buzitata
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,997
- 7,068
Kwasabu amerika kulikua na mali nyingi ukilinganisha na afrika. Ukianzia madini mpaka ardhi yenye rutubaIngawaje Wazungu waliijua Afrika kwa miaka mingi kabla ya Columbus kugundua Bara la Amerika, lkn Wazungu hawakuja Afrika kwanza mpaka baadaye sana badala yake wakaenda Bara la Amerika (Leo hii USA, Kanada, Mexiko, Argentina, Venezuela, Brazili, Chile n.k.)sasa kwa nini hawakuja Afrika kwanza?