Kwa nini wawe wanapiga chenga…………?

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
Ni akina nani wanaowashawishi au kuwabembeleza wenzao kuoa kati ya wanaume na wanawake? Ni swali rahisi sana kulijibu, kwani karibu kila mtu anajua jibu lake, labda anachoweza kushindwa kukijua ni sababu inayosababisha hali hiyo.

Kwa kadiri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo ambavyo idadi ya wanaume wanaoogopa kuoa inavyoongezeka. Wanaume katika karibu jamii zote duniani, wanaonekana kabisa kuwa hawako tayari kuoa kirahisi, ukilinganisha na wanawake.


Kumekuwa na maswali yasiyo na majibu miongoni mwa watu kuhusu jambo hili. Kumekuwa na swali la ni kwa nini vijana wa kiume wamekuwa waongo sana, hasa linapokuja swala la kuoa. Wapenzi wanaambiana kwamba wamependana, na kwamba wataoana, lakini kinachotokea baada ya hapo ni kwa wanaume kupiga chenga kwa visingizio mbalimbali.


Kwa nini hali hiyo hutokea?

 
Ni akina nani wanaowashawishi au kuwabembeleza wenzao kuoa kati ya wanaume na wanawake? Ni swali rahisi sana kulijibu, kwani karibu kila mtu anajua jibu lake, labda anachoweza kushindwa kukijua ni sababu inayosababisha hali hiyo.

Kwa kadiri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo ambavyo idadi ya wanaume wanaoogopa kuoa inavyoongezeka. Wanaume katika karibu jamii zote duniani, wanaonekana kabisa kuwa hawako tayari kuoa kirahisi, ukilinganisha na wanawake.


Kumekuwa na maswali yasiyo na majibu miongoni mwa watu kuhusu jambo hili. Kumekuwa na swali la ni kwa nini vijana wa kiume wamekuwa waongo sana, hasa linapokuja swala la kuoa. Wapenzi wanaambiana kwamba wamependana, na kwamba wataoana, lakini kinachotokea baada ya hapo ni kwa wanaume kupiga chenga kwa visingizio mbalimbali.


Kwa nini hali hiyo hutokea?

Mwingiliano wa tamaduni yaani kuiga utamaduni wa Magharibi, ni moja ya sababu za vijana wengi kupiga chenga kuoa. Siku hizi ingawa watu wanaoana, lakini uwiano wa wanaooa na wanaopiga chenga umetofautiana sana. vijana wanakwepa majukumu ya ndoa, na wanpenda uhuru, kwa sababu kuna ile dhana kwamba kuoa ni kujinyina uhuru......... huenda maneno hayo yakana na Ukweli, lakini Je ndio watu wasioe au kuolewa?

Wakati wanaume wanapiga chenga, wanwake nao kwa upande wao kuna baadhi yao hawapendi kusikia hilo neno kuolewa kabisaaa, na sababu ni hiyo hiyo ya usasa.............. Mitanndaop ya Intenet na Simu za mikononi, zimewafanya vijana siku hizi kuwa na ma-partner wa mitandaoni, ambao huwasikliana wakiwa mbali na kama ni kukutana huwa ni mara chache sana, kitu ambacho hakiwanyimi uhuru wao................
Sababu ziko nyingi lakini nimetaja baadhi tu...............
 
Mwingiliano wa tamaduni yaani kuiga utamaduni wa Magharibi, ni moja ya sababu za vijana wengi kupiga chenga kuoa. Siku hizi ingawa watu wanaoana, lakini uwiano wa wanaooa na wanaopiga chenga umetofautiana sana. vijana wanakwepa majukumu ya ndoa, na wanpenda uhuru, kwa sababu kuna ile dhana kwamba kuoa ni kujinyina uhuru......... huenda maneno hayo yakana na Ukweli, lakini Je ndio watu wasioe au kuolewa?

Wakati wanaume wanapiga chenga, wanwake nao kwa upande wao kuna baadhi yao hawapendi kusikia hilo neno kuolewa kabisaaa, na sababu ni hiyo hiyo ya usasa.............. Mitanndaop ya Intenet na Simu za mikononi, zimewafanya vijana siku hizi kuwa na ma-partner wa mitandaoni, ambao huwasikliana wakiwa mbali na kama ni kukutana huwa ni mara chache sana, kitu ambacho hakiwanyimi uhuru wao................
Sababu ziko nyingi lakini nimetaja baadhi tu...............

@Tegelezeni.......... Uliyoyasema yana ukweli, lakini hudhani matatizo ya kiuchumi hayana mchango katika hili?
 
wadada wanapenda sana kuharakisha michakato ya ndoa...
huu uharaka ndio unatushtua, tunaanza kuchenga ili tupate mda wa kujiridhisha kama kweli anafaa kuwekwa ndani/mkurupukaji tu...
ishu ya uchumi nayo inachangia, koz ukioa una establish family ambayo inaongeza majukumu kwa kijana hii nayo inapelekea m2 kuchenga!
 
Back
Top Bottom