miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
wanawake wengi wa kizazi hiki wamechakazwa sana tangu wadogo hivyo wanaona hawataolewa!!!
wanaamua kubambika kwa atakayethubutu yaan atafanya juu chini aolewe na huyo huyo!
Mwanamke anataka three S
Sex
Security (safety )
Service (Food, clothes, Luxury goods, Good Home, e.t.c)
Hivi vyote anavipata kwa Mume na yeye in return anato K tu baaasi. Wanaume kweli hatupati deal zuri in most cases.
Kwanini wasililie ndoa?
Sasa kama hamtaki kutuwowa kwa hiari tufanyeje? Lazma mpigwe tuu
Punguza makali dada angu, najua ume'mind', hata mi najiulizaga kwanini ninyi wanawake mnadanganyika kirahisi sana? we unajua kabisa hapa hamna ndoa halafu unakipeleka everyday, if mngeshikilia bango ndoa kwanza mapenzi baadaye, yote yasingewakuta...hivi mna maana gani ya kusema wamechakazwa kama makopo? unataka kusema tunajichakaza wenyewe madudu yenu si ndo yanahusika kuchakaza .............. we mpaka hapo umechakaza wangapi na ujaoa?
Wanawake nao wanakubali kuzini! Kwanini wawakubalie wanaume?
hii ni kalibu inchi nyingi
za kiafrika,hasa kusini mwa jangwa la sahara,unakuta mtu anajiapiza
lazima fulani anioe, wengie wanatumia mitishamba ili waolewe, mwanaume
ndiye mwenye nguvu ya kumtaka mwanamke amuoe,kinyume chake sababu
umelazimisha kuolewa, unashaanga hata mwezi haujapita watu
wameacha.
ukichunguza sana utaona wanawake wengi huwa wanawapenda wanaume ambao sio waoaji.Sasa kama hamtaki kutuwowa kwa hiari tufanyeje? Lazma mpigwe tuu
Hapo kwenye red umenifanya nicheke sana hadi basi. lol!! Kuna mitishamba ya kumfanya mtu aolewe? Maajabu ya dunia hayahii ni kalibu inchi nyingi za kiafrika,hasa kusini mwa jangwa la sahara,unakuta mtu anajiapiza lazima fulani anioe, wengie wanatumia mitishamba ili waolewe, mwanaume ndiye mwenye nguvu ya kumtaka mwanamke amuoe,kinyume chake sababu umelazimisha kuolewa, unashaanga hata mwezi haujapita watu wameacha.
halafu hayajui kupika wala kufua...
we umechakaza wangapi mpaka hapo? alafu unataka new brand utaitoa wapi? wewe ukiona unamgonga demu alafu unaacha jua na mke mtarajiwa wako kuna jamaa anagonga vilevile kwa hiyo ngoma drooo......
Wanakamata fursa
Hehe et unaona hapa ndoa hamna na unakipeleka kila siku...subr uendewe kw sangoma ndo uipate fresh,unavomfukuzia mtt wa watu af unamuomba game anakupa unatakajeee,si analinda penzi
Punguza makali dada angu, najua ume'mind', hata mi najiulizaga kwanini ninyi wanawake mnadanganyika kirahisi sana? we unajua kabisa hapa hamna ndoa halafu unakipeleka everyday, if mngeshikilia bango ndoa kwanza mapenzi baadaye, yote yasingewakuta...
Punguza makali dada angu, najua ume'mind', hata mi najiulizaga kwanini ninyi wanawake mnadanganyika kirahisi sana? we unajua kabisa hapa hamna ndoa halafu unakipeleka everyday, if mngeshikilia bango ndoa kwanza mapenzi baadaye, yote yasingewakuta...