Kwa nini wanawake hawaipendi chadema?

Tolowski

Senior Member
Apr 28, 2011
122
20
Kama unahudhuria mikutano na maandamano ya chadema utagundua kuwa watu wanaohudhuria wengi wao ni wanaume! Najiuliza ni kwa nini? Hata ukiwahoji wanawake m1 m1 wanasema hawaipendi chadema!nimeshafanya hivyo! Wenzetu amerika vyama vya siasa vinapigania sana kukubalika na wanawake. Lakini mikutano ya ccm wanawake huwa wanakuwa wengi sana!! Hata hao wanaume ambao huwa wanahudhuria mikutano ya chadema huwa ni vijana wadogo mapepe flani hivi!busara zero. Ama kweli rafiki wa muhuni ni wahuni wenzake!! Mungu aliwaumba wanawake na busara ya kimungu! Wanajua kipi chema and kipi uozo.
 
Sio kweli.
Mimi ni mwanamke na naipenda sana CHADEMA. Yaan iko kwenye damu. Peoplezzzzz!.... Power. Asikwambie mtu bana. Ukombozi uko njiani.
 
Upo peke yako!!wale akina mdee wanataka ubunge tu,mioyoni wanamfeel jeikei
Sio kweli.
Mimi ni mwanamke na naipenda sana CHADEMA. Yaan iko kwenye damu. Peoplezzzzz!.... Power. Asikwambie mtu bana. Ukombozi uko njiani.
 
Kama unahudhuria mikutano na maandamano ya chadema utagundua kuwa watu wanaohudhuria wengi wao ni wanaume!najiuliza ni kwa nini?hata ukiwahoji wanawake m1 m1 wanasema hawaipendi chadema!nimeshafanya hivyo! Wenzetu amerika vyama vya siasa vinapigania sana kukubalika na wanawake!! Lakini mikutano ya ccm wanawake huwa wanakuwa wengi sana!! Hata hao wanaume ambao huwa wanahudhuria mikutano ya chadema huwa ni vijana wadogo mapepe flani hivi!busara zero!! Ama kweli rafiki wa muhuni ni wahuni wenzake!! Mungu aliwaumba wanawake na busara ya kimungu! Wanajua kipi chema and kipi uozo


Kaka asante kwa kukutusi....Lakini nashangaa,sasa wewe busara yako iko wapi?Kwani maneno yako yanaonyesha una busara zero na ni muhuni tu...so nakuomba uje uunganie na sisi wenzio.....Ubarikiwe..
 
Kama unahudhuria mikutano na maandamano ya chadema utagundua kuwa watu wanaohudhuria wengi wao ni wanaume!najiuliza ni kwa nini?hata ukiwahoji wanawake m1 m1 wanasema hawaipendi chadema!nimeshafanya hivyo! Wenzetu amerika vyama vya siasa vinapigania sana kukubalika na wanawake!! Lakini mikutano ya ccm wanawake huwa wanakuwa wengi sana!! Hata hao wanaume ambao huwa wanahudhuria mikutano ya chadema huwa ni vijana wadogo mapepe flani hivi!busara zero!! Ama kweli rafiki wa muhuni ni wahuni wenzake!! Mungu aliwaumba wanawake na busara ya kimungu! Wanajua kipi chema and kipi uozo
<br />
<br />

Huyo Mungu uliyemtaja ktk thread yako ana amri zifuatazo ambazo unatakiwa uzifuate:
Usiseme uongo - mkuu tujulishe utafiti wako mpaka ufike kwenye hilo hitimisho hapo juu umeufanya lini, wapi, sample size, nk.

Anyway, mambo mengine husikumwa na hisia, na watu hutamani kuhalalisha hisia zao.
 
Kama unahudhuria mikutano na maandamano ya chadema utagundua kuwa watu wanaohudhuria wengi wao ni wanaume!najiuliza ni kwa nini?hata ukiwahoji wanawake m1 m1 wanasema hawaipendi chadema!nimeshafanya hivyo! Wenzetu amerika vyama vya siasa vinapigania sana kukubalika na wanawake!! Lakini mikutano ya ccm wanawake huwa wanakuwa wengi sana!! Hata hao wanaume ambao huwa wanahudhuria mikutano ya chadema huwa ni vijana wadogo mapepe flani hivi!busara zero!! Ama kweli rafiki wa muhuni ni wahuni wenzake!! Mungu aliwaumba wanawake na busara ya kimungu! Wanajua kipi chema and kipi uozo

