Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Status
Not open for further replies.
Suala ni kupeleka watoto wetu shule bora hasa za seminari in twenty years or so watafika hapo haya maneno tuache jamani tanzania yetu tutaivuruga jamani.

Kwa hiyo unataka kusema kumbe ubora wa shule mtu aliyosoma ndo unapelekea mtu kupata first priority katika kupewa vyeo? Au unataka kusema shule za seminary ni bora sana kuliko shule zote duniani? Sasa nataka nikuulize swali...Kwani wakati wa kuajiri mtu wa digrii wanaangalia background ya mtu alipokuwa sekondari? Maana hoja hapa ni elimu ya juu na si elimu ya sekondari. Sasa labda uje na hoja kwamba vyuo wanavyosoma wachagga ni tofauti na vile vyuo wanavyosoma makabila mengine. Yaani wachagga wanasoma katika vyuo bora wakati sisi tunasoma katika vyuo vya elimu chini ya kiwango ili ithibitike kwamba wao pekee tu ndo wanastahili kupata kazi nzuri maana wana elimu kupita watu waliosoma katika vyuo visivyo na ubora. Wachagga wao wamesoma katika vyuo gani ambavyo sisi hatujasoma?
Hebu nipe ukweli kati ya vyuo vifuatavyo kipi ni bora kuliko mwenzake? Labda watakuwa wamsoma katika chuo kimojawapo kati ya hivi ndo maana sisi tunabaguliwa kwa vile hatujasoma kwenye vyuo hivyo....

Unibersity of Sydney
London University
Birmingham University
Kenyatta University
Sokoine University of Agriculture
Makerere University
Kingston University
University of Strathclyde
University of DSM
Mzumbe University
Institute of Finance Management
Ardhi Institute
Mkwawa University
Institute of Accountancy Arusha
 
kwa hiyo hapo nilichoandika umeona iq tuu na hayo uliyoyacoppy kunijbu hujayaona au!?na kweli wewe iq yako ni ndogo sana mimi hapo nimetaja factor nyingi zinazosababisha mtu wa levo yako au uliemzidi kielimu akuzidi cheo!nimejibu kutokana na hoja yako ndio maan nilikiquote ndugu...tukisema elimu ni jibu la general na linafahamika nilikujibu wewe kwa hoja yako koz ulikuja na ushahidi wako wa dhahiri japo ckujali kama ni wa kweli au feki...simpo ilibidi ujue tu kuwa nimekupa sababu za yeye kukuzidi cheo ila wewe kwa ujinga wako na attitude na negativity zako na psycology effects kwenye ubongo wako towards them umekurupuka kunijibu kama unavyokurupuka kusema wanapendeleana....angalia hapo niliyokuambia ujipime usikute hapo ulipo hata ------ angekuzidi cheo nakuongezea tena uongozi na ubosi co upuuzi inahitaji kuwa na busara na makini kumpamtu cheo kama upo kwenye org kubwa lazima wamekunyima kwa sababu ya kutokuwa na uwezo wa kucombine factors hapo ofcn

Kwa hiyo wakaamua wampe mchagga ambaye anauwezo wa ku-combine factors (of production?) hapo ofisini. Ni mchagga tu ndo anaweza? Halafu ulivyomkabila (unatetea ukabila) umeonesha umbumbumbu mkubwa sana!!!! Unajua hapa ofisini tuko wangapi? Unafikiri tupo wawili mimi na including mtu wa kabila lako (teule) tu? Tuko wengi sana kuzidi wachagga lakini wachagga ndo ma-dominant wa kila kitu. ----- usiyeelewa kitu wewe.....Kila ukiambiwa unaleta hoja ya kipumbavu kabisa. Na mshukuru mama Anna Mkapa mumewe alipoingia madarakani ndo maana mmeshika kila sehemu. Wapuuzi wakubwa. Wewe umejuaje mimi IQ yangu ni ndogo kushinda mchagga? Pumbavu kabisa... Mwanzo mlisema wachagga mmesoma kuliko watu wote leo unakuja na hoja ya IQ. Nimekuuliza IQ inasomewa chuo gani umeshindwa kujibu...Makaburu wakubwa....Kwenda huko.. Tuanzisheni ngumi tuone kama mtatushinda. IQ IQ IQ nini bwana mavi matupu.... Mchagga tangu lini akawa na IQ zaidi ya IQ ya ubaguzi na kufukuzisha kazi watu wanaomzidi kila kitu ili abaki peke yake? Na ndo maana mmeshika kila taasisi Ma-HR wote ni wachagga ili kulinda interest za kabila (teule lenye akili na IQ kuliko makabila mengine!!!!!!!)
 
