Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Status
Not open for further replies.
Uyu jamaa kapost utumbo apa, ndugu kifunze basi ata kuandika kwakuzingatia vituo, maana ulivyo andika nikama ulikuwa unasinzia.
 
Ndo mada inavyosema?? Halafu mnasema wachagga mna IQ kushinda wengine?? Nonsence.......Mada inasema (ubaguzi+ uchagga) katika kupandisha vyeo!!!! Wewe unarukia kitu ambacho hakipo kabisa. Umeshindwa kuprove vitu vifuatavyo:
1. Wachagga hamna ubaguzi na kwamba uwingi wenu unatokana na kusoma tangu zamani (eti) pamoja na IQ. Majibu ambayo umeshindwa kuprove. Ungetaka kujibu hoja ungesema (with examples) hizo idara zinazolalamikiwa kwamba hamna ubaguzi. Ungeanza ku-mention idadi ya watu (japo wachache) wa makabila mengine wenye vyeo despite uwingi wenu. Kwamba pamoja na uwingi lakini kuna makabila machache nayo yanawatu wenye vyeo vikubwa. Mfano fuulani (na cheo chake) na fulani (na cheo chake). Lakini hilo umeshindwa kulifanya bali umeishia kutunga hoja yako irrelevant to the topic in discussion.
2. Kwamba kama kusoma siku hizi (na siyo kusoma zamani kama defensive mechanism iliyotumika) watu wote siku hizi wanasoma tena katika vyuo bora kabisa duniani. Lakini cha kujiuliza kwa nini vyeo ni wachagga tu???? Ungetoa maelezo ya kina na si ku ji-defend kwa kusingizia kusoma zamani. mfano kijana wa miaka 27 wa kichagga utamteteaje kwamba yeye kapanda cheo kisa amesoma zamani? Zamani ipi hiyo wakati amemaliza na vijana wenzake lukuki tu lakini yeye baada ya miaka miwili mitatu unakuta amepandishwa ngazi haraka kushinda wenzake? Hoja ya IQ, Management By Objective (MBO), Leading by Example na ability to organize factors haiwezi kuwa kigezo kinachomlenga mtu mmoja tu wakati vyuo, mitaala na nchi alizosoma ni the same na hao wengine wasiopandishwa cheo kama yeye? Kwa nini mchagga tu? In maana yeye ana talent ya kipekee inayohusu mambo ya vyeo tu? Ungejibu hayo ingekuwa umeonesha proifessionalism.

Try to be reasonable instead of lashing out into others comments heads on not focusing on the issues. I can see the narrative in your comments its the hatred and collective judgement on chaggas :
1)sijui unajuaje kabila langu kama mie ni mchagga au la. Pia sijasema wachagga wana iQ kuliko watu wengine wote. Nilochosema ni historical fact shule nyingi zilijengwa huko and in an earlier posts I quoted NY times bonyeza link hii
The New York Times where an investigative journal done by the same magazine showed among many things they had over 16 schools and 19 hospitals and a budget of btn $6m to $8m all this back in 1958
so when one tells you walikua wamejipanga ktk suala la elimu usishangae ni facts.
katika ajira your syllogism is that 'sasa kila mtu amesoma kwanini wao pekee wanapewa hiki na kile...." well there is a fallacy there friend, kwanza sio kweli madai yako kwamba ni wachagga pekee ndio wanapandishwa vyeo. Na kama tukivyosema wengi wao walitangulia kupata elimu (ni fact) mchukue mkurugenzi wa kawaida most of them may be having having 20+ to 30 years of experience na hata hao wanagombaniwa na mabenki yetu and the same goes for managers wengi wana uzoefu. Hatahivyo kwasasa wakurugenzi wengi si wachagga kama inavyosemwa mf. Rama Dau nssf director, nbc ex director mafuru, nhc mchechu na wengine bofya hapa uone list ya ma CEO wakubwa kabisa tanzania alafu utueleze wachagga ni wangapi hapo :
http://www.ceo-roundtable.co.tz/members.html
kuna mawaziri wangapi unawajua wachagga? kuna wakuu wa mikoa au wilaya wangapi unawajua wachagga?
Huko wanapopanda vyeo kwa haraka ni wapi unaweza onesha kwa data au ni shutuma zilizojaa chuki tu.
 
