Kubwa kuliko unavyofikiri
Mwanaume mmoja kwa mke mmoja is not a law of nature. Ni utaratibu uliowekwa na wachache,sio lazima tuufate.
Michepuko ndio inatutuliza nyumbani stress tupu
Hapo kwenye bold ndo nimejua leo!Kumbe homa ya ini ni pacha wa Ngoma!Michepuko sio dili, epuka UKIWMI NA HOMA YA INI.
Mwenye masikio asikie.
Cha mtu huliwa na mtu, chuma ndo huliwa na kutuuu....
Unapatikana mtandao gani nikutumie voucher
NSWECKY........inakuhusu hii...
Afu sku izi wanawake walioolewa wanajua kuloga ile mbaya! Akipata ata picha yako tu utaisoma namba Kama tasa au shufwaa
Michepuko nalo janga