unafahamu kitu kinaitwa iq..unafahamu kwa nini tu anakua mastermind!!?inawezekana utendaji wako pia na elimu yako nzuri ya darasani bt aplication mbovu unashindwa kuongoza watu au hauna influence unashindwa kumastermind vitu basi anapewa mchaga ambae anapiga kazi kinoma noma,kwa ulichoandika hapa tuu inaomyesha umesoma sana bt iq yako bado iko verry low..:nono:

Mkuu una maana gani? Unaweza kufafanua kidogo.
 
NINA SHEMEJI WANGU MCHAGA ALIYEMUOA DADA YANGU SIKU MOJA BAADA MDOGO WANGU KUMALIZA FORM 4 NA KUPATA FOUR AMBAYE HAIKUMUWEZESHA KWENDA NGAZI YA CHETI UALIMU, AKAONGEA NA SHEM KUWA ANATAKA JESHINI, WHAT HAPPEN NI KUWA SHEMEJI AKAAMBIWA NA BOSI WAKE NJOO NAYE TUMFANYIE INTERVIEW ILA JAMAA WAKASHTUKIA LAFDHI AKAMUULIZA SHEM HIVI HUYU NI NANI WAKO? Akajibu shem wangu akamuambia hapa tunasaidia wachaga tu kwahiyo dogo akakosa chansi.
Wachaga ni wabaguzi to the maximum.
 
sio kweli, inaweza kuonekana ni ubaguzi, lakini sababu kubwa hasa ya hao unaowaita wachaga kuchukua nafasi nyingi kubwa, ni kwamba mkoa wa klm ndio unaoongoza kwa elimu tz na imekuwa hivyo kwa sababu za kihistoria, hakuna mkoa ambao unatilia mkazo elimu kama klm, na hakuna mkoa wenye shule nyingi kama klm, na imekuwa hivyo kwa karibu miaka 100, hivyo haishangazi popote unapoenda tz au nje ya tz utakuta watu wa klm ndio wana kazi nzuri!

Hata ukienda kwenye vyuo vikuu, vitengo vingi vinaongozwa na watu waliosoma klm, ukienda nairobi kenya un, ukiwa na mawazo kama yako utasema pia kuna ubaguzi kwa maana karibu kila mfanyakazi mtanzania utakayemuona amesomea mkoa wa klm, sasa un wanajua nini kuhusu huo unaouita uchaga au sio uchaga? Hivyo sio ubaguzi bali ni kwamba mkoa wa klm umebahatika kutambua umuhimu wa elimu tangu zamani sana kwa sababu za kihistoria!


sio kweli. Mchagga sio mtu...wabaguzi sana wale, tunaishi nao tu
 
Nenda kilimanajo kanunue kiwanja cha kujenga ndio utajua tabia na roho halisi ya mchagga. wale ni wema sana wakiwa nje ya kilimanjaro na wanakuwa marafiki pale anapojua una kitu naye atakita kupitia huo urafiki
 
ile tabia ya wamarekani ya no permanent friend but there is permanent interest ndio tabia ya mchagga
 
Umeanza kukimbia hoja.... Nakupa scenario unaitoroka.....Sasa nataka nikwambiaje, katika uonevu wa kubaguliwa kupandishwa vyeo haujawahi kufanywa na makabila usiyoyataja bali ni kabila moja tu kati ya yale umeyataja yaani wachagga. halafu hayo makabila mengine watapata wapi nafasi ya kutubagua wakati hawajashika nyadhifa zozote katika idara za serikali? Maana hawajasoma ila wachagga tu ndo wamesoma!!!!!!!![/QUOTE]


Mimi sijatoka nje ya hoja. Tafadhali sana soma tena michango yangu yote mwenye huu mjadala. Nadhani utaelewa ninachokisema.