wewe fanya kazi stil wondering how a great thinker can be so weak to lament kwan wanaopandishwaga vyeo ni wachaga tu work hard banaa unajiaibisha nani asiye jua chagga people work so hard na wana njaa ya maendeleo just compare wewe na mchaga hauoni aibu?mwenzio anafanya kazi wewe upo huku unapiga majungu tubadilikeni jamani

wanapendeleana sana hao mkuu,na mkiruhusu mchaga siku moja achukue nchi,mtakiona cha mtema kuni.
Mwl.nyerere aliliona hili kwa jicho la tatu we fuatilia...
shortly ni wabaguz
 
Mfano:
Jeshi la police: 80% ya RPC NI WACHAGA
CRDB: 75% YA BRANCH MANAGER'S TANZANIA NI WACHANGA

ONGEZEA!!!!!!!!!!!!!!!!
Hospitali ya Mkoa Morogoro: Mganga Mkuu wa mkoa ni Mchaga, Mganga Mkuu wa Hospitali ni Mchaga, Mhasibu wa Hospitali ni Mchaga, Bwana Afya wa Mkoa ni Mchaga, Mratibu wa TB ni Mchaga, Mratibu wa Malaria ni Mchaga, Mfamasia wa Mkoa ni Mchaga, Mratibu wa Ukimwi ni Mchaga, Muuguzi mkuu wa Mkoa ni Mchaga, Dakatari wa Meno wa Mkoa ni Mchaga......vp niendelee. Anaye bisha aseme nitaje na majina yao na mahali wanapo toka Kilimanjaro. MTOA MADA HATA KAMA HAJUI KUANDIKA LAKINI UJUMBE WAKE NI SAHIHI KABISA. WACHAGA NI JANGA TANZANIA
 
Wachagga tuna nini kila lawama mnaturushia.

Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe. Waulize walete data watakutajia watu watano katika tawala yenye watu mia alafu hawakupi list nzima ni % za kutunga pamoja na porojo . Mwambie mtu akuletee list nzima nzima za wajumbe bodi za mashirika ya umma utaona wachagga walivyo wachache katika appointment posts ila katika nafasi za kuajiriwa kwa merit hiyo habari nyingine.
 
Try to be reasonable instead of lashing out into others comments heads on not focusing on the issues. I can see the narrative in your comments its the hatred and collective judgement on chaggas :
1)sijui unajuaje kabila langu kama mie ni mchagga au la. Pia sijasema wachagga wana iQ kuliko watu wengine wote. Nilochosema ni historical fact shule nyingi zilijengwa huko and in an earlier posts I quoted NY times bonyeza link hii so when one tells you walikua wamejipanga ktk suala la elimu usishangae ni facts.
katika ajira your syllogism is that 'sasa kila mtu amesoma kwanini wao pekee wanapewa hiki na kile...." well there is a fallacy there friend, kwanza sio kweli madai yako kwamba ni wachagga pekee ndio wanapandishwa vyeo. Na kama tukivyosema wengi wao walitangulia kupata elimu (ni fact) mchukue mkurugenzi wa kawaida most of them may be having having 20+ to 30 years of experience na hata hao wanagombaniwa na mabenki yetu and the same goes for managers wengi wana uzoefu. Hatahivyo kwasasa wakurugenzi wengi si wachagga kama inavyosemwa mf. Rama Dau nssf director, nbc ex director mafuru, nhc mchechu na wengine bofya hapa uone list ya ma CEO wakubwa kabisa tanzania alafu utueleze wachagga ni wangapi hapo :

http://www.ceo-roundtable.co.tz/members.html

kuna mawaziri wangapi unawajua wachagga? kuna wakuu wa mikoa au wilaya wangapi unawajua wachagga?
Huko wanapopanda vyeo kwa haraka ni wapi unaweza onesha kwa data au ni shutuma zilizojaa chuki tu.

