Irikorokonyo
Member
- Nov 16, 2013
- 62
- 31
Ninaomba kwa anayefahamu sababu inayopelekea wanawake kununa bila hata kuudhiwa na mtu yeyote, unaweza kuta jana alikua mcheshi na mchangamfu ila siku inayofuata kabadilika kabisa, na hata kufikia hatua ya kutomsemesha mtu yeyote yule.