Mfano wa wewe peke yako ulivyotendewa hauwezi kuwa ndiyo hali ya jumla ya ajira Tanzania. Kwa nini unasema kuwa makabila mengine hayajawahi kushika nyadhifa zozote katika idara za serikali wakati siyo kweli? Mimi sikusema hivyo na walasijasema kuwa wachagga tu ndo wamesoma!!!!!!!!

Lakini niseme tu kuna vitu kingine kadhaa amabavyo viinachoangaliwa katika kuajiri wafanyakazi zaidi ya vyeti alivyonavyo. Duniani hii ina watu kadhaa tu wenye vyeti lakini hawakuweza kufikia kilele cha ajira kwa sababu kadhaa vikiwemo uwezo wa kujieleza vizuri kwenye lugha ya kikazi - kimaandishi na kuzungumza, uwezo wa kuelewa haraka, uwezo wa kuongoza, n.k.
 
wachaga wana kila sababu ya kushikilia sekta nyingi kwanza ukienda mkoa wowote ukakuta kuna maendeleo basi jua wachaga wameamia hapo kama anaanza kazi ya umachinga baada ya miaka 2 unakuta kajenga gorofa c mchezo hawa jamaa hivyo tusiwaonee wivu ni juhudi zao
 
Umeanza kukimbia hoja.... Nakupa scenario unaitoroka.....Sasa nataka nikwambiaje, katika uonevu wa kubaguliwa kupandishwa vyeo haujawahi kufanywa na makabila usiyoyataja bali ni kabila moja tu kati ya yale umeyataja yaani wachagga. halafu hayo makabila mengine watapata wapi nafasi ya kutubagua wakati hawajashika nyadhifa zozote katika idara za serikali? Maana hawajasoma ila wachagga tu ndo wamesoma!!!!!!!![/QUOTE]


Mimi sijatoka nje ya hoja. Tafadhali sana soma tena michango yangu yote mwenye huu mjadala. Nadhani utaelewa ninachokisema.

Mfano wa wewe peke yako ulivyotendewa hauwezi kuwa ndiyo hali ya jumla ya ajira Tanzania. Kwa nini unasema kuwa makabila mengine hayajawahi kushika nyadhifa zozote katika idara za serikali wakati siyo kweli? Mimi sikusema hivyo na walasijasema kuwa wachagga tu ndo wamesoma!!!!!!!!

Lakini niseme tu kuna vitu kingine kadhaa amabavyo viinachoangaliwa katika kuajiri wafanyakazi zaidi ya vyeti alivyonavyo. Duniani hii ina watu kadhaa tu wenye vyeti lakini hawakuweza kufikia kilele cha ajira kwa sababu kadhaa vikiwemo uwezo wa kujieleza vizuri kwenye lugha ya kikazi - kimaandishi na kuzungumza, uwezo wa kuelewa haraka, uwezo wa kuongoza, n.k.


Ambapo imethibitika katika Tanzania wengi wao wenye uwezo huo (wa kujieleza vizuri kwenye lugha ya kikazi - kimaandishi na kuzungumza, uwezo wa kuelewa haraka, uwezo wa kuongoza, n.k.) WANAO WACHAGGA TU????
 
