Irikorokonyo
Member
- Nov 16, 2013
- 62
- 31
- Thread starter
- #61
Jamani taratibu coz nampa shem/wif yenu ajisomee mwenyewe post na comments husika,nimemkuta kama mtoa maada alivyosema "kanuna bila sababu".
Hahah, mpe asome kweli maana wanakera hawa watu, unakuta unatoka job na furaha yako tele ukiingia tu ndani mtu kavimba mpaka anataka kupasua nyumba kwa kuvimbiana