Kwa nini unajuta kuolewa na ukoo ule??

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
22,050
Unahisi mume ama mkeo mambo anayofanya ni sababu ya ukoo uliooa....
Je ukujua wakati unaoa yuko ukoo gani..embu tuanze kufanya mapping jamani
tusianze kulalamikia hiz koo zetu..huwa napenda ninaposikia mtu anasema
yaani najuta kuolewa na ukoo ule..najuta kuzaa na ukoo ule kwani ulikuwa unazaa na dada yako mzazi??

Usiende tu kwenye harusi za watu ukafurahia zile soda na bia za bure nenda kwenye ndoa kwa malengo usifurahie mwenzio ameoa ama akuolewa furahia je na wewe utaoa mtu sahihi ama autakuja kujuta
binafsi niko na wewe unaeendelea kusubiri hakkikisha ume google sehemu muafaka tuachane na kutoa laana kwa hizi koo zetu jamani ...

Nawatakia wanandoa wa leo ndoa njema na za mafanikio nawatakia kila mgen asikose chakula kama nilivyokosa jumamosi iliopita pale ukumbi wa twiga mbezi beach nikiwa ndnan ya full ac nikaambulia ndizi mbivu za kukaanga like if niko breakpoint ..aijalishi unaoa wapi swala ni makubaliano msikimbilie kwenye kumbi za garama na kushindwa kulisha watu kama wanavyotarajiwa

all the best kwenye new ngo...usiogope hiyo ni taasisi baada ya miezi 6 tutakusajili kwenye chama cha wanaolala kama walivyozaliwa baadaa ya kuamini umeweza ndani ya miezi sita bila kutengana/KUPEANA MIGONGO
 
Usiogope akuna kukata tamaa kwenye ndoa...
 
Hahahahha. . .Pdidy unanifurahisha sana.

Kumbe chakula nacho ni muhimu ehhhh? Inabidi vianze kuuzwa mle mle ukumbini.
 
Kuna baadhi ya makabila ukienda kusema nyumbani unataka kuoa ama kuolewa shangazi anaenda kufanya uchunguzi kuhusu familia husika. Ni kweli kuna mambo ya kuzingatia, ukiingia kwenye ukoo vululuvululu ni kazi haswaa! Manake mwenza wako unakuta hana hata role model! Mama yake anampiga baba na yeye anajionea ndio kawaida ya maisha! Baba yake anampiga mama na yeye anaona ndo mapenzi!
Pdiddy na wewe uwe unaangalia harusi za kuzuka, sio kila ukitoa mchango ndo lazima uende, sawa?
 
Kujua family unayoolewa au owa ni muhimu sana, kuna wengine wana maradhi ya kurithi kama ya akili, sitaki kuzaa matahira, wachawi na bisexual kwao kawaida, mmmh sitaki mapenzi au desperation inifanye niwe kipofu kiasi hicho.

Nevertheless, kuna vitu ambavyo unaweza let it go maana hakuna ukoo/family isiyokuwa na mapungufu as long as binadamu hatuko sawa
 
Dingi alikuwa ananieleza ukitaka kuoa lazima utazame wajomba wa huyo mke unaye taka kuoa, kama wajomba zake hawana kasoro...ujuwe mambo super :cool2:
 
Sure thing!
Kuoa au kuolewa co jambo dogo its a life comitment inayohitaji umakini wa hali ya juu na co kukurupuka. Kuna wengine hudhani akishamfaham mume wake mtarajiwa inatosha! Hapana! Inabid uwaelewe pia ndugu wa karibu wachache japo huwez kuwaelewa wote! Nowadays 2nashuhudia wa2 wanafahamiana miezi mi3 then ndoa na madhara yake ndo 2yaonayo daily ndoa zinavunjika
 
Hili nalo neno.
Nina ndugu yangu alipuuzia hili saivi anajuta cse since kaoa1993 till now hajawah Kua na furaha kila kukicha afadhali ya jana
 
Kweli kuangalia hayo muhimu kuna wengine wanamidomo na haweshi kukupavitisho ohhh unajaza choo,ohh unapeleka kwenu,ohhh umemteka ndugu yeti ohhhh nyumba wamejaa ndugu wa mke tele yani dhiki moja kwa zote...
 
Kila la heri wenye ndoa zenu. Mkishafanya maamuzi ya kuolewa msijutie, badala ya kupoteza muda kujuta ni bora ukafanya maamuzi mapya yaliyo sahihi.
Zipendeni na mziheshimu ndoa zenu.
 
Aidha mleta mada umeshajifunza neno! Next tym kwenye minuso ya kiivo beba chakula chako kabisaaa!
Mi sioni tatizo kutembea na hotpot langu .
 
Wengine mama zao wadogo wana viherehere kuniona na binti wake ananibomu 10,000 faster huyu nilhic alishakuwaga shanging.mazafanta nikampga chini mtoto wao wanaendkeza njaa sana.
 
Back
Top Bottom