Hujajibu hoja..........................Vipi kuhusu ubaguzi?? Na vipi kuhusu panapokuwa na CEO mchagga utakuta wanaajiriwa wachagga wengi sana mfano uliopo kwenye mada. ma RPC 80% ni wachagga na Mameneja wa crdb 75% ni wachagga??? What do you opine here??? Acha kuleta porojo na kuchomeka viji link visivyo na uhusiano na mada.....Jibu hoja iliyoko mezani. Mtu unaulizwa maharage unajibu vitumbua...... Unategemea nini hapo? Stick to the point....
 
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe. Waulize walete data watakutajia watu watano katika tawala yenye watu mia alafu hawakupi list nzima ni % za kutunga pamoja na porojo . Mwambie mtu akuletee list nzima nzima za wajumbe bodi za mashirika ya umma utaona wachagga walivyo wachache katika appointment posts ila katika nafasi za kuajiriwa kwa merit hiyo habari nyingine.

List ndo hiyo umepewa kwenye namba 206!!!!! Unasemaje kwa hapo????
Usije ukajifanya huioni..... Hii hapa kama ilivyoletwa na THE GREAT CAMP
Hospitali ya Mkoa Morogoro: Mganga Mkuu wa mkoa ni Mchaga, Mganga Mkuu wa Hospitali ni Mchaga, Mhasibu wa Hospitali ni Mchaga, Bwana Afya wa Mkoa ni Mchaga, Mratibu wa TB ni Mchaga, Mratibu wa Malaria ni Mchaga, Mfamasia wa Mkoa ni Mchaga, Mratibu wa Ukimwi ni Mchaga, Muuguzi mkuu wa Mkoa ni Mchaga, Dakatari wa Meno wa Mkoa ni Mchaga......vp niendelee. Anaye bisha aseme nitaje na majina yao na mahali wanapo toka Kilimanjaro. MTOA MADA HATA KAMA HAJUI KUANDIKA LAKINI UJUMBE WAKE NI SAHIHI KABISA. WACHAGA NI JANGA TANZANIA
 
Uyu jamaa kapost utumbo apa, ndugu kifunze basi ata kuandika kwakuzingatia vituo, maana ulivyo andika nikama ulikuwa unasinzia.

Wewe uliyemacho andika ukanushe hoja yake ili kuprovu kwamba wakati anaiandika alikuwa anasinzia.......
 
List ndo hiyo umepewa kwenye namba 206!!!!! Unasemaje kwa hapo????
Usije ukajifanya huioni..... Hii hapa kama ilivyoletwa na THE GREAT CAMP
Hospitali ya Mkoa Morogoro: Mganga Mkuu wa mkoa ni Mchaga, Mganga Mkuu wa Hospitali ni Mchaga, Mhasibu wa Hospitali ni Mchaga, Bwana Afya wa Mkoa ni Mchaga, Mratibu wa TB ni Mchaga, Mratibu wa Malaria ni Mchaga, Mfamasia wa Mkoa ni Mchaga, Mratibu wa Ukimwi ni Mchaga, Muuguzi mkuu wa Mkoa ni Mchaga, Dakatari wa Meno wa Mkoa ni Mchaga......vp niendelee. Anaye bisha aseme nitaje na majina yao na mahali wanapo toka Kilimanjaro. MTOA MADA HATA KAMA HAJUI KUANDIKA LAKINI UJUMBE WAKE NI SAHIHI KABISA. WACHAGA NI JANGA TANZANIA
tunapoelekea si kuzuri na vyeti vyao vilikuwaje? vimewaruhusu kufanya kazi hapo au?
 
wanapendeleana sana hao mkuu,na mkiruhusu mchaga siku moja achukue nchi,mtakiona cha mtema kuni.
Mwl.nyerere aliliona hili kwa jicho la tatu we fuatilia...
shortly ni wabaguz

Ni kweli kabisa.
Tuendelee kuwapa nchi Wakwere ndo wanaweza kuipeleka nchi kwenye neema.
 
tunapoelekea si kuzuri na vyeti vyao vilikuwaje? vimewaruhusu kufanya kazi hapo au?

