miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,966
ninapokutongoza haimaanishi kwamba nitakuoa na mpenzi sio mke!
unajua chanzo cha kukuchakaza na kukuacha nini hasa???
wengi wenu mna tamaa mnapenda wengi kwann nisikuache!!!
sababu yako haina nguvu.... kumbe unachakaza watoto wa watu ..... kama huna future nae ya nini kutongoza tutawaganda mpaka mkome .......... yani ningekuwa MUNGU ningetengeneza jinsia ya tatu alafu tuone sasa.......... duniani tupo jinsia mbili tu lakini mnavyotusakama utafikiria si tunajichakaza wenyewe.....