Kuwepo kwa zao la kibiashara katika mkoa wa KLM (Kahawa) Chama cha ushirika KCU kilisaidia kusomesha watoto wao Waziri wa kwanza wa ELIMU tangu tupate uhuru Eliufoo alijenga shule nyingi za msingi na Sekondari. Edwin Mtei pia alikuwa wazir wa Fdha enzi za Mwalimu akatoa upendeleo Mkoa wa KLM, Cleopa Msuya pia alijenga miundombinu KLM.
Pamoja sababu hizo zinazoonekana kama za kihistoria msingi wake mkubwa ni ubinafsi na upendeleo. Kama alivyotumia nafasi zao za uongozi Mawaziri waliotangulia kusimamia sekta za Elimu na Fedha walivyopendelea kwao ndivyo na viongozi wa sasa wanavyopendelea makabila ya kichaga na kipare. Hata wange kuwepo watu watatu Mchaga, Mnyakyusa na Mhaya Kama kiuongozi wa uteuzi akiwa mchaga atamchagua Mchaga mwenzie, Mnyakyusa na uowoga kidogo lakini sio mchaga. Lakini mchaga anasifa moja ya unafiki na kujipendekeza kwa wakubwa jambo ambalo kwa Mnyakyusa ni ndoto
Hivi zinazoitwa sababu za kihistoria ndo zipi vile.....??.MAANA TUKIJUA HIZO SABABU ZA KIHISTORIA MAANA YAKE ITAKUWA VICEVERSA KWA WAIO WACHAGHA
 
Kuna kitu Malyenge unakosea ni uchumi na historia ya nchi hii : tutoka katika communist utopia aliyoiacha Nyerere, hadi leo na historia ya wachagga kama jamii. Hivi viwili always vilikua vikikinzana na ni historia ndefu. Ili kujua tumefikaje hapa ni vema kutambua historia hizi mbili, pre and post independence. Historia hiyo ni ndefu na imesemwa na wengi hapa ila inafaa tu tukisema : wachagga wamejitahidi kuwekeza sana ktk elimu ya watoto wao na unapowekeza vizuri katika elimu ya watoto kuanzia primary hadi chuoni unamjengea mtoto nafasi nzuri ya kupata kazi mzuri.
with that pretext :

i) sio kweli wachagga wote wana high social and economic status kama wanavyokuwa potrayed in various medias na matangazo. ukweli ni kwamba wachagga wapo kuanzia wapiga shoe shine hadi wakurugenzi na sababu ya mafanikio yao sio kupendelewa. pia inafaa kusema kwamba ubaguzi mkubwa unaoonekana dhidi ya wachagga sio accident ni matokeo ya ubaguzi uliolelewa kwa muda mrefu na hapo sioni kama ni rahisi kwao kuwa wanapendelewa huku wanachukiwa hapohapo.

ii)sio kweli kwamba wachagga wanapendelewa katika ajira. ukiangalia pia wapo wachagga wengi wamesoma hadi vyuoni na hawana kazi, na wameishia kujiajiri. uwakilishi wa wachagga katika sekta rasmi serekalini bila shaka ni mdogo ukilinganisha na private sector.

iii) though they are entitled to it kama mtu au jumuia nyingine (kama ilivyo kwa wamasai, wasukuma n.k) hakuna hatahivyo ushahidi kwamba wachagga wana determination kijumuia tofauti na ile tuliyonayo kama watanzania kwa ujumla. na kama suala hilo lipo vyombo husika vingeishachukua hatua. Bigotry na defamation sio suluhu na kuwabagua wachagga wenye sifa katika ajira na poa sio suluhu ya kumleta yeyote maendeleo. mfano wachagga wanalalamikiwa kuwa wamejaa TRA wakati huohuo hiyo tra inapewa sifa lukuki kila mwaka kwa ufanisi wa kukusanya kodi. Mfano pia watu wanalamikia crdb imejaa wachagga, mwaka huu ripoti inaonesha crdb imejump toka 38bn to 81bn in profits (last year alone) sasa hapo bodi inapopongeza utendaji wa bank ikatae ushiriki wao hao watu au?

iv) sio kweli wachagga kwa ujumla wao ndio sababu ya missfortunes za watanzania kama inavyodaiwa na baadhi ya wanasiasa. Wengi kati ya wanasiasa wa namna hii wameishiwa mtaji wa kisiasa na wameamua kuwapaint wachagga kwa ujumla wao kama ndio scapegoat kwa matatizo ya nchi hii inayokumbwa na grand corruption scandals kila kukicha. Na yote haya hi hali wengi wa hao wachagga hawajihusishi na siasa za nchi hii ambazo ndizo hasa janga letu. tukumbuke its very simple to play the patriot and -'patriotism is the last refuge of the scoundrel'.
 