Unauliza ama unashangaa??? Vyeti ulitaka viwe tofauti na watu wengine? Kwani wao wamesomea wapi na hao wengine wamesomea wapi? Inakuwaje wao tu? Au kuna kozi maalum wanaruhusiwa kusoma wachagga tu??? Shangaa sana na huo ndo ukweli na hapo ndo penye tatizo.
 
Acheni ubaguzi wa kikabila (Tribalism). Kama wewe ni Mkurugenzi wa Taasisi fulani, basi toa equal opportunity kwa qualified candidates wa makabila yote.

Umeongea vema mkuu. Kuna watu humu JF na hata ndani ya makampuni ambamo kuna wachagga wengi huwa wanasema eti wao wamesoma tangu zamani. Na eti wanachaguliwa wengi kujiunga na makampuni au mashirika kwa kuwa wana qualifications nzuri.....Mimi huwa nashangaa sana! Ina maana qualifications zao ziko juu kuliko mtu wa kabila lingine? Mbona kuna mchagga mmoja alipata kazi TRA wakati ana classification ya pass mwenzake akaachwa na ana lower second? Kati ya Lower second na pass ipi kubwa?
Utashangaa mtu atakuja aseme eti yule mchagga alichululiwa kwa kuwa ana IQ kuliko yule mwenzake.... Hiyo IQ inakuwa imeandikwa sambamba na classification? Yaani inaandikwa kwa mfano "Lower second class with IQ 98%??????" Inashangaza sana!!!!!
 
hivi naomba kuuliza katika makabila ya Watanzania Weusi Wazawa ni yapi ambayo yana asilimia ndogo katika kazi za serikali au mshirika ukilinganisha na Wachagga? Maana kwa uelewa wangu mimi Wachagga wengi wao wamejiajiri ukiachilia mbali wale walio kwenye kazi za serikali na mashirika ambao pia hutoka na kuanzisha shughuli zao kama daktari huanzisha hospitali kama mhasibu huanzisha auditing firm kama marketeer huanzisha consultancy hata NGOs n.k.! Kiufupi hawakai kazini mpaka kustaafu, tuwe fair jamani tusiwanyanyapae wakati tunajua mahoteli, mahospitali, viwanda vya FMCG ukiacha Wahindi waliojikita huko! BTW watu wanaitaja sana CRDB as if mabenki binafsi hayana Wachagga hebu nendeni Bank M halafu mjiulize Mkono na partners wenzie walioajiri Wachagga kama managers wamewapendelea pia? Au nendeni Akiba Commercial Bank au hata foreign banks! BTW uo u-RPC wa mapolisi ni bora Mwema akaulizwa kwanini anachagua Wachagga na si watu wa kabila lake!
 
wanapendeleana sana hao mkuu,na mkiruhusu mchaga siku moja achukue nchi,mtakiona cha mtema kuni.
Mwl.nyerere aliliona hili kwa jicho la tatu we fuatilia...
shortly ni wabaguz

Hawa jamaa wanapendeleana hata kwenye mabar yao ,pia maofisini ndio usiseme ,pia ni wabaguzi wa kutupa na kujiona wana vijisenti,dawa ni kuwaoa sana dada zao ili kabila la kichaga life
 
...kosa letu ni kusoma, kuelimika na kufanya kazi kwa bidii hata kwa wale wachagga ambao hatukusoma tunajua "kuchakarika".....

Halafu ninyi wapumbavu nani aliwaambia kwamba sisi hatukusoma??? Ina maana mmesoma ninyi pekeenu tu? Kuna shule special kwa ajili ya wachagga?????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom