Kwa nini unakuwa huru na mchepuko?

Kwa nini unakuwa huru na mchepuko?

Najua neno langu sio sheria, siwezi wakataza msiwe na michepuko. Ila wewe mwanamke ambae umefanywa mchepuko na mume wa mtu, kwa nini unajiachia tu na mume wa mtu bila aibu? Ni heri uwe hujui kama wewe ni mchepuko lakini unajijua kabisa status yako afu unatoka na mume wa mtu tena in public as if wewe ndo mkewe!!Nawe mwanaume unajua kabisa we umeoa tunamjua mkeo na wanano pia, unatoka in public na mchepuko kwa nini?Unaonesha picha gani?

Nimeshuhudia hili kwenye harusi fulani, mtu kaalikwa ana kadi ya Mr & Mrs. Mkewe maskini sjui anaumwa au kasafiri sjui!Kabeba mchepuko huyo kaja nae harusini, mbaya zaidi wanaonesha kabisa ni wapenzi!Ni aibu jamani hasa unapofanya haya mbele za watu wanaokufahamu wewe na familia yako!

Ushauri wangu kwenu wenye tabia kama hizi, please do it in private walau watu wanaowaheshimu wasione uchafu wenu! Kama utaona kunaulazima wa kuwa nae in public kama vile harusini ni heri mkaonesha heshima basi ili kujitunzia heshima mbele eza watu wanaowafahamu!

Michepuko sio dili, epuka UKIWMI NA HOMA YA INI.

Mwenye masikio asikie.

Nilikuwa na amini kama wewe ila baadae ikajajua kuwa mchepuko ni dili. Mke unauombamwnde kenye harusi wk mbili kabla siku ilipofika mke kachomoa kwenda. Kuna siku kagoma kuhudhuria harusi ya mdogo wangu nikaenda mwenyewe. Saasa kwa nini nisitafute mchepuko kwa outing.

Hongeren wenye michepuko kama mimi kwani home ni stress za kufa mtu. Na mkinshambulia nitahalalisha mchepuko wangu kwani unanijali kaama tumefunga ndoa.
 
Nilikuwa na amini kama wewe ila baadae ikajajua kuwa mchepuko ni dili. Mke unauombamwnde kenye harusi wk mbili kabla siku ilipofika mke kachomoa kwenda. Kuna siku kagoma kuhudhuria harusi ya mdogo wangu nikaenda mwenyewe. Saasa kwa nini nisitafute mchepuko kwa outing.

Hongeren wenye michepuko kama mimi kwani home ni stress za kufa mtu. Na mkinshambulia nitahalalisha mchepuko wangu kwani unanijali kaama tumefunga ndoa.

Neno langu sio sheria baba, endelea na mcchepuko wako na ikibidi halalisha kabisa awe mke.
 
hahaa ht akiamia unafkr utakua na aman nae koz akiskia kiharufu chk tu hamu ya kudu kushnei hahaaa unafkr juju la kunukishwa K ni dogo best ??yn inanuka hd wa pemben yk anaskia unafkr akil ya kufanya reveng kwnz utaipata???hahaa hpn chezea hy kitu

Raha ya ushirikina anayekupa dawa ya kuniroga ndo anayenipa dawa ya kunitibu...
Ukiambiwa upeleke kuku wa kijani me ntaambiwa nipeleke ng'ombe wa bluu....
Ingekuwa hivyo unavyofikiria basi waganga wangekuwa hawana kazi...manake ukienda mara moja hurudi tena....!
 
Neno langu sio sheria baba, endelea na mcchepuko wako na ikibidi halalisha kabisa awe mke.

Niandalie na mchango wa harusi kwani nilishakuweka kwenye list ya wageni waalikwa. Natamani kumpeleka Sarova Salt Lick
 
Niandalie na mchango wa harusi kwani nilishakuweka kwenye list ya wageni waalikwa. Natamani kumpeleka Sarova Salt Lick

Bahati mbaya sichangii michango ya harusi, huwa nachangia kwenye masuala ya msing. Kama mwanao kakosa ada ntamschangia, au kama unaumwa unahitaji msaada uende kutibiwa nje ya nchi nitafte tu ntakuchangia!Lakini starehe yako mwenyewe siwezi kukusaidia kuilipia baba.
 
Bahati mbaya sichangii michango ya harusi, huwa nachangia kwenye masuala ya msing. Kama mwanao kakosa ada ntamschangia, au kama unaumwa unahitaji msaada uende kutibiwa nje ya nchi nitafte tu ntakuchangia!Lakini starehe yako mwenyewe siwezi kukusaidia kuilipia baba.

Mbona unaogopa wakati mchango si mkubwa. Kulingana na budget ya harusi nadhani ukichangia kuanzia laki tano na kuendelea tutafikia malengo. Tukiunda kamati nitakujulisha ili uwe mmoja wao
 
Na wanaume weng wanamichepuko na wake zao wanajua kinachohitajika hapo ni heshima tu
 
Mbona unaogopa wakati mchango si mkubwa. Kulingana na budget ya harusi nadhani ukichangia kuanzia laki tano na kuendelea tutafikia malengo. Tukiunda kamati nitakujulisha ili uwe mmoja wao

Laki tano niache kudeposit kwenye account ya mtoto wangu nikuchangie wewe???Mbadooo
 
Laki tano niache kudeposit kwenye account ya mtoto wangu nikuchangie wewe???Mbadooo

Utatoa tu muda ukifika, kama ni motto atasoma tu na utajua pa kuzitoa, kikubwa mchango wangu tu kamanda. We si umetaka tushirikiane kula!!! Na hicho mbona ni kiasi kidogo sana kwa mamito wangu, utatoa tu labda ujitoe kwneye ligi.
 
Back
Top Bottom