Kuna kitu Malyenge unakosea ni uchumi na historia ya nchi hii : tutoka katika communist utopia aliyoiacha Nyerere, hadi leo na historia ya wachagga kama jamii. Hivi viwili always vilikua vikikinzana na ni historia ndefu. Ili kujua tumefikaje hapa ni vema kutambua historia hizi mbili, pre and post independence. Historia hiyo ni ndefu na imesemwa na wengi hapa ila inafaa tu tukisema : wachagga wamejitahidi kuwekeza sana ktk elimu ya watoto wao na unapowekeza vizuri katika elimu ya watoto kuanzia primary hadi chuoni unamjengea mtoto nafasi nzuri ya kupata kazi mzuri.
with that pretext :

i) sio kweli wachagga wote wana high social and economic status kama wanavyokuwa potrayed in various medias na matangazo. ukweli ni kwamba wachagga wapo kuanzia wapiga shoe shine hadi wakurugenzi na sababu ya mafanikio yao sio kupendelewa. pia inafaa kusema kwamba ubaguzi mkubwa unaoonekana dhidi ya wachagga sio accident ni matokeo ya ubaguzi uliolelewa kwa muda mrefu na hapo sioni kama ni rahisi kwao kuwa wanapendelewa huku wanachukiwa hapohapo.

ii)sio kweli kwamba wachagga wanapendelewa katika ajira. ukiangalia pia wapo wachagga wengi wamesoma hadi vyuoni na hawana kazi, na wameishia kujiajiri. uwakilishi wa wachagga katika sekta rasmi serekalini bila shaka ni mdogo ukilinganisha na private sector.

iii) though they are entitled to it kama mtu au jumuia nyingine (kama ilivyo kwa wamasai, wasukuma n.k) hakuna hatahivyo ushahidi kwamba wachagga wana determination kijumuia tofauti na ile tuliyonayo kama watanzania kwa ujumla. na kama suala hilo lipo vyombo husika vingeishachukua hatua. Bigotry na defamation sio suluhu na kuwabagua wachagga wenye sifa katika ajira na poa sio suluhu ya kumleta yeyote maendeleo. mfano wachagga wanalalamikiwa kuwa wamejaa TRA wakati huohuo hiyo tra inapewa sifa lukuki kila mwaka kwa ufanisi wa kukusanya kodi. Mfano pia watu wanalamikia crdb imejaa wachagga, mwaka huu ripoti inaonesha crdb imejump toka 38bn to 81bn in profits (last year alone) sasa hapo bodi inapopongeza utendaji wa bank ikatae ushiriki wao hao watu au?

iv) sio kweli wachagga kwa ujumla wao ndio sababu ya missfortunes za watanzania kama inavyodaiwa na baadhi ya wanasiasa. Wengi kati ya wanasiasa wa namna hii wameishiwa mtaji wa kisiasa na wameamua kuwapaint wachagga kwa ujumla wao kama ndio scapegoat kwa matatizo ya nchi hii inayokumbwa na grand corruption scandals kila kukicha. Na yote haya hi hali wengi wa hao wachagga hawajihusishi na siasa za nchi hii ambazo ndizo hasa janga letu. tukumbuke its very simple to play the patriot and -'patriotism is the last refuge of the scoundrel'.

Huo ulinganifu wako siyo sahihi.....Unaposema TRA ama CRDB inafanya vizuri (hapa unajaribu ku-justify kwamba wachagga wanaweza) bila kulinganisha na kama TRA ama CRDB ingekuwa imeshikiliwa na makabila mengine ambayo siyo wachagga ili tuone kwamba mapato ya taasisi hizi yanavyokuwa (trends with chagga leaders vs trends without chagga leaders). Unapolinganisha upande mmoja bila kuwa na upande wa pili ulinganifu huo hauwezi kujuzu. Ni sawa na mtu anafanya mazoezi ya kupigana kisha hapati mpinzani matokeo yake hujiona anao uwezo mkubwa kumbe hana ni kwa vile hakupata wa kupambana nae.
 