Hata bibi yangu anaipenda sana CCM, nimewahoji pia baadhi ya wanawake wa uswahilini pia wanaipenda sana CCM. Nilipotaka kujua nikwanini wanaipenda sana CCM bibi yangu alikuwa na haya "Unajua mjuu wangu mimi nakupenda wewe kwasababu unanijali unapokuja kijijini unaniletea sukari, sabuni, mafuta na mavazi hiyo yoote unafanya kwasababu unanijali bibi yako, vivyohivyo hata CCM naipenda sana kwasababu kila wakija hapa kijijini huwa wanatuletea mavazi ona ile Tisheti na kanga zile walitugawia wao lakini wakija hapa chadema kazi yao ni kuzungumza tuu hata hawatupi Tshirt na kanga kama wanavyo fanya CCM" Mwanamke duni wa uswahilini nilipomuuliza kwanini unaipenda CCM? pia alikuwa na haya "Unajua kakaangu mimi nisikufiche sisiemu nawazimia sana unajua hapa mtaani kwetu kila wakija wanatupatia elfu tanotano za bureee kwa kazi ndogo tuu ya kuvaa Tshirt na kofia kisha kuwashangilia na baada ya kumaliza kazi tunajichana miwali, mikuku na bia hebu niambie Chadema wanaweza hayo? wao kazi yao ni kutangaza sera tuu hata wewe kakaangu unafahamu mkono mtupu haulambwi" Lakini kwa upande mwingine wanawake wasomi, vijana ambao tuko nao maofisini wengi wao hawaipendi CCM kwasababu wanafahamu CCM ni nini? na wanahusika vipi na umasikini unalolikumba Taifa lao. Ukitaka kuthibitisha haya kila kwenye mkutano wa CCM lazima utakuta wanawake wengi wamevalishwa khanga na Tshirt za bure na ukiwahoji baadhi watakueleza wamelipwa bei gani kwenda kushangilia, mimi siwezi kuwalaumu kama CCM imeweka mazingira ambayo zaidi ya nusu ya watanzania hawana uwezo wa kutengeneza hata dola moja kwa siku, kwanini wasipokee dola tatu kwenda kushangilia tuu?
 
Hao wanawake wasomi wa chadema mbona hawajitokezi kwenye mikutano yao?
Hata bibi yangu anaipenda sana CCM, nimewahoji pia baadhi ya wanawake wa uswahilini pia wanaipenda sana CCM. Nilipotaka kujua nikwanini wanaipenda sana CCM bibi yangu alikuwa na haya "Unajua mjuu wangu mimi nakupenda wewe kwasababu unanijali unapokuja kijijini unaniletea sukari, sabuni, mafuta na mavazi hiyo yoote unafanya kwasababu unanijali bibi yako, vivyohivyo hata CCM naipenda sana kwasababu kila wakija hapa kijijini huwa wanatuletea mavazi ona ile Tisheti na kanga zile walitugawia wao lakini wakija hapa chadema kazi yao ni kuzungumza tuu hata hawatupi Tshirt na kanga kama wanavyo fanya CCM" Mwanamke duni wa uswahilini nilipomuuliza kwanini unaipenda CCM? pia alikuwa na haya "Unajua kakaangu mimi nisikufiche sisiemu nawazimia sana unajua hapa mtaani kwetu kila wakija wanatupatia elfu tanotano za bureee kwa kazi ndogo tuu ya kuvaa Tshirt na kofia kisha kuwashangilia na baada ya kumaliza kazi tunajichana miwali, mikuku na bia hebu niambie Chadema wanaweza hayo? wao kazi yao ni kutangaza sera tuu hata wewe kakaangu unafahamu mkono mtupu haulambwi" Lakini kwa upande mwingine wanawake wasomi, vijana ambao tuko nao maofisini wengi wao hawaipendi CCM kwasababu wanafahamu CCM ni nini? na wanahusika vipi na umasikini unalolikumba Taifa lao. Ukitaka kuthibitisha haya kila kwenye mkutano wa CCM lazima utakuta wanawake wengi wamevalishwa khanga na Tshirt za bure na ukiwahoji baadhi watakueleza wamelipwa bei gani kwenda kushangilia, mimi siwezi kuwalaumu kama CCM imeweka mazingira ambayo zaidi ya nusu ya watanzania hawana uwezo wa kutengeneza hata dola moja kwa siku, kwanini wasipokee dola tatu kwenda kushangilia tuu?
 
