuoa wake wengi haimpendezi Mungu, kwa nini Yesu hakulikemea
2. Dunia tangu zamani wanawake ni wengi kuliko wanaume; Papa Paul alipopitisha hii sheria alikusudia hao wanawake wengine waolewe na nani?
3. Dunia inapita kipindi kigumu ambapo single mothers imekuwa kama fasheni, watoto wa mitaani wamejaa mijini, na hata magonjwa ya ngono yameongezeka nk ambapo ukifikiria vizuri unaweza kuona kuwa uwepo wa wanawake wengi wasio kuwa na wanaume inaweza kuchangia.
Mfano: Ukienda mji kama Mombasa ambapo Wakristo sio wengi, watoto wamitaani na single mother ni wa kutafuta ILA ukienda miji kama Kisumu, Nairobi nk ambapo wakristo ndio wengi, watoto wa mitaani na single mother ni kwa mamia
4. Nafikiri tunahitaji Papa mwingine aangalie vizuri hii sheria kwani inawezekana Papa Paul hakuwa amefikiria vizuri kwa kuangalia miaka mingi ijayo.