The Prezident
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 459
- 176
Alafu hizo picha zote ... huko .. sio kununa ...
Tafteni picha stahili .. !
Tafteni picha stahili .. !
Wewe unafikiri kutoka damu bila kuwa na kidonda kila mwezi utaacha kununa sometimes?
Alafu hizo picha zote ... huko .. sio kununa ...
Tafteni picha stahili .. !
dawa yao ni makofi tu..
Akinuna ww tandika makofi kama matano hvi halafu nenda kajiliwaze kwa mchepuko
By nature, wanawake weng wameumbwa kuamin direct vtu wanavyovifkiria bla kufanya uchunguz wa kna, xo weng hawajiongez ktk kuchanganua mambo mbalmbal in lyf na hyo inawapelekea kuanza kuwa km hzo ktk jamii
Wewe unafikiri kutoka damu bila kuwa na kidonda kila mwezi utaacha kununa sometimes?
Mgiriki hapo sikuungi mkono
kwahyo ww unafikir dawa yao ni nn watu kama hao?
Mm nafanyaga hvyo na hajawahi nuna tena,,,
Pengine ana kinyongo na wewe so ananuna ili umuulize. Ukimkuta mbishi hakuulizi teheee utanuna mpaka utajichekesha mwenyewe.
Mwingine ana stress zake na hajajua cha kufanya so amaishia kununa to the closest person kwake kama mumewe bila ku share nini tatizo.
Mwingine pozi tu anataka abembelezwe, apetipetiweee ebwanae...aulizwe sweeet potato unanini leo... eeee ubani wa roho yangu?! Dadeki akikutana na mzizi mkavu jamaa ndo kwanza anaitisha msosi huku anacheki tv, jamaa hakumbuki hata kama upo pale sembuse eti umenuna lol
ila wapo wanaume wanunaji jamani eeee ukimpata wa hivyo jamani ni msiba hao... loh bora mwanamke anune jamani dah