kama unahudhuria mikutano na maandamano ya chadema utagundua kuwa watu wanaohudhuria wengi wao ni wanaume!najiuliza ni kwa nini?hata ukiwahoji wanawake m1 m1 wanasema hawaipendi chadema!nimeshafanya hivyo! Wenzetu amerika vyama vya siasa vinapigania sana kukubalika na wanawake!! Lakini mikutano ya ccm wanawake huwa wanakuwa wengi sana!! Hata hao wanaume ambao huwa wanahudhuria mikutano ya chadema huwa ni vijana wadogo mapepe flani hivi!busara zero!! Ama kweli rafiki wa muhuni ni wahuni wenzake!! Mungu aliwaumba wanawake na busara ya kimungu! Wanajua kipi chema and kipi uozo

chadema hawatoi kanga, vilemba na mabazee kama chama cha magamba wanavyofanya.
 
Umeshawahi kujiuliza kati ya wanawake/wanaume au wazee/vijana ni wepi wanahama sana sehemu zao za kazi? Basi kwa taarifa yako hakuna kiumbe kinachoogopa mabadiliko kama wanawake au wazee, mind zao zimejitune kuridhika na walichonacho kiwe kibaya au kizuri.
1.Kwenye ndoa ukishafikia umri wa uzee hata spouse wako akucheat mtalipeleka swala kwa wazee na mwisho mtaendeleza maisha (wakati kwa vijana mchezo umeishia hapo). Pia ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya wanaume kupenda kujaribu mabadiiko hasa kama hapati kile anachokitaka kutoka kwa spouse wake.
2. Sehemu nyingi za kazi mtu ukishafikia umri fulani wa uzee hata boci wako akutukane vipi utaendelea kukaa ukisubiri kustaafu, vivyo hivyo kwa wanawake. Si tuliooa tunakutana na incidence za wife anakuja huku analia ooh boc kanitukana, mshahara nalipwa kidogo na mambo mengi mabaya ya kazini, ukimwambia hama anasema nimeshapazoea. Mpaka inabidi we mwanaume ndio ufanye initiative za kumtafutia kazi na umlazimishe sana kuhama.

Kwa hiyo ukae ukijua vijana hawa wanaoenda kwenye mikutano wanarudi nyumbani kuwasimulia baba zao na wake zao walichosikia na wanachojua kuhusu CDM na CCM, ndio hawahawa wenye uwezo wa kuwaconvice wanawake zao waipende chadema na si kuconviciwa na hao wanawake zao. Mpaka kufika 2015 utshangaa idadi ya wanawake itakavyopungua kwenye hiyo mikutano ya Magamba.

Wazee na wanawake wanachukua muda kuelewa jambo na kulifanyia kazi kuliko vijana wa kiume, ila siku wakielewa hata utumie mbinu hata za kujikata kichwa hawatarudi.
 
Hao wanawake wasomi wa chadema mbona hawajitokezi kwenye mikutano yao?

Wanakuwepo lakini huwezi ukawaona wanatoka mbele na kurukaruka kama wale mnao waajiri CCM, Naamini hata wewe unajua ni kwanini wakati wa mikutano ya CCM kunakuwa na watu wengi ambao ukiwauliza haraka haraka mwenyekiti wa Chama ni nani hawawezi kukujibu
 
Jamaa anasema kweli na msimshambulie kabisa.

Ila nimegundua kuwa WANAUME wa Chadema wana Vifua vimejaza MITINDI?