Huo ulinganifu wako siyo sahihi.....Unaposema TRA ama CRDB inafanya vizuri (hapa unajaribu ku-justify kwamba wachagga wanaweza) bila kulinganisha na kama TRA ama CRDB ingekuwa imeshikiliwa na makabila mengine ambayo siyo wachagga ili tuone kwamba mapato ya taasisi hizi yanavyokuwa (trends with chagga leaders vs trends without chagga leaders). Unapolinganisha upande mmoja bila kuwa na upande wa pili ulinganifu huo hauwezi kujuzu. Ni sawa na mtu anafanya mazoezi ya kupigana kisha hapati mpinzani matokeo yake hujiona anao uwezo mkubwa kumbe hana ni kwa vile hakupata wa kupambana nae.


Najua unaelewa vema ila sijui ubishi unatokea wapi nyie wengi wenu (hata mtoa mada) mmesema wachagga wamejaa tra na crdb (na maskini hawa), mmetoa na % zao huko za juu tu hata kusema 75% ya branch managers wa crdb ni wachagga (though that's disputed) sasa unaponilisha maneno kwamba ninalinganisha wachagga na watu wengine mie nimekubali mnachodai hypothetically then i proceeded with that assumption kwasababu ufanisi wa crdb na mapato kila mtu anajua sasa ubishi unatoka wapi wakati huna grounds tena labda ulete madai au tuhuma nyingine kuhusu shirika au mamlaka 'iliyojaa' hao mabwana alafu hakuna ufanisi and frankly wangefukuzwa kwa wingi wao.
Naona umehighlight data its true fanya uchunguzi : crdb(huko unakosema kuna wachagga branch managers 75%) wamepata faida ya 81bn from 38bn last year despite of the inflation that continues to plague the country (which is a political question).
what I see is that you are just another self confessed hater of all chaggas kwa ujumla wao kwa kweli huna sababu. Hebu fanya jaribio nenda shirika-lolote katika hayo mamnayoyataja hapa au mamlaka husika nikinukuu yaliyotajwa na mleta mada (japo the stats are diapsputed) :

Mfano:
Jeshi la police: 80% ya RPC NI WACHAGA
CRDB: 75% YA BRANCH MANAGER'S TANZANIA NI WACHANGA

ONGEZEA!!!!!!!!!!!!!!!!

Nenda bank hizo alafu waambie wafukuze hao wanaosemwa wachagga wote wakianzia na kila branch manager mzoefu, kisha nenda mamlaka ya polisi waambie wamfukuze kila rpc mchagga waliyemsomesha kwa hela za serekali kama mtanzania kisha nenda mamlaka ya mapato waambie wamfukuze kamishna hadi afisa mdogo kabisa mchagga mwenye uzoefu aliyesomeshwa na serekali alafu nenda jeshini mfukuze kila mkuria (idadi yao ni kubwa huko) alafu nenda kwenye mahakama zetu fukuza kila mhaya nenda vyuoni fukuza wahaya wote hasa vitivo vya sheria (kwasababu wanalalamikiwa kuwa wengi sana huko) tukimaliza twende tukamchukue kila mtu mwenye degree yake tuwa assimilate ktk nyanja zote hizo zote alafu weka ban ya kuajiri watu toka makabila hayo katika sekta hizo. Alafu twende bonde la ngorongoro tukawafukuze wamasai wasifaidi wao wenyewe iwe ni gaming resort kwa watanzania wote, tukimaliza tuanzishe ranchi tanzania nzima na wamasai
wasifuge peke yao waka dictate bei ya nyama, tukitoka hapo....... tutakua karibu na kupata usawa : that 'utopia' unayoitaka.
 
