miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
naomba kuuliza,'Mchepuko ukipanda cheo unakua nin?'
Mkeeee mwema
naomba kuuliza,'Mchepuko ukipanda cheo unakua nin?'
Mkeeee mwema
sa kama ni hivyo kwa nini nisiende nae kwenye harusi WALIMWEUSI, nikale nae walimweupe,mixer waliwakaki? labda atapanda cheo
naomba kuuliza,'Mchepuko ukipanda cheo unakua nin?'
Hata nikiwafunda jinsi ya kuwafanya wake/waume wasichepuke ni kazi bure!Nia yangu wajue kuchepuka na watu wao in private na sio kila mtu awaone hata wale wanaowaheshimu. Kwa mchepukaji mzuri, kama anaishi Tegeta basi ataenda kufanya mambo yake na mchepuko huko Mbagala ambako at least ana uhakika hakuwa nawaomjua wengi
Mke wa mtu
hahaha yani nashinndwa hatakushangaalabda michepuko inatoka jupiter
naomba kuuliza,'Mchepuko ukipanda cheo unakua nin?'
Ushauri wangu kwenu wenye tabia kama hizi, please do it in private walau watu wanaowaheshimu wasione uchafu wenu! Kama utaona kunaulazima wa kuwa nae in public kama vile harusini ni heri mkaonesha heshima basi ili kujitunzia heshima mbele eza watu wanaowafahamu!
sa kama ni hivyo kwa nini nisiende nae kwenye harusi WALIMWEUSI, nikale nae walimweupe,mixer waliwakaki? labda atapanda cheo
Hapo juu mi nashauri ni bora wakaacha kabisa ....
Maana mapenzi huwa sijui ni kitu gani, hayana siri, iko siku tu wapenzi watajisahau na mambo kuvuja. Madhara yake nafikiri kila mtu anayafahamu; kufumaniwa kupigwa, talaka, ugomvi, kuambukizana magonjwa nk