Kwa nini watu maarufu upendelea Range Rover na G-Wagon?

Ni gari ya ndoto ya vijana wengi
2017-GLS-GLS550-SUV-013-MCFO.jpg

Huyu GLS 550, she's real animal......
 
Lexus ni luxury brand ya Toyota... Ni kama Rolls-Royce kwa BMW au Bentley kwa Volkswagen.
Uko sawa. Lakini BMW na Volkswagen hawakuanzishwa hizo brands. Walifanya kuzinunua, tena nafikiri miaka si mingi. Kwani originally RR na Bentley ni brands za muingereza; hata waanzilishi ni waingereza.
Toyota alianzisha Lexus, hakuinunua sehemu.
 
Ongeeni tu ila Rolls Royce ndo mwisho wa matatizo. Ni kama matoleo ya simu na mkongwe Blackberry
 
Uko sawa. Lakini BMW na Volkswagen hawakuanzishwa hizo brands. Walifanya kuzinunua, tena nafikiri miaka si mingi. Kwani originally RR na Bentley ni brands za muingereza; hata waanzilishi ni waingereza.
Toyota alianzisha Lexus, hakuinunua sehemu.
2017-GLS-GLS550-SUV-013-MCFO.jpg

Nani kamkopi mwenzake kati ya benz GLS 550 na BMW........??
 
Hakuna Range Rover inayoikuta G-Wagon AMG V12 Biturbo kwenye Performance...

Range Rover wameishia V8 Supercharged.

That's why G-wagon ina gharama kubwa kuliko RR.

Very few vehicles can venture off-road, tackle the Nürburgring, and haul five passengers in luxurious comfort, but the Range Rover Sport Supercharged is one of them. A 510-hp supercharged 5.0-liter V-8, eight-speed automatic, and adjustable four-wheel-drive system help it easily hustle down any road or trail. The SVR model ups horsepower to 550 and features a stiffer suspension for even better handling, while a leather-lined and feature-packed interior help it earn its Range Rover badging. Jump to Instrumented Test – Land Rover Range Rover Sport SVR with Performance Tires
14/19 mpg
EPA
4.6 sec
0-60

550 hp
HP
144 mph
Top Speed

Breathtakingly expensive, hugely powerful, and anachronistic in looks, the G63 and G65 are not for the introverted. With roots going back to 1979, it retains its basic fashionista-meets-Sandinista look. In the G63, a twin-turbo 5.5-liter V-8 makes 563 hp and 561 lb-ft and mates to a seven-speed automatic; all-wheel drive is standard. The G65 turns up the crazy even more with a twin-turbo 6.0-liter V-12 that makes 621 hp and 738 lb-ft and moves the three-ton SUV to 60 mph in just 5.1 seconds.

Moja ya perfomance kuu kwenye powerful cars ni acceleration from 0-60mph. RR yenye 5.0 V8 inatoka 0-60mph in 4.6seconds......Gwagon top 6.0 v-12 biturbo inatoka 0-60mph in 5.1seconds.

Fact hapa ni kuwa RR with Smaller engine performs better than G-wagon.
 
Uko sawa. Lakini BMW na Volkswagen hawakuanzishwa hizo brands. Walifanya kuzinunua, tena nafikiri miaka si mingi. Kwani originally RR na Bentley ni brands za muingereza; hata waanzilishi ni waingereza.
Toyota alianzisha Lexus, hakuinunua sehemu.
Hakika Mkuu... Uko sawa kabisa.
 
Very few vehicles can venture off-road, tackle the Nürburgring, and haul five passengers in luxurious comfort, but the Range Rover Sport Supercharged is one of them. A 510-hp supercharged 5.0-liter V-8, eight-speed automatic, and adjustable four-wheel-drive system help it easily hustle down any road or trail. The SVR model ups horsepower to 550 and features a stiffer suspension for even better handling, while a leather-lined and feature-packed interior help it earn its Range Rover badging. Jump to Instrumented Test – Land Rover Range Rover Sport SVR with Performance Tires
14/19 mpg
EPA
4.6 sec
0-60

550 hp
HP
144 mph
Top Speed

Breathtakingly expensive, hugely powerful, and anachronistic in looks, the G63 and G65 are not for the introverted. With roots going back to 1979, it retains its basic fashionista-meets-Sandinista look. In the G63, a twin-turbo 5.5-liter V-8 makes 563 hp and 561 lb-ft and mates to a seven-speed automatic; all-wheel drive is standard. The G65 turns up the crazy even more with a twin-turbo 6.0-liter V-12 that makes 621 hp and 738 lb-ft and moves the three-ton SUV to 60 mph in just 5.1 seconds.

Moja ya perfomance kuu kwenye powerful cars ni acceleration from 0-60mph. RR yenye 5.0 V8 inatoka 0-60mph in 4.6seconds......Gwagon top 6.0 v-12 biturbo inatoka 0-60mph in 5.1seconds.

Fact hapa ni kuwa RR with Smaller engine performs better than G-wagon.
Asante Mkuu kwa kunisahihisha...
 
BMW-X7-rendering-0.jpg

Mkuu we unaona hazifanani kweli......??
Mkuu...

Mercedes-Benz GLS and GLC zimekua developed from Mercedes-Benz GL.

Hizi Benz zipo kwenye market... Hiyo picha ni concept ya BMW X7 ambayo bado haipo sokoni na hiyo picha ni tofauti kabisa na BMX X7 ambayo ilioneshwa na BMW wenyewe.

So ni imagination tu.

Na hata ingekua hivyo basi BMW ndio angekua kacopy kwa Mercedes-Benz.
 
Wenye kujua magari hasa hizo kina range rover ni kwa ajili ya mabishoo tu na sio madereva..... Dereva anachukua kitu cha mjapan peke ake asikwambie mtu , kitu Toyota Kilimo Kwanza, a true off road car and RELIABLE, something that is missing with these Germans and UKs
 
Mkuu...

Mercedes-Benz GLS and GLC zimekua developed from Mercedes-Benz GL.

Hizi Benz zipo kwenye market... Hiyo picha ni concept ya BMW X7 ambayo bado haipo sokoni na hiyo picha ni tofauti kabisa na BMX X7 ambayo ilioneshwa na BMW wenyewe.

So ni imagination tu.

Na hata ingekua hivyo basi BMW ndio angekua kacopy kwa Mercedes-Benz.
shukrani mkuu......
 
Wenye kujua magari hasa hizo kina range rover ni kwa ajili ya mabishoo tu na sio madereva..... Dereva anachukua kitu cha mjapan peke ake asikwambie mtu , kitu Toyota Kilimo Kwanza, a true off road car and RELIABLE, something that is missing with these Germans and UKs
Kweli Toyota ni Reliable...

Tatizo ukiangalia Crash Test... Toyota ni mabox tu.

Hazina Safety nzuri... Ukipata ajali hata ndogo tu,gari inakua kama imetupwa toka mwezini.
 
Back
Top Bottom