miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,973
wanawake wengi wa kizazi hiki wamechakazwa sana tangu wadogo hivyo wanaona hawataolewa!!!
wanaamua kubambika kwa atakayethubutu yaan atafanya juu chini aolewe na huyo huyo!
we umechakaza wangapi mpaka hapo? alafu unataka new brand utaitoa wapi? wewe ukiona unamgonga demu alafu unaacha jua na mke mtarajiwa wako kuna jamaa anagonga vilevile kwa hiyo ngoma drooo......