Kwa nini wanaume wanaoa wanawake waliowajua Muda mfupi? Na wanawake pia

mapenzi ya vijana siku hizi ni pasua kichwa sana, mara nyingi unapokuwa na msichana au mpenzi kwa muda mrefu huwa wana kawaida ya kujisahau na kuanza kuzingua, huwa hawajali, hawathamini wala kuona umuhimu wa wapenzi walionao na ikifika hapo mtu huona bora atafute mpenzi mwingine na akimpata yuko radhi kutangaza ndoa fasta.
 
alichotegemea kupata kwa huyo wa kwanza hakupata anajaribu pengine atapata kwa huyo mwingine
 
ndosababu ndoa zinavunjika sana, kwa sababu is almost impossible wa miaka 5 asifae halaf wa mwezi mmoja awe material this is stupid

unawezaje kuona wa siku tano anafaa na wa mwaka mmoja asifae??? hakuna ndoa hapo ikifika mwaka hiyo ndoa itavunjika, itareflect ya yule alieonekana siomaterial.

jamani ukiangalia na hizi long distance relationships mnaweza kudumu muda mrefu ila mkija kukaa pamoja hata mwezi tu unaweza gundua si mtu sahihi kwako....... Kwahiyo miaka 5, 10 si kipimo kuwa mtawezana kwenye ndoa...
 
[QUOTE=siku zote mapenzi huanza katika stage ya early attachment level ; kwa hiyo huyu jamaa aliyejichukulia demu kwenye ndege atamsubua : mi nadhani alimpend bcoz yupo ktk eneo la luxury but si vinginevyo how about if angemkuta mgahawani je angemuacha mpenzi wake wa kwanza?
 
Cousin wangu alikuwa na girlfriend almost 5 years .Tulimpenda walikuwa wanapendana watu wote tulijua wataoana,suddenly Jana nasikia anaoa kwa mdada aliyekutana naye Kwenye ndege na amemjua for a month.kwa nini Mara nyingi wanaume au wanawake wanafanya hivi ?

huyo mwanamke ni bong la **** yaani g yrs unabong'oa,unalala chali,mgongo yote kamaliza??
Na experience inaonyesha mahusiano ya hivyo hayana malipo yaani hata huhongwi
moi nawashangaaga wanawake wenzangu wanaojidai nina miaka nae 7!!miaka yote hiyo mnafanya nini msioane??tena wengine wanakaa nyumba moja kama mke na mume ila ndoa hakuna matokeo yake akija kuolewa mwingine una nung'unika
unanung'unika nini???chukua hatua wewe kwanza mi sina sijawahi kuwa na mtu zaidi ya mwaka na nusu na most of time mie ndo nalianzishaga
we hujifikirii miaka yote hiyo hakuoi???umemaliza style zote,umemaliza mambo yote huna jipya akuoe nini??
Mwache mwenzio mwenye jipya aoelewe
na wanaume wajanja sana ukijifanya unapenda sana na anauhakika akizunguka kote akikosa k akija kwako anapata bila kipingamizi hakuachi ng'oooo
kumbe mwenzako ana lake analoliwaza kichwani
 
Mapepe Demu Ana watoto 5 .kamzidi cousin wangu 7 years limama jitu zima kutaka watoto wadogo.

Kama hao watoto watano wote kazaa na mwanaume mmoja kwangu siyo tatizo ila aliyezaa watoto wawili na wanaume wawili tofauti hilo kwangu ni tatizo. Na kuhusu kumzidi umri, age is nothing but a number. Hata akinizidi miaka kumi kama tunaShare common interests na kuSpeak the same language mimi naoa tu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kondoo relationships i call them...
Yan we dada ukae tu useme sijui yeye ana mpango gani..mara, kasema bado anajipanga...ooh bado hajajenga...pumbav kama hajajipanga na akuache akajipange af badae ndo atafute atakae kua free.
I blame t on th ladies...a settling man wont kip u waitng for that long. Na ww ukae tu huhoji na hakuna definite plan....
 
jamani ukiangalia na hizi long distance relationships mnaweza kudumu muda mrefu ila mkija kukaa pamoja hata mwezi tu unaweza gundua si mtu sahihi kwako....... Kwahiyo miaka 5, 10 si kipimo kuwa mtawezana kwenye ndoa...


Catherine

Hoja inayojengeka hapa ni kuchokana, baada ya muda mrefu kupita, hisia na matamanio kwa wapenzi hupungua na udhaifu kugundulika kadri muda unavoenda.

Hivyo mchumba (mke/mme) huishia kuanzisha mahusiano kwa mwingine na kwasababu kipya kinyemi inakuwa mlaswa wa zamani haufai ila kupigwa kibuti (makosa ya hisia)

Ninachoweza kusema hapa ni kwamba huo mswala mpya utaonekana bora na kuhuwisha mapenzi motomoto lakini baada ya muda kupita hisia zitashuka nakuona kumbe nao haufai tena bora wa kwanza.

Hakuna jepesi katika mapenzi. Wapenzi hufikia kuchokana kabisa lakini hutokea muda mahusiano yakalejerea ubora wake kimsingi hakuna kilichonyooka katika wapendanao, mda flani mtafarijiana na kufrahia mapenzi na uwepo wenu pamoja na muda mwingine mtafarakana lakini yote kwa yote upendo na uvumilivu ndiyo nguzo sahihi ya kudumu katika mahusiano.

Kwa kufuata hisia tu peke yake bila upendo wa dhati, uvumilivu hakuna ndoa hapo ni maigizo. ( Kwanini ulimpenda kwa 2yrs and not now? and then yes for the one in 2weeks this is a joke)
 
Back
Top Bottom