mabango-mbeya.jpg
 
Last edited by a moderator:
Vijana wa kiume si ndio hao osama alikuwa anawavisha mabomu wakajilipue! Siku yake ilipofika yeye akajikinga mbele ya mwanamke!mzee osama ana busara sana!alijua kifo ni noma
Umeshawahi kujiuliza kati ya wanawake/wanaume au wazee/vijana ni wepi wanahama sana sehemu zao za kazi? Basi kwa taarifa yako hakuna kiumbe kinachoogopa mabadiliko kama wanawake au wazee, mind zao zimejitune kuridhika na walichonacho kiwe kibaya au kizuri.
1.Kwenye ndoa ukishafikia umri wa uzee hata spouse wako akucheat mtalipeleka swala kwa wazee na mwisho mtaendeleza maisha (wakati kwa vijana mchezo umeishia hapo). Pia ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya wanaume kupenda kujaribu mabadiiko hasa kama hapati kile anachokitaka kutoka kwa spouse wake.
2. Sehemu nyingi za kazi mtu ukishafikia umri fulani wa uzee hata boci wako akutukane vipi utaendelea kukaa ukisubiri kustaafu, vivyo hivyo kwa wanawake. Si tuliooa tunakutana na incidence za wife anakuja huku analia ooh boc kanitukana, mshahara nalipwa kidogo na mambo mengi mabaya ya kazini, ukimwambia hama anasema nimeshapazoea. Mpaka inabidi we mwanaume ndio ufanye initiative za kumtafutia kazi na umlazimishe sana kuhama.

Kwa hiyo ukae ukijua vijana hawa wanaoenda kwenye mikutano wanarudi nyumbani kuwasimulia baba zao na wake zao walichosikia na wanachojua kuhusu CDM na CCM, ndio hawahawa wenye uwezo wa kuwaconvice wanawake zao waipende chadema na si kuconviciwa na hao wanawake zao. Mpaka kufika 2015 utshangaa idadi ya wanawake itakavyopungua kwenye hiyo mikutano ya Magamba.

Wazee na wanawake wanachukua muda kuelewa jambo na kulifanyia kazi kuliko vijana wa kiume, ila siku wakielewa hata utumie mbinu hata za kujikata kichwa hawatarudi.
 
Mh!hawa vijana waandamanaji hawaoneki kama wana wake au wazazi achilia mbali mahali pa kulala!kwa uelewa wao hata anachozungumza slaa kwao ni kama kiarabu
Umeshawahi kujiuliza kati ya wanawake/wanaume au wazee/vijana ni wepi wanahama sana sehemu zao za kazi? Basi kwa taarifa yako hakuna kiumbe kinachoogopa mabadiliko kama wanawake au wazee, mind zao zimejitune kuridhika na walichonacho kiwe kibaya au kizuri.
1.Kwenye ndoa ukishafikia umri wa uzee hata spouse wako akucheat mtalipeleka swala kwa wazee na mwisho mtaendeleza maisha (wakati kwa vijana mchezo umeishia hapo). Pia ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya wanaume kupenda kujaribu mabadiiko hasa kama hapati kile anachokitaka kutoka kwa spouse wake.
2. Sehemu nyingi za kazi mtu ukishafikia umri fulani wa uzee hata boci wako akutukane vipi utaendelea kukaa ukisubiri kustaafu, vivyo hivyo kwa wanawake. Si tuliooa tunakutana na incidence za wife anakuja huku analia ooh boc kanitukana, mshahara nalipwa kidogo na mambo mengi mabaya ya kazini, ukimwambia hama anasema nimeshapazoea. Mpaka inabidi we mwanaume ndio ufanye initiative za kumtafutia kazi na umlazimishe sana kuhama.

Kwa hiyo ukae ukijua vijana hawa wanaoenda kwenye mikutano wanarudi nyumbani kuwasimulia baba zao na wake zao walichosikia na wanachojua kuhusu CDM na CCM, ndio hawahawa wenye uwezo wa kuwaconvice wanawake zao waipende chadema na si kuconviciwa na hao wanawake zao. Mpaka kufika 2015 utshangaa idadi ya wanawake itakavyopungua kwenye hiyo mikutano ya Magamba.

Wazee na wanawake wanachukua muda kuelewa jambo na kulifanyia kazi kuliko vijana wa kiume, ila siku wakielewa hata utumie mbinu hata za kujikata kichwa hawatarudi.
 
So wanawake ni wadhaifu and wanahongeka kirahisi??au cjakuelewa vizuri?

Hata baadhi ya wanaume kama wewe ninaweza nikakulipa elfu hamsini kwamba fungua akaunti hapa JF alafu kila kukicha wee post utumbo tuu ili kuishusha hadhi ya JF, mbona inawezekana!!
 
Hata baadhi ya wanaume kama wewe ninaweza nikakulipa elfu hamsini kwamba fungua akaunti hapa JF alafu kila kukicha wee post utumbo tuu ili kuishusha hadhi ya JF, mbona inawezekana!!

msekwa anatoa elfu 50 tu?!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom