Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
sawa sawa kabisa apo Vera
mmh na juzi tuu nilikuwa nakwambia hivyohivyo ukawa unanibishia leo kasema mwingine umechukua point yangu na ku-second the point...
sawa sawa kabisa apo Vera
mmh na juzi tuu nilikuwa nakwambia hivyohivyo ukawa unanibishia leo kasema mwingine umechukua point yangu na ku-second the point...
Mi wewe nakubishia kama Kelly, cause it feels ggod for mi..mi Vera ni respect tu hoja kwa hoja hapa LOL....usijali baby...am always here..
Makubwa!
Haya mambo ya kucheat ni tabia ya mtu haina gender, hivyo sio wanawake wote ni cheaters na wala sio wanaume wote pia. Baadhi ya hawa wanaume na wanawake nadhani wanakuwa na pepo la ngono ndio maana utakuta mtu hata hatosheki na mke wake au mume wake.
Haya mambo ya kucheat ni tabia ya mtu haina gender, hivyo sio wanawake wote ni cheaters na wala sio wanaume wote pia. Baadhi ya hawa wanaume na wanawake nadhani wanakuwa na pepo la ngono ndio maana utakuta mtu hata hatosheki na mke wake au mume wake.
...hakuna cha 'pepo' la ngono wala nini, ni kukosa adabu ya mwili na akili binafsi, kwa mumeo, familia, wakwe pamoja na jamii inayokuzunguka...
iweje unatongozwa..., unapanga miadi, unavua nguo, unaliwa uroda halafu ukifumwa ndio unamsingizia shetani/pepo la ngono ndilo lilokupelekea kutenda kosa via 'diminished responsibility'?
hovyo kabisa
Sio wanawake tu ambao wako hivyo hata wanaume pia wana tabia hizo..
Lakini baada ya takribani wiki moja hivi baada ya tukio. Huyo kaka aliyesimamishwa kazi akarudishwa kazini. Mke naye aliposikia kuwa mme wake aliyekuwa amesimamishwa kazi amerudishwa kazini, eti akaenda kwa mume wake kumwomba msamaha kwa yaliyotokea nyumbani.
...ebana eeh msijidanganye bana,
...huyo mwanamke ndio tabia yake. Asijisingizie eti kwakuwa alipata matatizo ndio maana mamsapu aliliwa uroda...na huyo mume mtu asilegeza kidevu eti mkewe shetani alimpitia! Kupitiwa nyumbani kwake? tena kitandani kwake mwenyewe?
Lazima huyo mwanamama alikuwa anaugawa (Uroda) awali, tena anaendelea kuugawa, na ataendelea kuugawa... ndio tabia yake, wala haibadilishiki...
Jamaa either amuache, au akubali kuendelea kusaidiwa hapo kitandani kwake, na akirudi kazini kwake-'kuzuri', aendelee kujifunika shuka hiyo hiyo mkewe aliyomfutia jamaa 'maji ya uzima'...!
mkuu hii inaumiza roho aiseeeeeeee!
Hahaha sasa fikiria kama hujui vile alafu kitanda hicho hicho ulicho nunua wewe jamaa anakuja kupumnzika na kujiexpress juu dah!!!
dah komredi ni maumivu tu hata sijui kwa nini tuliumbwa na roho za kuuma hivi, nini kujiexpress hata ile kumegwa kawaida tu!