Naona umehighlight data its true crdb(huko unakosema kuna wachagga branch managers 75%) wamepata faida ya 81bn from 38bn last year despite of the inflation that continues to plague the country (specifically because of the politics of this country).
what I see is that you are just another self confessed hater of all chaggas kwa kweli huna jingine. Hebu fanya jaribio nenda shirika-lolote katika hayo mamnayoyataja hapa au mamlaka za husika nikinukuu yaliyotajwa na mleta mada (japo the stats are diapsputed) :



Nenda alafu waambie wafukuze wachagga wote; kila branch managers mzoefu, kisha nenda mamlaka ya polisi waambie wamfukuze kila rpc mchagga waliyemsomesha kama mtanzania kisha nenda mamlaka ya mapato waambie wamfukuze kamishna hadi afisa mdogo kabisa mchagga mwenye uzoefu aliyesomeshwa na serekali alafu nenda jeshini mfukuze kila mkuria (idadi yao ni kubwa huko) alafu nenda kwenye mahakama zetu fukuza kila mhaya nenda vyuoni fukuza wahaya wote hasa vitivo vya sheria (kwasababu wanalalamikiwa kuwa wengi sana huko) tukimaliza twende tukamchukue kila mtu mwenye degree yake tuwa assimilate ktk nyanja zote hizo zote alafu weka ban ya kuajiri watu toka makabila hayo katika sekta hizo. Alafu twende bonde la ngorongoro tukawafukuze wamasai wasifaidi wao wenyewe iwe ni gaming resort kwa watanzania wote, tukimaliza tuanzishe ranchi tanzania nzima na wamasai
wasifuge peke yao waka dictate bei ya nyama, tukitoka hapo....... tutakua karibu na kupata usawa : that 'utopia' unayoitaka.

Ndo mada inavyosema?? Halafu mnasema wachagga mna IQ kushinda wengine?? Nonsence.......Mada inasema (ubaguzi+ uchagga) katika kupandisha vyeo!!!! Wewe unarukia kitu ambacho hakipo kabisa. Umeshindwa kuprove vitu vifuatavyo:
1. Wachagga hamna ubaguzi na kwamba uwingi wenu unatokana na kusoma tangu zamani (eti) pamoja na IQ. Majibu ambayo umeshindwa kuprove. Ungetaka kujibu hoja ungesema (with examples) hizo idara zinazolalamikiwa kwamba hamna ubaguzi. Ungeanza ku-mention idadi ya watu (japo wachache) wa makabila mengine wenye vyeo despite uwingi wenu. Kwamba pamoja na uwingi lakini kuna makabila machache nayo yanawatu wenye vyeo vikubwa. Mfano fuulani (na cheo chake) na fulani (na cheo chake). Lakini hilo umeshindwa kulifanya bali umeishia kutunga hoja yako irrelevant to the topic in discussion.
2. Kwamba kama kusoma siku hizi (na siyo kusoma zamani kama defensive mechanism iliyotumika) watu wote siku hizi wanasoma tena katika vyuo bora kabisa duniani. Lakini cha kujiuliza kwa nini vyeo ni wachagga tu???? Ungetoa maelezo ya kina na si ku ji-defend kwa kusingizia kusoma zamani. mfano kijana wa miaka 27 wa kichagga utamteteaje kwamba yeye kapanda cheo kisa amesoma zamani? Zamani ipi hiyo wakati amemaliza na vijana wenzake lukuki tu lakini yeye baada ya miaka miwili mitatu unakuta amepandishwa ngazi haraka kushinda wenzake? Hoja ya IQ, Management By Objective (MBO), Leading by Example na ability to organize factors haiwezi kuwa kigezo kinachomlenga mtu mmoja tu wakati vyuo, mitaala na nchi alizosoma ni the same na hao wengine wasiopandishwa cheo kama yeye? Kwa nini mchagga tu? In maana yeye ana talent ya kipekee inayohusu mambo ya vyeo tu? Ungejibu hayo ingekuwa umeonesha proifessionalism.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom