Kama ni kuishi bila kuoa manake nisifanye ngono! Kama nataka kufanya ngono basi lazima nioe. Ndio utu na heshima kwa Muumba.Kwani huwezi kuishi bila kuoa?
Kama ni kuishi bila kuoa manake nisifanye ngono! Kama nataka kufanya ngono basi lazima nioe. Ndio utu na heshima kwa Muumba.Kwani huwezi kuishi bila kuoa?
Hapo huyo kaka amchukue tu mtoto alafu limwanamke aliache liendelee kumegwa na huyo jamaa.
...akafika hapo nyumbani alipopanga na akaanza kumgongea mke wake mlango ili amfungulie. Mke akawa hafungui mlango, mara baadaye wakaanza kujibizana kwa muda mrefu na mke wake. Baadaye akaja mpangaji mwenzake kumsaidia huyo kaka. Hatimaye akafungua mlango. Alipofungua tu mlango kumbe kulikuwa na lijamaa linajiexpress na mke humo ndani, halafu lijamaa likaamua kuondoka.
Baada ya hapo huyo kaka akaamua kumuacha mke wake hapo hapo na kwenda kulala nje ya nyumba. Sijui alilala gesti. Akamwambia mke wake utabaki na huyo huyo (lijamaa). Huyo kaka hakurudi tena hapo nyumbani. Bila shaka alibaki kazini maana kazi yenyewe ni ya mchana na usiku...
Jamani Ngono na tendo la ndoa ni vitu viwili tofauti. Tendo la Ndoa ni takatifu na lazima liheshimiwe kamwe huwezi fananisha na uzinzi/uasherati.Kama ni kuishi bila kuoa manake nisifanye ngono! Kama nataka kufanya ngono basi lazima nioe. Ndio utu na heshima kwa Muumba.
Sawa sawa mkuu,hawa wanawake wanatania mapenzi,dawa iliyopo ni kuwazalisha then una pick kamwanao alafu unaachana nao,hawana nidhamu ya mapenzi na most of them ni wavivu na wasio wastahamilivu,hawataki kufanya kazi all they know is to call us(men)Automatic Teller Machines(ATM),they will know sasa who we are!!!Matatizo yote haya yanatokana na kuoa.
You the baddest bitch how many of us can go and wait for those said saints in the church?Didnt u heard bout uhusiano wao na wakuu wa makanisa,maneno yao tuu ndio huvutia lakini matendo yao we cant judge,ni kama nyuki tuu asali yao tuu ndio tamu lakini nyuki ni hatari mno(mafundisho yao ndio mazuri,lakini si matendo).Ni bora kutafuta baddest bitch like you,coz unaweza tulia,kuliko hao wanaotumia mwamvuli wa dini!!siyo wanawake wote wako after money...ila ndiyo hivyo samaki mmoja akiodha wote wameodha.....ila tahadhari tuu wakaka msije mkakata tamaa ya kuoa thinking kila mwanamke ni golddigger or so...if that the case nendeni makasani au book store/Library.....huko mtapata wanawake wa maana......full top
Kwa mfano tukisema kama ifuatavyo tutakuwa tumekosea???
Tendo la ndoa (Ngono) ni tendo la kisaikolojia zaidi. Kwa hiyo baada ya huyu Bwana kusimamishwa kazi aliyokuwa anaipenda na kuithamini akawa mtu mwenye mawazo mengi sana. Pamoja na kuwa amepata kazi yake nyingine lakini hakuridhika na kwa ujumla alikuwa na depression. Lakini huyu Mama hakuchukulia tatizo la mumewe kwa uzito sawa na mumewe, yeye aliendelea kuwa na furaha na mwenye amani (Ingawa aliguswa na athari)
Kutokana na Stress aliyokuwa nayo mwanaume na kazi ngumu (mpya) aliyokuwa akifanya sasa akajikuta kila akirudi usiku amechoka sana na pia hana hamu ya kufanya ngono. Na wakati mwingine hakupenda kula wala kuoga kutokana na msongo wa mawazo. Akiingia kitandani anampa mkewe mgongo. Akiguswa utamsikia anasema nimechoka naomba niache nipumzike.
Kwa vile mama Mwili ulikuwa bado unadai (huwezi lala na mwanume uka-assume eti ni kaka yako mtu ambaye alikuwa anakupa majambozi siku si nyingi) basi akamua kumtunzia mumewe ndoa yake kwa kutafuta solution ya kutimiza haja za mwili lakini bado aendelee kumlelea mtoto na kumpikia ugali wa nazi, na kumfulia nguo ukizingatia mzee yupo busy sana na ana mawazo.
sasa katika kumsaidia kutimiza matamanio ya mwili (ambayo ni jukumu la mume wake na ameshindwa kufanya hivyo) ndio hiyo ajali ikatokea, so tukisema Mwanaume ni chanzo basi asamehe tu, madam amesharudi kwenye kazi yake na perfomance yake (kitandani) bila shaka imerudi to normal sasa, a-assume as if nothing had ever happened.
Je Tutakuwa tunakosea?????
Ndio maana mwishoni nikasema sijui kilichoendelea baada ya hapo kama walirudiana au la hayo tuyaache lakini tuendelee kujadili kisa hiki cha huyo dada kuliruhusu lijamaa hilo kuingia kitandani mwake wakati mumewe akiwa kazini full stop.huyu dada hakuwa mke mwema. PERIOD
GM7 tuna uhakika gani kuwa huyo dada alikwenda kuomba msamaha kwa kuwa jamaa karudishwa kazini? Inawezekana kabisa alikuwa anabuy time ili jamaa hasira ziishe ndo akaombe radhi au unataka kusema baada ya kuachika alikwenda kuishi na jamaa aliyekuwa anajiexpress?
Sawa sawa mkuu,hawa wanawake wanatania mapenzi,dawa iliyopo ni kuwazalisha then una pick kamwanao alafu unaachana nao,hawana nidhamu ya mapenzi na most of them ni wavivu na wasio wastahamilivu,hawataki kufanya kazi all they know is to call us(men)Automatic Teller Machines(ATM),they will know sasa who we are!!!
Kwi kwi kwi kwi kwi, teh teh teh teh. Kazi kweli kweliMbogela...inamaana njia m'badala ilikuwa ni kumsaliti mmewe na je wanawake wote ndiyo mlivyo ..tena kwa madharau aka$%#% kwenye kitanda cha mmewe....au wanaume tuazishe chama cha wapiga punyeto Tanzania(Chaputa) ilituachane na mambo ya kuoa
tuone mtaishije ..https://www.jamiiforums.com/members/mbogela.html
you cant live without it and you can live with it
Makubwa!
Dear Nd. Ndugu,
Haya ni makubwa kweli!
Kwetu Kisumu mngelizika wote wawili - wa kwanza mngelizika ni huyo binti, kwani ni mkosefu wa akili. Ameshindwa hata kumpeleka huyo bwana kwenye chumba cha jirani ili asitirike?.
wanawake ni kama watoto au mtoto anayekua kila cku kwa hiyo ishini nao kwa akili hata mungu amesema,ishu cyo kutokuoa bali ni timing tu,akikuzingua kama jamaa alivyofanyiwa sepa.